Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,245
- 2,128
- Thread starter
- #41
NdioKwahiyo mnazi mmoja nayo ni kijiji kimoja wapo cha Mtwara?
NdioKwahiyo mnazi mmoja nayo ni kijiji kimoja wapo cha Mtwara?
Mkuu alafu mademu wa huku watamu balaaa wanazungusha nyonga si mchezo,nimelamba mmoja tyr natafuta mwingineMkuu chondechonde nitafutie mtoto wa kimakonde naskia wako vzr sana kwenye mambo yetu yaleeeeee...
Baada yaMkuu usiangalie sana Masaa,focus kwenye dhumuni la bandiko
Acha uongo mkuu, mnazi mmoja ni Lindi pia eneo hilo kuna njia panda ya kwenda MasasiNdio
Sio Mtwara ni Lindi mkuu, huyu jamaa muongo.Kwahiyo mnazi mmoja nayo ni kijiji kimoja wapo cha Mtwara?
Hahahahah hilo tukio limetutokea na washkaji zangu hapo kwenye jiji la Daud Bashite,muuzaji Kagoma kutuchomea nyama yote aliyokuwa anaiuza kumuuliza sababu na tunakulipa hela yako yote akadai ana wateja wake wakija watakosa nyamaUkitaka kuwajua wamakonde walivyo wavivu nenda mwezi wa ramadhani ukifika dukani anakwambia kachoka nenda duka la2 unataka kilo 5 za nyama utaambiwa nunua 2 au 3 wengine wakija watanunua nini
Ndio kilichokupeleka???Mkuu alafu mademu wa huku watamu balaaa wanazungusha nyonga si mchezo,nimelamba mmoja tyr natafuta mwingine
Sio Mtwara ni Lindi mkuu, huyu jamaa muongo.
Samahani Mkuu, nisaidie picha ya hiyo (hyutong), samahani lakini.
Hiyo Ni Yutong sio Hyutong unless ulifanya typing errorMabasi ya Buti la Zungu yana daraja la kwaza na daraja la pili.
![]()
![]()
Ni bahati mbaya sana umechanganya habari,japo inaonekana Mtwara kweli ulifikaNatumaini wengi wetu ni wazima wa afya na waliowagonjwa tuzidi kuwaombea kwa Mungu atawafanyia wapesi. Leo ni Ijumaa kwa sisi waislam twendeni Masjid kumwabudu Allah. Nipo safarini kwenda vocation Mtwara kwa ajiri ya weekend, safari yangu ilianza Temeke mwisho lakini kabla sijakata ticket nilipata mgongano wa mawazo kuhusu basi gani lingefaa kwa safari yangu.
Nikakata shauri nikapanda BUTI LA ZUNGU (Hyutong)ikumbukwe.Basi safari ikaanza nilibahatika kupata siti ya dirishani, muda mwingi niliutumia kuangalia mandhari ya nje huku nikisikiliza good music, tulipofika Rufiji jirani yangu akaniambia "kabla ya daraja hili tulikuwa tunatumia siku9 kuvuka kuja Dar es Salama, tunamshukuru sana mh Mkapa kwa daraja hili". Mida ya saa 6:45 tuliingia Lindi stand, Msema kweli ni mpenzi wa Mungu kusema kweli Lindi si nzuri kama wanavyodai baadhi yetu humu jukwaani. Yaani ni mji wa kizamani sana nimeshangaa sana hawana cha kujivunia may be bahari tu. Tuache hayo gari likasimama kama 9minutes tukaendelea na safari mimi nilikuwa na hamu ya kufika Mtwara kwa Dangote tu.
Tukaanza kuingia Mtwara kwa kufika mnazi mmoja na vijiji kadhaa vya Mtwara. Tulipofika madangwa nilianza kuona jengo refu ndipo nikaambiwa ni kiwanda cha cement cha Dangote. Haikuchukua muda mrefu tulifika Dangote yaani! kusema kweli ni kiwanda kikubwa sana kwa ukanda wa E/A na hata Africa, kuna raia wa nchi mbalimbali. Mida ya saa8 hivi tulifika Mtwara stand, Mtwara ipo vizuri sana pia kuna miradi mikubwa inaendelea kama vile ujenzi wa bandari kubwa ya kisasa.
Kuna maeneo mengi ya uwekezaji naona Wahindi, Wakenya Wachina wanayagombania sana, nimeshuhudia fursa mbalimbali huku Mtwara. Wachaga wazee wa fursa hawapo nyuma naona wamejazana sana utazani Ushirombo.
My take Nyinyi wamakonde msikimbilie Dar es Salaam na kuacha fursa zilizopo mkoani kwenu wenzenu wanazikimbilia mkija kushtuka kumebaki bahari tu.
Karibuni tuwashauri wenzetu wa Mtwara kuhusu mkoa wao.
unasoma ili ukosoe dats why huelewDuuh, Mkuu! Umefika leo tu na haujateremka kwenye gari, uko stand ushajua kama wanaodrive magari mazuri ni wageni, so wenyeji!... Unatuma post saa 6:30 unasema uko Mtwara, na Lindi umefika saa 6:45...kwani Mtwara na Lindi wapi unatangulia kufika?
Kabla hujateremka kwenye gari yako, ebu ulizia hizo Hotel maarufu za Mji wa Mtwara ni za wawekezaji kutoka wapi?
Asante Kwa ushauri wako Mkuu, tumekusoma.
Kibaha wanaagiza viazi kutoka Kariakoo wakati vinapita pale kwanza. Miogo mingi wachuuzi wanachukua Mbez na kwenda kuiuza Maili Moja. Sijaambiwa nimeshuhudia kwa ndugu yangu kwa macho yangu.Hivi bado wanaagiza mboga za majani toka Dar au wameanza kulima wenyewe?
