Recent content by TrulyP

  1. T

    Mwisho wa uhai duniani

    Usiseme kiumbe, sema binadamu. Kuna viumbe mf. Kobe, wanaishi zaidi ya miaka mia mbili
  2. T

    Wiki mbili zijazo nina safari ya kwenda Pennsylvania

    Wiki 2 uondoke naye? Si kweli.,maandalizi ya safari ya marekani yanahitaji muda. Labda pennysilvania ya Buza.
  3. T

    Sishauri mtu kusoma PhD OUT

    Kwa hapa kwetu, UDOM wana afadhali
  4. T

    Simu Bora za Kununua nchini Tanzania kwa Mwaka 2026

    Flagship phone isubirie miaka miwili utaipata kwa nusu ya bei :)
  5. T

    Barua ya wazi kwa Tundu Lissu kumuonya dhidi ya kutetea masikini na wapumbavu

    Ukombozi kamili wa kifikra kwa jamii yoyote huanzishwa na watu wachache waliojitolea na kuweka kando ubinafsi. Watu ambao wanaona fahari kutumia vipawa vyao kwa ajili ya ustawi wa 'mankind' . Mfano wa watu hao kwa hapa kwetu ni Nyerere. Ni ukweli kwamba njia yao huwa ni ngumu, lakini, aghalabu...
  6. T

    Mufti ataka Rais Samia aombewe

    "Ni wajibu wa wachungwa kumuombea mchunga wao...."
  7. T

    Nahitaji mwanamke wa kuoa njoo inbox Moja kwa Moja awe Dodoma na viunga vyake

    Tahadhari ni muhimu. Isijekuwa ndiye wewe uliyeachika kwake halafu mkutane tena
  8. T

    Upuuzi wa migahawa mingi sasa hivi kuuza mchaichai wa kuchemsha kama chai nyeusi(black tea) unakera sana

    Bila kuweka majani ya chai hauwezi kuiita ni chai Huo mtindo wa kuchemsha mizizi na majani ulianza kipindi cha COVID na sasa imezoeleka kama mbadala chai, lakini sio sahihi. Chai ina kazi yake, waulize watu wa bara la Asia hauwaambii kitu kuhusu chai, kila mlo ipo
  9. T

    Tumeua Kidogo tu, Nonsense of the highest level

    Dah! Kuna vitu ukivitafakari unafikia ukomo wa kufikiri. Mwenyezi Mungu arehemu hili taifa na viongozi wake. 🙏
  10. T

    GE2025 Mnaosema Samia ajiuzulu, ajiuzulu nini?

    Hata mimi nashangaa. Walikuwa wanaendelea kuchati wakiwa mamtoni
  11. T

    Kama unafanya kazi chini ya Tamisemi (Halmashauri), sema neno lolote kwenye uzi huu

    Anza wewe mtoa mada ili watu wawlewe unataka wachangie hoja gani?
  12. T

    Hatukuuzii Bando, tunafanya line yako iweze kununua vifurushi kwa bei nafuu.

    Tatizo ni pale ambapo huduma hizo zinaunganishwa kwa malipo wakati bando utalipia pia. It doesn't make sense. Voda wameweka vijana kama mawinga wanakudai hadi 10000 kukuunga kifurushi cha 10000 gb 10. Gharama inarudi pale pale
Back
Top Bottom