Wataraji (Interns) tunateseka, Wizara ya Afya sikieni kilio chetu

jiwe angavu

JF-Expert Member
Aug 28, 2015
19,103
35,923
Wakuu.

Mwezi wa pili sasa tangu tuanze utaraji maeneo mbalimbali nchini katika hospitali na taasisi mbalimbali za serikali.

Kiukweli tulianza kwa furaha na nderemo safari ya mwaka mmoja ya kuitumikia nchi yetu hususani wananchi wenzetu..katika vitengo mbalimbali ya kiafya ili kulinda na kuwatibu dhidi ya magonjwa yanayowakabili.

Furaha yetu imeanza kufifia baada ya sasa kutimiza miezi miwili kavu bila hata senti ya posho ambayo wataraji hupokea..maelezo ya wasimamizi wetu yamekua kama maneno ya mama kuku kwa vifaranga vyake kua vitanyonya kesho.

Tunaomba wizara kupitia waziri msikie kilio chetu nasi tuweze kupata hii posho..tujumuike kwa furaha na familia zetu katika sikukuu hizi za mwisho wa mwaka.

Tunajua intern..hana likizo..haugui..hachoki ila intern ana mahitaji ya msingi..sikieni kilio chetu mtusaidie.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado mkuu endelea kuvumilia hospitali nyingi hasa za mikoani huku posho huchelewa sana na ndo kautaratibu kao ka wizara kalivyo. Bila shaka kufikia January katikati mtakuwa meingiziwa ya Desemba
 
kuu.

Mwezi wa pili sasa tangu tuanze utaraji maeneo mbalimbali nchini katika hospitali na taasisi mbalimbali za serikali.

Kiukweli tulianza kwa furaha na nderemo safari ya mwaka mmoja ya kuitumikia nchi yetu hususani wananchi wenzetu..katika vitengo mbalimbali ya kiafya ili kulinda na kuwatibu dhidi ya magonjwa yanayowakabili.

Furaha yetu imeanza kufifia baada ya sasa kutimiza miezi miwili kavu bila hata senti ya posho ambayo wataraji hupokea..maelezo ya wasimamizi wetu yamekua kama maneno ya mama kuku kwa vifaranga vyake kua vitanyonya kesho.

Tunaomba wizara kupitia waziri msikie kilio chetu nasi tuweze kupata hii posho..tujumuike kwa furaha na familia zetu katika sikukuu hizi za mwisho wa mwaka.

Tunajua intern..hana likizo..haugui..hachoki ila intern ana mahitaji ya msingi..sikieni kilio chetu mtusaidie.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Labda hutaki likizo kwanini usipewe kama unatka. Kiufupi wengi InterN hawapend likizo
 
Interns hasa wa medicine ndiyo walikuwa chachu ya nyongeza na kulipwa mishahara watumishi wa umma na siyo TUCTA!
 
Bado mkuu endelea kuvumilia hospitali nyingi hasa za mikoani huku posho huchelewa sana na ndo kautaratibu kao ka wizara kalivyo. Bila shaka kufikia January katikati mtakuwa meingiziwa ya Desemba
Sawa mkuu..ila wanatuumiza sana...utadhani hawajui kua kila mwaka wanapokea intern wapya...hii inshu ya kuchelewesha hata mwaka jana walicheleweshewa..sijui tatizo liko wapi?

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu.

Mwezi wa pili sasa tangu tuanze utaraji maeneo mbalimbali nchini katika hospitali na taasisi mbalimbali za serikali.

Kiukweli tulianza kwa furaha na nderemo safari ya mwaka mmoja ya kuitumikia nchi yetu hususani wananchi wenzetu..katika vitengo mbalimbali ya kiafya ili kulinda na kuwatibu dhidi ya magonjwa yanayowakabili.

Furaha yetu imeanza kufifia baada ya sasa kutimiza miezi miwili kavu bila hata senti ya posho ambayo wataraji hupokea..maelezo ya wasimamizi wetu yamekua kama maneno ya mama kuku kwa vifaranga vyake kua vitanyonya kesho.

Tunaomba wizara kupitia waziri msikie kilio chetu nasi tuweze kupata hii posho..tujumuike kwa furaha na familia zetu katika sikukuu hizi za mwisho wa mwaka.

Tunajua intern..hana likizo..haugui..hachoki ila intern ana mahitaji ya msingi..sikieni kilio chetu mtusaidie.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
hivi skuizi hapa bongo kusoma ndo imekua chanzo cha kuutengeneza umaskini kwa vijana au ndo imekuaje?

vijana wamesoma umri umeenda, bado tena wakajitolee umri unazidi kwenda. Matokeo yake kijana mzima miaka 24, 25, 26 n.k analalamika hana hela ya sabuni, hapewi hela ya sabuni

wakati huo kijana rika lake wa umri wake aliyefeli shule siku nyingi anamaisha safi na mke, watoto na familia anaye.

Hivi hii elimu ya TZ ipo kwa malengo gani? Kama sio kuharibu vijana ni nini? mnachukua watoto wakiwa wadogo majumbani mnawarudisha wakiwa wazee afu mnawaambia wakajitolee wanazidi kuzeeka na ajira hamtoi.

Hivi hii nchi ina viongozi kweli?
 
Acha uvivu wewe..mimi nimefanya internship kcmc hospital nilikuwa nakesha wodini nashinda wodini...nikijihisi udhaifu wa mwili namwambia nesi ananitundikia dripu ya sukari halafu napumzika humohumo wodini....HUWEZI INTERNSHIP HUWEZI KAZI...
 
Back
Top Bottom