Viwanja vingi hapo Mtwara vimeshikiliwa na wazee wa fursa akina mangi,achana na akina mekuNatumaini wengi wetu ni wazima wa afya na waliowagonjwa tuzidi kuwaombea kwa Mungu atawafanyia wapesi. Leo ni Ijumaa kwa sisi waislam twendeni Masjid kumwabudu Allah. Nipo safarini kwenda vocation Mtwara kwa ajiri ya weekend, safari yangu ilianza Temeke mwisho lakini kabla sijakata ticket nilipata mgongano wa mawazo kuhusu basi gani lingefaa kwa safari yangu.
Nikakata shauri nikapanda BUTI LA ZUNGU (Hyutong)ikumbukwe.Basi safari ikaanza nilibahatika kupata siti ya dirishani, muda mwingi niliutumia kuangalia mandhari ya nje huku nikisikiliza good music, tulipofika Rufiji jirani yangu akaniambia "kabla ya daraja hili tulikuwa tunatumia siku9 kuvuka kuja Dar es Salama, tunamshukuru sana mh Mkapa kwa daraja hili". Mida ya saa 6:45 tuliingia Lindi stand, Msema kweli ni mpenzi wa Mungu kusema kweli Lindi si nzuri kama wanavyodai baadhi yetu humu jukwaani. Yaani ni mji wa kizamani sana nimeshangaa sana hawana cha kujivunia may be bahari tu. Tuache hayo gari likasimama kama 9minutes tukaendelea na safari mimi nilikuwa na hamu ya kufika Mtwara kwa Dangote tu.
Tukaanza kuingia Mtwara kwa kufika mnazi mmoja na vijiji kadhaa vya Mtwara. Tulipofika madangwa nilianza kuona jengo refu ndipo nikaambiwa ni kiwanda cha cement cha Dangote. Haikuchukua muda mrefu tulifika Dangote yaani! kusema kweli ni kiwanda kikubwa sana kwa ukanda wa E/A na hata Africa, kuna raia wa nchi mbalimbali. Mida ya saa8 hivi tulifika Mtwara stand, Mtwara ipo vizuri sana pia kuna miradi mikubwa inaendelea kama vile ujenzi wa bandari kubwa ya kisasa.
Kuna maeneo mengi ya uwekezaji naona Wahindi, Wakenya Wachina wanayagombania sana, nimeshuhudia fursa mbalimbali huku Mtwara. Wachaga wazee wa fursa hawapo nyuma naona wamejazana sana utazani Ushirombo.
My take Nyinyi wamakonde msikimbilie Dar es Salaam na kuacha fursa zilizopo mkoani kwenu wenzenu wanazikimbilia mkija kushtuka kumebaki bahari tu.
Karibuni tuwashauri wenzetu wa Mtwara kuhusu mkoa wao.
Siku hizi ndo mnajifanya kuisifia mtwara wakati mlikua mnaona km jehanam vile au zoo flan hivi wanaishi wanakonde mambugiiilaaaNatumaini wengi wetu ni wazima wa afya na waliowagonjwa tuzidi kuwaombea kwa Mungu atawafanyia wapesi. Leo ni Ijumaa kwa sisi waislam twendeni Masjid kumwabudu Allah. Nipo safarini kwenda vocation Mtwara kwa ajiri ya weekend, safari yangu ilianza Temeke mwisho lakini kabla sijakata ticket nilipata mgongano wa mawazo kuhusu basi gani lingefaa kwa safari yangu.
Nikakata shauri nikapanda BUTI LA ZUNGU (Hyutong)ikumbukwe.Basi safari ikaanza nilibahatika kupata siti ya dirishani, muda mwingi niliutumia kuangalia mandhari ya nje huku nikisikiliza good music, tulipofika Rufiji jirani yangu akaniambia "kabla ya daraja hili tulikuwa tunatumia siku9 kuvuka kuja Dar es Salama, tunamshukuru sana mh Mkapa kwa daraja hili". Mida ya saa 6:45 tuliingia Lindi stand, Msema kweli ni mpenzi wa Mungu kusema kweli Lindi si nzuri kama wanavyodai baadhi yetu humu jukwaani. Yaani ni mji wa kizamani sana nimeshangaa sana hawana cha kujivunia may be bahari tu. Tuache hayo gari likasimama kama 9minutes tukaendelea na safari mimi nilikuwa na hamu ya kufika Mtwara kwa Dangote tu.
Tukaanza kuingia Mtwara kwa kufika mnazi mmoja na vijiji kadhaa vya Mtwara. Tulipofika madangwa nilianza kuona jengo refu ndipo nikaambiwa ni kiwanda cha cement cha Dangote. Haikuchukua muda mrefu tulifika Dangote yaani! kusema kweli ni kiwanda kikubwa sana kwa ukanda wa E/A na hata Africa, kuna raia wa nchi mbalimbali. Mida ya saa8 hivi tulifika Mtwara stand, Mtwara ipo vizuri sana pia kuna miradi mikubwa inaendelea kama vile ujenzi wa bandari kubwa ya kisasa.
Kuna maeneo mengi ya uwekezaji naona Wahindi, Wakenya Wachina wanayagombania sana, nimeshuhudia fursa mbalimbali huku Mtwara. Wachaga wazee wa fursa hawapo nyuma naona wamejazana sana utazani Ushirombo.
My take Nyinyi wamakonde msikimbilie Dar es Salaam na kuacha fursa zilizopo mkoani kwenu wenzenu wanazikimbilia mkija kushtuka kumebaki bahari tu.
Karibuni tuwashauri wenzetu wa Mtwara kuhusu mkoa wao.