Molleli
Senior Member
- Aug 29, 2020
- 178
- 160
Salaaaaam, juzi nilipata kuhudhuria msiba wa ndugu yangu katika Kijiji fulani mkoani Mbeya na nilishangaa kuona balozi kwa unyenyekevu akitangaza kuwa kaletewa taarifa kutoka juu zikidai Rais atakuepo hapa Mbeya tarehe 30 September kwa hiyo wananchi wa pale kijijini wajitokeze kwa wingi viwanja vya airport ya zamani kumlaki mtukufu Rais. Aiseh nilishangaa sana maaana ni kijiji ambacho kipo mbali mno na eneo la tukio, huko kwenu vipi wadau huwa mnatangaziwa au unaamua wewe uende au usiende!?