Recent content by Tumor marker

  1. T

    JamiiForums Tanzania Nategemea kwenda Shinyanga kwa pikipiki aina ya Boxer, CC 125

    Mkuu fungua moyo. Waweza tembea na pikipiki hio umbali wowote. Dar- shy ni pafupi. Mimi nikuwa natembea mbeya to Bukoba via Iringa/Tabora huku nikitumia siku 2 na nilikuwa naenjoy balaa. Cha msingi ni kukipenda chombo. Nilikuwa natumia Sinoray 150-18 Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums...
  2. T

    JamiiForums Tanzania Wapenzi wa Madilu System tukutane hapa

    huyu mwamba nyimbo zake ni next level
  3. T

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Kamata gari uitakayo kwa bei za kizalendo

    sawa bwana extrovert itabidi unipe chombo
  4. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 2021 AFCON Special Thread

    nitalala vizuri leo. wanaBurkina wamefanya maajabu
  5. T

    JamiiForums Tanzania Wataraji (Interns) tunateseka, Wizara ya Afya sikieni kilio chetu

    Bado mkuu endelea kuvumilia hospitali nyingi hasa za mikoani huku posho huchelewa sana na ndo kautaratibu kao ka wizara kalivyo. Bila shaka kufikia January katikati mtakuwa meingiziwa ya Desemba
  6. T

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Pitia Uzi huu upate gari ya kipato chako

    nitafutie pro box
  7. T

    JamiiForums Tanzania Tathimini ya Safari kutoka Njombe kwenda Mbeya(231km) kwa kutumia pikipiki

    hio distance ya njombe mbeya ndogo sana. wajuzi tunakupigia mbeya to Muleba bukoba na bike km 1400 kwa siku mbili tu. nashea picha kidogo. watz tuache woga
  8. T

    JamiiForums Tanzania T.O Elias Kihombo na tishio katika baadhi ya vitabu vyake vya Physics

    Tupe data mkuu, Mwl wetu huyu amegusa maisha yetu tulio wengi.
  9. T

    JamiiForums Tanzania GE2020 Baada ya kumuhifadhi marehemu katika nyumba yake ya milele ndipo balozi akasimama kutangaza Jambo ambalo alidai kuwa limetoka kwa wakubwa!!

    Hizi habari zimetangazwa leo hadi makanisani huku Mbeya. Hii nchi inakoelekea sio kabisa.
  10. T

    JamiiForums Tanzania Fahamu zaidi kuhusu la ugonjwa wa Vitiligo na tiba yake

    sio ugonjwa wa kuambukizwa huu mkuu. Na hautibika bali kuna unaweza kuzuia usiendelee kwa ambaye anakuwa kaupata.
  11. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Bibi alimwambia Mzee 'Huyu mwanao huyu! Sijui" ndo nikaja mwelewa Ukubwani alimaanisha nini

    We gudume ujinga wako hujaachaga tu..hahahaha
Back
Top Bottom