Mmeongea sanaaaa ila forex sio wizi ni ww tu usipo kuwa na elimu ya kutosha utapigwa sana sokoni utaona ni wizi nimetrade fx kitambo ila sikuwa na elimu ya kutosha mwaka huu ndio naona matunda kwenye fx baada ya kupata elimu ya kutosha
Cha msingi wekeza kwanza kwenye maarifa mtaji sio tatizo...
Narudi tena kuwakumbushaa hii kazi ni hatari sanaa
Kamaa unapenda series za madawa ya kulevya utaipenda na hii
Kama ulipenda Breaking bad , power na zinginezo hutoacha kuipenda hii jamaa anatumia akili sanaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.