Recent content by traveller_tz

  1. traveller_tz

    JamiiForums Tanzania Wimbi la wanawake kujichubua imekuwa kero na karaha

    Wanapewa maneno matamu kama haya ya kuhamasishana
  2. traveller_tz

    JamiiForums Tanzania Miaka 60 na CCM Madarakani: Ujinga, umaskini na maradhi bado havijaondoka

    Ccm nayo ni saccos tu tatizo ni kwamba mwenye saccoss yake alishatangulia mbele ya haki na waliobaki wamekula faida saiz wanakula mtaji
  3. traveller_tz

    JamiiForums Tanzania Serikali: Bei ya mafuta ya kula imepanda kwenye soko la dunia kutoka US dollar 500 hadi 1000 ndio sababu bei haijashuka

    Sasa mula mula mbona kama safari zake hazina faida kwa taifa, anashindwa kutafuta marafiki watuuzie kwa bei ya kishkaji Halafu hili soko la dunia liko wapi na si tupeleke mahindi yetu uko inaelekea soko tamu sana hilo
  4. traveller_tz

    JamiiForums Tanzania SoC01 Uraibu wa Ponografia

    Kuna duka moja linauza nguo za ndani za kike pale palm village, lile duka now days limeingia kwenye biashara ya SEX TOYS kwa wadada aisee huwa nikitafakari hiyo biashara, naimani kabisa wateja wengi ni addicts wa pornographs ambao hawaridhishwi na binadamu wa kawaida. Na wafanyabiashara wana...
  5. traveller_tz

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ni lini mtalipa malimbikizo ya mishahara ( Salary arrears)...??

    Dah hii hoja kali sana sidhani kama ataweza kuipangua nadhani alijua shughuli zote hizo zinafanywa na marobot hakuelewa kwamba zote zinaratibiwa na kuendeshwa na watu ambao ni waajiriwa wa serkali ambao wanaidai serikali malimbikizo yakutosha ya stahiki zao na kwa muda mrefu.
  6. traveller_tz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume kabla hujaamua kuoa ama kuzaa na mwanamke lazima ujiulize hili swali la msingi

    Hii kujipanga imezeesha wengi wakiwa single, riziki mafungu huezi jua lini utapata zaid na ziada Ila sikuzote mwanamke mwenye akili akikukuta na kidogo lazima kitamultiply na hiyo ndo asili ya mwanamke ukimpa mbegu anakupa mtoto ukimpa jengo anakupa nyumbani Kujipanga sidhani kama ni solution...
  7. traveller_tz

    JamiiForums Tanzania Ole Sabaya: Hai iliendeshwa kihuni sana, mimi nimekuwa mwarobaini

    Kwani wana hai wao wanasemaje Wanataka maendeleo ya watu au wanataka maendeleo ya vitu??
  8. traveller_tz

    JamiiForums Tanzania Wanaoitwa Wazee wa Dar es Salaam ambao kila Rais wa Tanzania anatamani kukutana nao ni akina nani?

    Ivi hakuna viti maalumu kwenye hilo kundi la wazee kukawa na gender balance kwa mbaali
  9. traveller_tz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini wanawake wengi wa kizazi cha sasa hawaolewi?

    Gender balance movements zimegeuza mwanamke kua mwanaume mentaly so hakuna mwanaume atataka kumweka ndani mwanaume mwenzie, so hao unaona hawajaolewa sio wanawake ni wanaume wenzetu
  10. traveller_tz

    JamiiForums Tanzania Mbunge Deo Sanga: Kikwete, Nape na Ndugai wasisemwe vibaya mitandaoni

    Uyu mzee wa mitano tena anabadili upepo wa mapambio kaona hawa akiwatetea watamkumbuka kwenye ufalme wao wa mama
  11. traveller_tz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tanzania yaruhusu Magari ya Kenya kuingia Tanzania baada ya Kenya kuipigia magoti

    Hawa jamaa hata wao kwa wao tu hawaelewani nadhan ukabila walio nao ni sumu kali wanaipeleka mpaka kwa majirani zao
  12. traveller_tz

    JamiiForums Tanzania Je, tofali 2800 zinatosha kujengea nyumba ya vyumba 3 na kila kitu ndani?

    10k hata kuprint tu ramani haitoshi, afu mtu akae kwenye autocad week nzima umpe 10k labda kama ramani kadownload pintirest
  13. traveller_tz

    JamiiForums Tanzania Baunsa wa bar jifunzeni kazi hasa wa lachaaz

    Dah! Hii nilidhani inanitokeaga mimi tu kumbe jamaa wako viral. Ila bar nyingi za dar sikuiz huduma kwa mteja imeshuka labda kama wanakujua si baunsa si wahudumu especialy wahudumu wa kiume wako arrongant sana unless umtip kabla ya huduma
Back
Top Bottom