Recent content by TrulyP

  1. T

    JamiiForums Tanzania Kitanda na godoro vinauzwa milioni 1.3

    Kiongezee mvuto wa finishing ndipo uuze bei hiyo
  2. T

    JamiiForums Tanzania Hakuna tatizo lolote mwanamke kuzaa bila kuolewa au kuamua kuoa mwanamke mwenye mtoto

    Kwangu mimi ni bora single mama ambaye inaonesha angalau ana hofu ya Mungu baada ya kupata mimba hajamtumpa huyo kiumbe, kuliko mdada aliyetoa mimba moja au zaidi ili mwanaume amkute hana mtoto (kapoteza ushahidi).
  3. T

    JamiiForums Tanzania Ni kwa namna gani nzuri naweza kuishi na mama mzazi asiyeniheshimu?

    Vyeti vipo vya aina nyingi, taaluma mbalimbali. Msilazimishe watoto mambo wasiyoyamudu! Somesha vijana masuala ya hotel, utalii, ufundi ujenzi, seremala, mabomba , gereji udereva, ufundi kompyuta, programming, mapishi ya keki na vitafunwa, mapambo, n.k. atapata vyeti na ujuzi na ajira ni nyingi...
  4. T

    JamiiForums Tanzania Ni kwa namna gani nzuri naweza kuishi na mama mzazi asiyeniheshimu?

    Maisha sio elimu pekee
  5. T

    JamiiForums Tanzania Ni kwa namna gani nzuri naweza kuishi na mama mzazi asiyeniheshimu?

    Anza kuwajibika kwa yote yanayokuhusu kwa 100% . Hii sio ngumu, fanya mambo kulingana na uwezo wako ili upunguze utegemezi kwa watu. Mwanadamu ana kawaida ya kuchoka kutegemewa, hata awe ndugu wa damu. Utamlaumu bure!
  6. T

    JamiiForums Tanzania Mbu kanipatia msongo wa mawazo

    Inasikitisha sana 😢
  7. T

    JamiiForums Tanzania Vitaanguka vipande kutoka juu angani

    Kwa hiyo?
  8. T

    JamiiForums Tanzania Bajeti ya 12 M napata gari gani?

    Kuna mdau anajiita "Bingwa wa magari used" huko Instagram kamcheki, kuna xtrail ya 11m. NB: watu wasikutishe, xtrail ukiipata nzima, ni gari kama gari nyingine tu, kikubwa service na spare Original. Gari ina nafasi ya kutosha ndani, na uvungu utakaokupa amani kutembea barabara mbaya.
  9. T

    JamiiForums Tanzania Mufti aomba mapumziko mwaka mpya wa kiislamu,naam uislamu ni dini ya haki

    Mtu unashindwa hata u-comment nini
  10. T

    JamiiForums Tanzania John Heche nakuomba sana jilinde popote ulipo

    Tunakumbuka, Pole pole na yeye ulimuonya mwaka jana
  11. T

    JamiiForums Tanzania Tahadhari kwa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Taifa

    Uzi unaogopesha 😭😱😭
  12. T

    JamiiForums Tanzania KERO Hii shule ya Bright Future Secondary iliyopo Msongola Walimu wake wanachapa sana Watoto, imekuwa kero, nawaza kumuhamisha mwanangu

    Inachapa watoto kweli kweli hii shule. Lazima wawe na nidhamu na wazingatie masomo. Hakuna kudeka na hatulei ujinga ujinga
  13. T

    JamiiForums Tanzania "Mwana wa Zinaa" Kiislamu HANA URITHI, Wakristo ninyi vipi, mnawapa urithi?

    Swali la ufahamu kwa anayeelewa. Mtoto wa nje ya ndoa ni yupi? Kwa mfano watu wameoana wakazaa watoto halafu wakapeana talaka. Baba akaoa tena,na akazaa na huyo mke mpya. Je watoto wa mke wa mwanzo ambaye si mkewe tena, kisheria wapo kundi gani?
  14. T

    JamiiForums Tanzania KERO Lugalo hadi Mwenge kuna foleni balaa

    Hii sio dalili nzuri. Ongezeni jitihada kununua magari
  15. T

    JamiiForums Tanzania Hii idea yangu ya biashara ya Bajaji za Umeme mnaionaje?

    Unahitaji maoni kuhusu nini sijaelewa
Back
Top Bottom