Tecno sasa inapokea Updates

Tecno sasa inapokea Updates

Humu Jf bhana yaani ni raha kweli....adanganywi mtu aiseee..
 
Kwakweli tecno sio stable nilikuwq nambishia Chief mkwawa ila atleast kila simu mmoja ya tecno niliotumia nilipata kikwazo kimoja bila kujali ukubwa au udogo wake. Ubora bado tecno
 
kila mtu ana haki na anapaswa kuwa na elimu ya kitu anachofanya. mimi natengeneza awareness tu hapa uamuzi wa kununua ni wako na utaendelea kuwa wako milele.

wangapi wamenunua tecno C5 japo tumewaonya haitakubali 4g na still wakanunua na still wakafungua thread sa msaada kwaninia simu zao hazikubali 4g?

chip kwenye simu ni muhimu sana tena sana haishii kwenye processor na gpu tu kuna mambo kama.

1. modem- hapa utapata mambo kama 3g na 4g na speed na hata ukipiga simu kama zinakata kata sometime soc kimeo huweza sababisha

2. camera mechanism na alogarithm zinaendeshwa na soc hivyo unaweza kuwa na camera yenye hardware nzuri ila soc ikawa kimeo mwisho wa siku ukapata experience mbaya mf lumia 1020.

3. malware- angalia simu za mediatek zinavyoathirika sana na malware, sisemi snapdragon haziathiriki ila soc mpya za sd zote zinafight malware kuanzia hardware level ndo mana thread za tecno haziishi humu.

4. lag za simu- ndio huchezi games ila una user interface, ios zipo smooth sababu siku zote iphone zina gpu kubwa. smu ikiwa na gpu kimeo hata launcher kuihandle ni matatizo.

4. ukaaji wa chaji- mediatek siku zote inakunywa chaji sana na zipo pia soc za sd zinakunywa chaji sana ila zipo soc za sd ni energy efficient kama sd 800/801 unakuta simu zina vibattery vidogo kama 2600mah then zinazishinda simu za mediatek zenye 4000mah.

kuna mambo mengi sana ila huwezi kuyaandika kwenye comment kama hivi nikipata time nitaanzisha thread kabisa

Nadhani hapo kwenye 4g unapotosha watu...mie natumia techno C5 na inashika 4g kama kawaida...
 
Nadhani hapo kwenye 4g unapotosha watu...mie natumia techno C5 na inashika 4g kama kawaida...
band gani? hakuna aliekataa haina 4g ila hizo band zake ni useless kwetu. unatumia c5 na mtandao gani? tuekee na screenshot
 
Ila saizi naanza kuungana Chief-Mkwawa haya ma tecno ni kalaa, yan hili li C8 bomu kabisa, nikienda kwenye contacts, inanambia no contacts, unakaa hadi dakika ndio ina view contacts, hivyo ivyo kwa call logs, yan unaweza kuwa unataka kumpigia mtu simu ya haraka, au umeona missed call nataka kuijibu aisee unaweza bonda lisimu chini.

Yan hata mtu akipiga inaweza leta namba bila jina mpk kumbukumbu ziirudie utakuwa ushapokea nakumuuliza mtu naongea na nani. Aisee ni tabu laki 3 imeungua.

Hii ni tecno ya mwisho, sasa basi tena. Ctaki
Pole mkuu ila mm binafsi sijawahi kutumia tecno, nina kasamsung kangu laki 2 na nusu lakini kazuri kuliko hiyo tecno yako la laki 3
 
Last edited by a moderator:
@Chief-Mkwawa sorry natumia sumsung Grand prime ina android version 4.4.4 Kitkat but nataka kuiupdate iende kwenye lollipop ila sijui jinsi ya ku update, naomba unielekeze Jinsi ya ku update kama hutojari.
Je mimi hii samsung yangu naweza kuiupdate?
 

Attachments

  • 1451598686182.jpg
    1451598686182.jpg
    11.8 KB · Views: 55
band gani? hakuna aliekataa haina 4g ila hizo band zake ni useless kwetu. unatumia c5 na mtandao gani? tuekee na screenshot

Chief Mkwawa usiwe mbishi muda wote kama haujafanya tafiti ya kutosha....ngoja niambatanishe vitu unavyotaka nafsi yako ilidhike.
Hiyo hapo chini ni video am watching online using Tigo internet kwa kutumia simu ya Techno C5 na ukiangalia utaona sign ya 4g kwenye network bars
 

Attachments

  • 1451828900563.jpg
    1451828900563.jpg
    25.5 KB · Views: 56
  • 1451829012215.jpg
    1451829012215.jpg
    40.2 KB · Views: 56
Attachment nyingine hii hapa
 

Attachments

  • 1451829079285.jpg
    1451829079285.jpg
    22.5 KB · Views: 61
Simtaalamu wa haya mambo lakini nimejaribu
 

Attachments

  • 1451833411700.jpg
    1451833411700.jpg
    56.4 KB · Views: 55
  • 1451833457937.jpg
    1451833457937.jpg
    56.3 KB · Views: 55
  • 1451833510093.jpg
    1451833510093.jpg
    41.4 KB · Views: 55
Simtaalamu wa haya mambo lakini nimejaribu
seems upo sahihi, unatumia 4g lakini kwenye suala la band bado nipo gizani na hata lte discovery inaonesha band ni unknown.
1. inawezekana tigo wana band tofauti na 800.
2. specs zilizotolewa na tecno ni za uongo.
3. kuna variety mbili za tecno c5.

sababu wakati inatoka thread yake ililetwa hapa na tukahakikisha haina band 800, na sio mimi tu walikuwa watu wengi walihakikisha

Tecno C5 4G Smartphone | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
 
Mi sijaisikia hio android 5.2, maana google hajaitoa, ilivyotoka 5.1 moja kwa moja watu wakaenda android M (marshamallow) aka android 6.

Muanzisha nada hebu tuambie hio android 5.2 ipoje?

Na update ya h na h+ hio Ni gimmick sababu kinachosuport aina Fulani ya network Ni modem ya simu (hardware) hivyo kusema umepata update ikaongeza h inatia mashaka

Na kufix hizo bugs imefix nini?

Kampuni isio na ofisi anaetuma hizo update Ni nani?
Chief Mkwawa Mwenyezi Mungu Inshaallah akupe maisha marefu na akuongezee uvumilivu katika jukwaa hili utusaidie na upata nguvu za ku deal na wazushi bila kuchoka!
 
Mkuu Chief Mkwawa, asante kwa updates zako. Mimi natumia simu ya Micromax Canvas Gold A300,tatizo ninalopata ni kwamba,muda wote inaniambia memory is full na siwezi ku-download any apps, wakati ina 25GB internal memory. Sijui Unawezaje kuunganisha RAM na hyo 25GB ili niweze kudownload more apps.
 
Mkuu Chief Mkwawa, asante kwa updates zako. Mimi natumia simu ya Micromax Canvas Gold A300,tatizo ninalopata ni kwamba,muda wote inaniambia memory is full na siwezi ku-download any apps, wakati ina 25GB internal memory. Sijui Unawezaje kuunganisha RAM na hyo 25GB ili niweze kudownload more apps.

nenda setting then storage iache iload then itakuonyesha mchanganuo wa jinsi storage ilivyotumika.

maybe kuna storage ya apps na media za kawaida.
 
Back
Top Bottom