TRUTH gasper
Member
- Mar 27, 2017
- 64
- 82
Katika kuelekea kumaliza bachelor yangu nimebakiza wiki kama mbili ili nirudi mtaani niangalie natoka vipi kimaisha but nimeyashuhudia mengi sana ila leo ni base kwa upande wa akina dada
1. The day tunaripoti walikuwa wasichana safi sana
2. Wakaanza kubadilika na kuanza kuvaa kikahaba hata wale waliobaki na msimamo wao walianza kuchekwa na badae wakaingia kwenye mtego
3. Wanafanya mapenzi hata kama kuna Wasichana wenzao chumbani. Double decker juu mtu analiwa na boyfriend wake chini umelala unaangalia movie, hayo ndio maisha
4. Jioni kuna wengine wanaenda kujiuza kwenye club ila kujiuza kwao ni ngumu kufahamu maana wana act kama wanaenda ku have fun but ukimshika mkono unae
5. Usaliti upo mkubwa sana chuoni hasa pale ambapo wewe boyfriend wake unayumba kiuchumi
6. Wanafake maisha sana ila kiuhalisia wana maisha magumu hasa kwa girls ambao wanapenda kuishi expensive life
1. The day tunaripoti walikuwa wasichana safi sana
2. Wakaanza kubadilika na kuanza kuvaa kikahaba hata wale waliobaki na msimamo wao walianza kuchekwa na badae wakaingia kwenye mtego
3. Wanafanya mapenzi hata kama kuna Wasichana wenzao chumbani. Double decker juu mtu analiwa na boyfriend wake chini umelala unaangalia movie, hayo ndio maisha
4. Jioni kuna wengine wanaenda kujiuza kwenye club ila kujiuza kwao ni ngumu kufahamu maana wana act kama wanaenda ku have fun but ukimshika mkono unae
5. Usaliti upo mkubwa sana chuoni hasa pale ambapo wewe boyfriend wake unayumba kiuchumi
6. Wanafake maisha sana ila kiuhalisia wana maisha magumu hasa kwa girls ambao wanapenda kuishi expensive life