sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,989
- 4,126
Wewe hujui effect za kiuchumi mama akiongeza hela...uchumi lazima uwe stimulated...sio kuongeza mikopo afu mnakuja ku raise tax kwenye bidhaa muhimuMnawaza mishahara tu, watu huko vijijini hawana maji hawana vituo vya afya.
Nashauri msilipwe mpaka nchi nzima wananchi wapate maji Safi na vituo vya afya
Mnatupa shida! Hongera mleta uzi