mara ya mwisho nilisikia akiwa anatoka jela on drug charges. Na baada ya hapo ikaelezwa kwamba amefilisika(officially). Inatia huruma. Drugs ndio shida.
Mkuu Chief Mkwawa, asante kwa updates zako. Mimi natumia simu ya Micromax Canvas Gold A300,tatizo ninalopata ni kwamba,muda wote inaniambia memory is full na siwezi ku-download any apps, wakati ina 25GB internal memory. Sijui Unawezaje kuunganisha RAM na hyo 25GB ili niweze kudownload more apps.
Much as i know, any airline can make travel arrangements for any passanger regardless of one's condition. That is why they have arrangements for even paralized/bed ridden patients.
Boflo kama ilivyo katika mapishi,ladha huendana na aina ya mapishi. So sie wengine utamu wa samaki shurti ageuzwe. Huyo wa kuchuchumia km ivo hanogi yakhe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.