Recent content by TRUTH gasper

  1. TRUTH gasper

    Humphrey Polepole hatafukuzwa CCM hata aseme matope ya aina yote!

    Duu we nj hatari. Uliyosemaga ndio yaliyotokea
  2. TRUTH gasper

    Hivi inawezekana msichana akaacha tabia ya kusagana?

    Tanzania ya viwanda,kwel Magu ana kaz ya ziada na Magu
  3. TRUTH gasper

    "Itakuwa kama SODOMA na GOMORA" rasmi Bunge Ujerumani Lapitisha NDOA za JINSIA MOJA...

    When you have everything in life what else to do?
  4. TRUTH gasper

    Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

    Kama mlivyosoma hapo juu wana Jf hua naamin huku kila mtu ana mawazo yake mazur. Nina kama Milion2 nataka nifungue hata biashara ya kawaida ili hata nipate ahueni ya maisha. Ushauri wenu jaman
  5. TRUTH gasper

    Neno gani ulimwambia mpenzi wako baada ya kuachana?

    Alinijibu kwa jeur nitakukumbuka kwa lipi msonyoo ila Jamaa kamchakaza yan maziwa yameshuka kama ndala za muguu eti anataka nimuoe, jamaa ameshamtema
  6. TRUTH gasper

    Maisha ya wadada wa vyuoni yanatia huzuni

    Katika kuelekea kumaliza bachelor yangu nimebakiza wiki kama mbili ili nirudi mtaani niangalie natoka vipi kimaisha but nimeyashuhudia mengi sana ila leo ni base kwa upande wa akina dada 1. The day tunaripoti walikuwa wasichana safi sana 2. Wakaanza kubadilika na kuanza kuvaa kikahaba hata...
  7. TRUTH gasper

    Sababu tano(5) kwanini unapata pesa lakini huna maendeleo

    Watu wana akili sana. Asante mtoa uzi
  8. TRUTH gasper

    Utendaji wa Rais Magufuli usihusishwe na siasa

    Habar zenu wana jamii, Kama kicha cha habari kinavyosema nina sababu mbali za kusema kua rais wetu ni Lulu iliyoletwa na Mungu, na Lulu za aina hii inaweza kupita miongo mingi bila kupata mkombozi kama huyu. Zifuatazo ni baadhi ya issue napenda kuongelea; 1. kuna maprofessa wanaanza kujisifu...
  9. TRUTH gasper

    Nini maoni yenu juu ya internet ya Halotel?

    Jaman hawa jamaa nawapenda sana. Yani Tigo inakera sana Bora ifutwe kabisa
  10. TRUTH gasper

    Sitakaa nimuamini tena mwanamke

    ni kawaida kusikia haya maneno, coz hata wanawake wanasemaga hvyo wakitendwa afu mwisho wa siku unapata mwingne life goes on then unaumizwa tena then hvyo hvyo utakuja jf kulalamika till u go to the grave
  11. TRUTH gasper

    Nilichokiona safari yangu ya Mtwara

    unasoma ili ukosoe dats why huelew
  12. TRUTH gasper

    Wanawake walioolewa huliwa na wapenzi wao wa zamani

    Kumbe ndio ww, nlikua nakutafuta sana. jitayarishe natoka mtwara mwez ujao
  13. TRUTH gasper

    Utata Juu ya Kifo Cha Rais JF Kennedy

    Nitag mkuu, napenda uzi wako
Back
Top Bottom