umeongea kitu cha maana sana!! wengi ya waafrika tunaangalia kesho yake tu!! Hatuangalii wakati ujao!! Huo uwanja wa ndege utakuja kutufaa baadae fursa za mikoa hiyo ikifunguka!!
mkuu kupanga sio ishu ni matakwa ya mtu mwenyew!!
Kuna mzee mmoja ni Mmiliki wa JD pharmaceuticals LTD, ana branches kila mahali za pharmacies kama kuna pharmacy inaitwa Jd mlimani city ya kwake, Jd pale Aura mall ni bilionea lakini kapanga masaki!
Kupanga ni choice ya mtu..😀
Tena kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.