Recent content by TrulyP

  1. T

    JamiiForums Tanzania Wakuu Tusipuuze ishu ya Dr. Emmanuel Nchimbi na taarifa zinazoitwa za Upotoshaji, mambo huwaga hivi hivi …..

    Kwa mtu wa level ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mambo sio straight forward kama ilivyo kwetu sisi raia wa kawaida. Influence yake ni kubwa hata kama akiueleza umma mahali alipo sidhani kama kufuatilia kutaishia hapo.... Tuwe waangalifu kubashiri mambo mabaya, japo...
  2. T

    JamiiForums Tanzania Safari yangu ya uasi!

    Huu ni mwisho wa dunia akyanani
  3. T

    JamiiForums Tanzania Natamani kula nyama pori nani mwenye kibali cha kuuza nyama pori kwa hapa Dodoma na anapatika maeneo gani

    Miaka kama minne au zaidi nyuma nilipita huko Dodoma na nyamapori ilipatikana soko la ndugai, kulikuwa na bucha mle. Sikumbuki vizuri huenda ilikuwa kipindi cha mwendazake.
  4. T

    JamiiForums Tanzania Kitanda na godoro vinauzwa milioni 1.3

    Kiongezee mvuto wa finishing ndipo uuze bei hiyo
  5. T

    JamiiForums Tanzania Hakuna tatizo lolote mwanamke kuzaa bila kuolewa au kuamua kuoa mwanamke mwenye mtoto

    Kwangu mimi ni bora single mama ambaye inaonesha angalau ana hofu ya Mungu baada ya kupata mimba hajamtumpa huyo kiumbe, kuliko mdada aliyetoa mimba moja au zaidi ili mwanaume amkute hana mtoto (kapoteza ushahidi).
  6. T

    JamiiForums Tanzania Ni kwa namna gani nzuri naweza kuishi na mama mzazi asiyeniheshimu?

    Vyeti vipo vya aina nyingi, taaluma mbalimbali. Msilazimishe watoto mambo wasiyoyamudu! Somesha vijana masuala ya hotel, utalii, ufundi ujenzi, seremala, mabomba , gereji udereva, ufundi kompyuta, programming, mapishi ya keki na vitafunwa, mapambo, n.k. atapata vyeti na ujuzi na ajira ni nyingi...
  7. T

    JamiiForums Tanzania Ni kwa namna gani nzuri naweza kuishi na mama mzazi asiyeniheshimu?

    Maisha sio elimu pekee
  8. T

    JamiiForums Tanzania Ni kwa namna gani nzuri naweza kuishi na mama mzazi asiyeniheshimu?

    Anza kuwajibika kwa yote yanayokuhusu kwa 100% . Hii sio ngumu, fanya mambo kulingana na uwezo wako ili upunguze utegemezi kwa watu. Mwanadamu ana kawaida ya kuchoka kutegemewa, hata awe ndugu wa damu. Utamlaumu bure!
  9. T

    JamiiForums Tanzania Mbu kanipatia msongo wa mawazo

    Inasikitisha sana 😢
  10. T

    JamiiForums Tanzania Vitaanguka vipande kutoka juu angani

    Kwa hiyo?
  11. T

    JamiiForums Tanzania Bajeti ya 12 M napata gari gani?

    Kuna mdau anajiita "Bingwa wa magari used" huko Instagram kamcheki, kuna xtrail ya 11m. NB: watu wasikutishe, xtrail ukiipata nzima, ni gari kama gari nyingine tu, kikubwa service na spare Original. Gari ina nafasi ya kutosha ndani, na uvungu utakaokupa amani kutembea barabara mbaya.
  12. T

    JamiiForums Tanzania Mufti aomba mapumziko mwaka mpya wa kiislamu,naam uislamu ni dini ya haki

    Mtu unashindwa hata u-comment nini
  13. T

    JamiiForums Tanzania John Heche nakuomba sana jilinde popote ulipo

    Tunakumbuka, Pole pole na yeye ulimuonya mwaka jana
Back
Top Bottom