Recent content by twenty20

  1. T

    Je, Ni kweli gharama ya kiti kimoja cha uwanja wa taifa ni Tshs. 200,000/=

    Viti hivyo vililetwa toka nje, so gharama ni ya kiti, pamoja na uagizaji
  2. T

    Ninunue ipi Toyota Mark X au Crown?

    Crown ndio gari ya heshima. Huko japana ndio gari respectable, na ndio model inayotumiwa na viongozi wakuu
  3. T

    Wasanii 10 waliobuma pamoja na kutoa nyimbo kali

    Huku kubuma sio kuzuri kwa wanamuziki wetu, mtu nyimbo zake mbili hivi na ushee zikibuma mfululizo, kinachofuata ana panic, baada ya hapo, ni kuanza kula SEMBE.....
  4. T

    Nani mkweli kati ya Wananchi, Serikali na TRA?

    Kuongezeka kwa ni matokeo ya kodi mbali mbali zilizopanda kwa mwaka 16/17
  5. T

    Vigogo wawili ATCL wasimamishwa kazi kwa kosa la kumchagua rubani asiye na sifa kusoma Canada

    Ni utaratibu wa kawaida, pilot kurusha ndege mpya unahitaji conversion course, pia kurusha ndege nyingine tofauti na uliyokuwa unarusha unatakiwa kufanya conversion course, ndio maana hapelekwi mtu asie rubani, anachaguliwa ambaye ni rubani tayari. Huu ni utaratibu upo duniani, ni mambo ya...
  6. T

    Msaada kuangalia Copa America

    ZBC2 ni euro final tu
  7. T

    Picha za Giggy Money zinaumiza moyo kwa ambao ni wazazi

    Kwa ss wana psychology huyu anasumbuliwa na character ya Exhibitionism
  8. T

    Nchi 76 wanazoruhusiwa watanzania kutembelea bila ya viza

    Mmmh si kweli, hii list sijui katoa wapi, nimekwenda ethiopia ukifika Adis wana ku chaji Visa, pale pale Airpot.
  9. T

    Hivi Giggy money ni nani hapa Tanzania?

    Huyu dem alikutana mjeda ney wa mitego, akamchukua kuwa video queen, akampa scene mbaya mbaya, mwisho wa shooting, dem kadai mchongo wake, akaishia kupewa buku 20.
  10. T

    Wafanyabiashara wanaanza kurudi tena upinzani

    Bussiness + Politics = 0
  11. T

    Serikali yatenga bajeti Bil 2 kufufua kiwanda kinachohitaji bil 60 ili kifanye kazi

    Ukiwa huna uwezo wa kufikiri, ndio utashangaa kwa nini bil 2. Serekali inachofanya ni kutenga hela za kuandaa mazingira ya mwekezaji kuanza vizuri, na sio serekali kuendesha kiwanda. Ikumbukwe kuna figisu figisu nyingi hapa, kulipa madeni ya kiwanda, maslahi ya wafanyakazi waliopita, nk...
  12. T

    Yajue mambo 10 ya kuvutia kwa Nyoka Anaconda

    Je naye hushambulia binadamu?
Back
Top Bottom