de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 10,392
- 20,581
Hakika leo nimekumbwa na msongo kisa mbu. Nimeamka asubuhi nikakuta mbu ndani ya neti. Kitu cha kushangaza ni kuwa alikua ametuna tumbo mpka kupaa ilikuwa tabu kwake. Yaani kaninyonya damu mpaka basi.
Nimeumia sana kwa kumwona. Na hadi sasa nipo kazini roho inaniuma nikiwaza alipata upenyo upi kuingia ndani ya neti isiyo na tundu?
Hapa najiuliza atakuwa yule anopheles wa malaliria ama? Daah kuna vitu vinaweza kuwa vya kijinga ila vikamkaa mtu na asiongelee maana ataonwa mjinga.
Nimeumia sana kwa kumwona. Na hadi sasa nipo kazini roho inaniuma nikiwaza alipata upenyo upi kuingia ndani ya neti isiyo na tundu?
Hapa najiuliza atakuwa yule anopheles wa malaliria ama? Daah kuna vitu vinaweza kuwa vya kijinga ila vikamkaa mtu na asiongelee maana ataonwa mjinga.