Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Mke anauma sanaNilikuwa namuamini sana mke wangu nikagundua jamaa alikuwa anabandua, niliumia sana . Wanawake ni nyoka
Mke anauma sanaNilikuwa namuamini sana mke wangu nikagundua jamaa alikuwa anabandua, niliumia sana . Wanawake ni nyoka
Hata mme anaumaMke anauma sana
Mke zaidiHata mme anauma
Kwahiyo mke ana moyo chuma mme ndiye moyo wa nyamaMke zaidi
I know you are frustrated, lakini acha kuwahukumu dada zetu wote kwa upuuzi wa huyu mpumbavu mmoja!
Wapo wadada wanaojielewa na kujiheshimu!
Nikutakie Siku njema!
Kwel kabsa AiseeeeeShangaa, aliemuumba tu hamuamini itakuwa yeye

Halafu wanaume mavimavi tundo unagundua leo kama wanawake mataka taka tu...!!!!

Mbona umechelewa sana kulijua hiliWakuu nilkua na binti tena nlkua nampenda sana kwa moyo Wangu wote
Amenisaliti na kapigwa mimba juu tulikua tumepanga mengi mazuri hapo mbeleni sasa yote hayo yameenda na maji
Am totally frustrated wanawake mtu akikupenda mpende ila nashukuru am a man na I will stand like a man
Nilichoamua Mimi sitokaa nimwamini mwanamke na now days wadada I look them like trash sina mapenzi nao tena moto Wangu umekufa ganzi.
Acha aende, usimlazimishe akupende yawezakuwa lilikuwa si chaguo lakoWakuu nilkua na binti tena nlkua nampenda sana kwa moyo Wangu wote
Amenisaliti na kapigwa mimba juu tulikua tumepanga mengi mazuri hapo mbeleni sasa yote hayo yameenda na maji
Am totally frustrated wanawake mtu akikupenda mpende ila nashukuru am a man na I will stand like a man
Nilichoamua Mimi sitokaa nimwamini mwanamke na now days wadada I look them like trash sina mapenzi nao tena moto Wangu umekufa ganzi.



Mwanamke sio kiumbe cha kuaminiwa asilani abadaniWakuu nilkua na binti tena nlkua nampenda sana kwa moyo Wangu wote
Amenisaliti na kapigwa mimba juu tulikua tumepanga mengi mazuri hapo mbeleni sasa yote hayo yameenda na maji
Am totally frustrated wanawake mtu akikupenda mpende ila nashukuru am a man na I will stand like a man
Nilichoamua Mimi sitokaa nimwamini mwanamke na now days wadada I look them like trash sina mapenzi nao tena moto Wangu umekufa ganzi.