TANZIA Dkt. Casper Haule wa Hospitali ya Taifa Muhimbili afariki dunia

chuchunge

JF-Expert Member
Aug 17, 2007
212
154
Alikua head wa Breast Unit Muhimbili,Dr humble na Muugwana,amefariki jana kwenye msiba wa mdogo wake baada ya kuaga mwili akaishiwa nguvu.

Nitakukumbuka kwa kunihudumia bila kuchoka mpaka nikapona,amehudumia pia wamama wengi wenye vimbe mbalimbali kutoka kila pembe ya Tanzania.

Mungu amlaze mahali pema peponi.
Screenshot_20211210-011632_Instagram.jpg
Screenshot_20211209-230126_Chrome.jpg
 
dah upendo ulioje,yaani mpaka unaondoka na ndugu yako.

sasa balaa ni kwa wenye msiba X2
rip dr na mdogo wake.
Aisee hii kitu asikwambie mtu mkuu ....

Jamaa kaja na msiba wa mdogo wake mpaka songea kuja kuzika mdogo . Katika harakati za kuaga muda umefika jamaa kapita kuaga ,baada ya kustep forward kaanza kujisikia vibaya ikabidi ashikwe awekwe pembeni kidogo apate hewa huku wananzengo wakijua ni Ile ya Hali ya majonzi mazito labda presha na nn .......

Bahati nzuri au mbaya ,kulikua na doctor mwenzake ambaye alikua amemsindikiza ...akanote kitu kwamba c Hali ya kawaida .......akaona kabisa daktar mwenzake ameanza sijui kitaalamu wanasemaje sijui kusuffocate sijui nini huko mm sijui......
Ikabidi wachukue usafir chap wawah hosp ya mkoa Ruvuma .........

Lakini Kwa bahati isiyo nzuri mpaka anafika hosp (sehem kama 2km from hosp 500 t nauli bajaji) .......akawa ameumaliza mwendo .......bila hata kumzika mdogo wake alietoka na msiba DSM wa mdogo wake kuja kumzika ....lakini ndo hivyo wote wametangulia mbele ya haki....

ni tukio ambalo hata asomjua kama Sisi tuliguswa na kubaki kusikitika kweli , wengine kulia kabisa kila ukiangalia wale ndugu walioacha msiba nyumbani kuja kumkimbiza Kaka wa marehem hospi ......hawaamini kinachotokea ....wanahisi kama maigizo ivi but ndo Ivo tena.

Pole Kwa familia na walioguswa pia.

Inna lillahi wainna ilaihi rajiun.
 
Alikua head wa Breast Unit Muhimbili,Dr humble na Muugwana,amefariki jana kwenye msiba wa mdogo wake baada ya kuaga mwili akaishiwa nguvu.
Nitakukumbuka kwa kunihudumia bila kuchoka mpaka nikapona,amehudumia pia wamama wengi wenye vimbe mbalimbali kutoka kila pembe ya Tanzania.
Mungu amlaze mahali pema peponi.View attachment 2039594View attachment 2039595
Mungu amkumbuke kwenye uzima wa milele
 
Pole kwa wote walio ondokewa na wapendwa wao,Mungu awafariji kwa kipindi hiki kigumu kwao.
 
Aisee hii kitu asikwambie mtu mkuu ....

Jamaa kaja na msiba wa mdogo wake mpaka songea kuja kuzika mdogo . Katika harakati za kuaga muda umefika jamaa kapita kuaga ,baada ya kustep forward kaanza kujisikia vibaya ikabidi ashikwe awekwe pembeni kidogo apate hewa huku wananzengo wakijua ni Ile ya Hali ya majonzi mazito labda presha na nn .......

Bahati nzuri au mbaya ,kulikua na doctor mwenzake ambaye alikua amemsindikiza ...akanote kitu kwamba c Hali ya kawaida .......akaona kabisa daktar mwenzake ameanza sijui kitaalamu wanasemaje sijui kusuffocate sijui nini huko mm sijui......
Ikabidi wachukue usafir chap wawah hosp ya mkoa Ruvuma .........

Lakini Kwa bahati isiyo nzuri mpaka anafika hosp (sehem kama 2km from hosp 500 t nauli bajaji) .......akawa ameumaliza mwendo .......bila hata kumzika mdogo wake alietoka na msiba DSM wa mdogo wake kuja kumzika ....lakini ndo hivyo wote wametangulia mbele ya haki....

ni tukio ambalo hata asomjua kama Sisi tuliguswa na kubaki kusikitika kweli , wengine kulia kabisa kila ukiangalia wale ndugu walioacha msiba nyumbani kuja kumkimbiza Kaka wa marehem hospi ......hawaamini kinachotokea ....wanahisi kama maigizo ivi but ndo Ivo tena.

Pole Kwa familia na walioguswa pia.

Inna lillahi wainna ilaihi rajiun.
Dah.
Wapumzike kwa amani mtu na Kakake..
 
Aisee hii kitu asikwambie mtu mkuu ....

Jamaa kaja na msiba wa mdogo wake mpaka songea kuja kuzika mdogo . Katika harakati za kuaga muda umefika jamaa kapita kuaga ,baada ya kustep forward kaanza kujisikia vibaya ikabidi ashikwe awekwe pembeni kidogo apate hewa huku wananzengo wakijua ni Ile ya Hali ya majonzi mazito labda presha na nn .......

Bahati nzuri au mbaya ,kulikua na doctor mwenzake ambaye alikua amemsindikiza ...akanote kitu kwamba c Hali ya kawaida .......akaona kabisa daktar mwenzake ameanza sijui kitaalamu wanasemaje sijui kusuffocate sijui nini huko mm sijui......
Ikabidi wachukue usafir chap wawah hosp ya mkoa Ruvuma .........

Lakini Kwa bahati isiyo nzuri mpaka anafika hosp (sehem kama 2km from hosp 500 t nauli bajaji) .......akawa ameumaliza mwendo .......bila hata kumzika mdogo wake alietoka na msiba DSM wa mdogo wake kuja kumzika ....lakini ndo hivyo wote wametangulia mbele ya haki....

ni tukio ambalo hata asomjua kama Sisi tuliguswa na kubaki kusikitika kweli , wengine kulia kabisa kila ukiangalia wale ndugu walioacha msiba nyumbani kuja kumkimbiza Kaka wa marehem hospi ......hawaamini kinachotokea ....wanahisi kama maigizo ivi but ndo Ivo tena.

Pole Kwa familia na walioguswa pia.

Inna lillahi wainna ilaihi rajiun.
Pole nyingi kwa familia misiba miwili kwa wakati mmoja.
 
Back
Top Bottom