chuchunge
JF-Expert Member
- Aug 17, 2007
- 212
- 154
Alikua head wa Breast Unit Muhimbili,Dr humble na Muugwana,amefariki jana kwenye msiba wa mdogo wake baada ya kuaga mwili akaishiwa nguvu.
Nitakukumbuka kwa kunihudumia bila kuchoka mpaka nikapona,amehudumia pia wamama wengi wenye vimbe mbalimbali kutoka kila pembe ya Tanzania.
Mungu amlaze mahali pema peponi.
Nitakukumbuka kwa kunihudumia bila kuchoka mpaka nikapona,amehudumia pia wamama wengi wenye vimbe mbalimbali kutoka kila pembe ya Tanzania.
Mungu amlaze mahali pema peponi.