mzungumini
Member
- Mar 14, 2019
- 22
- 27
Wanyakiusa wanafaa sana kuoaWala sio strong point,ni kwamba, wanawake siku hizi,ni wajuaji sana,na hizi seminar zenu na elimu mnayopata ndiyo vinawapa kiburi! Mnatukoromea,wakati mwanaume hizo mambo hazipo,mnataka 50 kwa 50 kwenye maamuzi,but when comes to responsibility,nasimama alone! That why tunakufa mapema!