Inawezekana ukawa anko kweli[emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14]Habari ndugu, jamaa, na marafiki Kama mada inavyojieleza hapo juu mimi naishi na mke wangu pamoja na watoto wawili wa dada zangu ambao wametangulia mbele za haki,
Shida kubwa inayokuja ni huyu mtoto wangu na yeye amejikuta ameingia kwenye mkumbo wa kuita uncle Kama wenzake wawili wanavyoniita, saiv anamiaka 3 msaada nifanye nini ili aniite baba.? Maana najalibu kumuambia mm sio uncle ni baba lkn anataniita baba kwa mda huo huo baada ya apo ataendelea kuita Uncle.
Nilitaka kuelekea hapa.Waambie hao watoto wa Dada zako wakuite Baba, baada ya muda mfupi na mwanao nae atakuita Baba
Katika kitabu ambacho nimeplan kukiandaa kuhusu malezi ya watoto hili nalo nitaligusia.Habari ndugu, jamaa, na marafiki kama mada inavyojieleza hapo juu mimi naishi na mke wangu pamoja na watoto wawili wa dada zangu ambao wametangulia mbele za haki.
Shida kubwa inayokuja ni huyu mtoto wangu na yeye amejikuta ameingia kwenye mkumbo wa kuita uncle kama wenzake wawili wanavyoniita, saivi ana miaka 3 msaada nifanye nini ili aniite baba? Maana najaribu kumuambia mimi sio uncle ni baba lkn anataniita baba kwa mda huo huo baada ya apo ataendelea kuita Uncle.
Habari ndugu, jamaa, na marafiki kama mada inavyojieleza hapo juu mimi naishi na mke wangu pamoja na watoto wawili wa dada zangu ambao wametangulia mbele za haki.
Shida kubwa inayokuja ni huyu mtoto wangu na yeye amejikuta ameingia kwenye mkumbo wa kuita uncle kama wenzake wawili wanavyoniita, saivi ana miaka 3 msaada nifanye nini ili aniite baba? Maana najaribu kumuambia mimi sio uncle ni baba lkn anataniita baba kwa mda huo huo baada ya apo ataendelea kuita Uncle.
poa mamii..pm 😋
?????Ma' senoqita23, waguma!?
Anakuita hivyo kwa sababu "intellect" yake bado iko pure, haijawa polluted na some processes za reasoning; bado iko kwenye pure form kama ambavyo Adam na Hawa walivyokuwa kabla hawajatenda dhambi. Kwa sasa bado anatumia logic peke yake without reasoning. Mind yake itakapokuwa polluted, ndiyo kipindi ambacho sasa ataanza ku-incorporate reasoning kwenye logic.Habari ndugu, jamaa, na marafiki kama mada inavyojieleza hapo juu mimi naishi na mke wangu pamoja na watoto wawili wa dada zangu ambao wametangulia mbele za haki.
Shida kubwa inayokuja ni huyu mtoto wangu na yeye amejikuta ameingia kwenye mkumbo wa kuita uncle kama wenzake wawili wanavyoniita, saivi ana miaka 3 msaada nifanye nini ili aniite baba? Maana najaribu kumuambia mimi sio uncle ni baba lkn anataniita baba kwa mda huo huo baada ya apo ataendelea kuita Uncle.