Ukombozi kamili wa kifikra kwa jamii yoyote huanzishwa na watu wachache waliojitolea na kuweka kando ubinafsi. Watu ambao wanaona fahari kutumia vipawa vyao kwa ajili ya ustawi wa 'mankind' . Mfano wa watu hao kwa hapa kwetu ni Nyerere.
Ni ukweli kwamba njia yao huwa ni ngumu, lakini, aghalabu...
Bila kuweka majani ya chai hauwezi kuiita ni chai
Huo mtindo wa kuchemsha mizizi na majani ulianza kipindi cha COVID na sasa imezoeleka kama mbadala chai, lakini sio sahihi. Chai ina kazi yake, waulize watu wa bara la Asia hauwaambii kitu kuhusu chai, kila mlo ipo
Tatizo ni pale ambapo huduma hizo zinaunganishwa kwa malipo wakati bando utalipia pia. It doesn't make sense. Voda wameweka vijana kama mawinga wanakudai hadi 10000 kukuunga kifurushi cha 10000 gb 10. Gharama inarudi pale pale
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.