Recent content by TrulyP

  1. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtaje first love wako humu ili kama yupo humu mkumbushane the good old days

    Wa jeiefu au wa mtaani?
  2. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna binti nilimtamani nikamtongoza kimafumbo lakini hiki ndo kilichotokea!

    Mwanaume unakubalije kuwa friend-zoned kirahisi? Pambana
  3. T

    JamiiForums Tanzania Bodaboda amuua kwa kumchoma kisu aliyekuwa mpenzi wake muuguzi msaidizi hospital ya wilaya ya Same

    Tulia uandike vizuri hiyo aya ya kwanza
  4. T

    JamiiForums Tanzania Mwisho wa uhai duniani

    Usiseme kiumbe, sema binadamu. Kuna viumbe mf. Kobe, wanaishi zaidi ya miaka mia mbili
  5. T

    JamiiForums Tanzania Wiki mbili zijazo nina safari ya kwenda Pennsylvania

    Wiki 2 uondoke naye? Si kweli.,maandalizi ya safari ya marekani yanahitaji muda. Labda pennysilvania ya Buza.
  6. T

    JamiiForums Tanzania Sishauri mtu kusoma PhD OUT

    Kwa hapa kwetu, UDOM wana afadhali
  7. T

    JamiiForums Tanzania Simu Bora za Kununua nchini Tanzania kwa Mwaka 2026

    Flagship phone isubirie miaka miwili utaipata kwa nusu ya bei :)
  8. T

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Tundu Lissu kumuonya dhidi ya kutetea masikini na wapumbavu

    Ukombozi kamili wa kifikra kwa jamii yoyote huanzishwa na watu wachache waliojitolea na kuweka kando ubinafsi. Watu ambao wanaona fahari kutumia vipawa vyao kwa ajili ya ustawi wa 'mankind' . Mfano wa watu hao kwa hapa kwetu ni Nyerere. Ni ukweli kwamba njia yao huwa ni ngumu, lakini, aghalabu...
  9. T

    JamiiForums Tanzania Mufti ataka Rais Samia aombewe

    "Ni wajibu wa wachungwa kumuombea mchunga wao...."
  10. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji mwanamke wa kuoa njoo inbox Moja kwa Moja awe Dodoma na viunga vyake

    Tahadhari ni muhimu. Isijekuwa ndiye wewe uliyeachika kwake halafu mkutane tena
  11. T

    JamiiForums Tanzania Upuuzi wa migahawa mingi sasa hivi kuuza mchaichai wa kuchemsha kama chai nyeusi(black tea) unakera sana

    Bila kuweka majani ya chai hauwezi kuiita ni chai Huo mtindo wa kuchemsha mizizi na majani ulianza kipindi cha COVID na sasa imezoeleka kama mbadala chai, lakini sio sahihi. Chai ina kazi yake, waulize watu wa bara la Asia hauwaambii kitu kuhusu chai, kila mlo ipo
  12. T

    JamiiForums Tanzania Tumeua Kidogo tu, Nonsense of the highest level

    Dah! Kuna vitu ukivitafakari unafikia ukomo wa kufikiri. Mwenyezi Mungu arehemu hili taifa na viongozi wake. 🙏
Back
Top Bottom