Recent content by Trainee

  1. Trainee

    JamiiForums Tanzania Utaratibu wa "minara" kwenye magari ya abiria kusini unawakwaza wateja/wasafiri, mamlaka ondoeni hii adha

    Kina huu utaratibu nimeuona kwenye magari ya huku kusini sijui kwingine nako ni hivyo hivyo au la!? Yaani siku hizi gari ina vituo bubu (visivyo rasmi) njiani. Hatukatai vituo hivyo lakini kinachokera ni kwamba vituo hivyo vinamcontrol kila mtu anayehusika na gari kiasi kwamba nyinyi abiria...
  2. Trainee

    JamiiForums Tanzania Hii ni aina gani ya kuku??

    JOGOO wa PAZI huyo angalia asije akakubeba na wewe Kama wewe mhenga umenielewa
  3. Trainee

    JamiiForums Tanzania Kama unampenda mama like

    Bahati mbaya mama yako hawezi kuona haya maandishi yako kamwe
  4. Trainee

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Wanafunzi wa UDSM tuliingiziwa Boom mara 2 kimakosa, kutudai wanatuletea TAKUKURU kutukamata, kwani hayo ni makosa yetu?

    Sipati picha ndo ningekuwa mmoja wa walioingiziwa hizo fedha Nina kaugonjwa hela ikinijia kimakosa siiachi Ningetesekaje..!?
  5. Trainee

    JamiiForums Tanzania Kwanini mtu huogopa? Hasa kufa kwa nini?

    Kwa sababu kuna MwenyeziMungu Na hiyo ni dalili tosha miongoni mwa dalili kuwa kunaye mungu muweza wa yote (Wanaosoma elimu ya dini ya kiislamu wanaelewa sana)
  6. Trainee

    JamiiForums Tanzania TANESCO: Gridi ya Taifa yapata hitilafu. Umeme wakatika nchi nzima - Juni 27, 2026

    Tuna umeme wa Tanesco lakini siyo gridi Hivi unajua kwamba kwa mkoa wa Lindi gridi ipo Kilwa tu tena ni kwa baadhi ya maeneo (Lindi MC sina uhakika sana)
  7. Trainee

    JamiiForums Tanzania Hawa members maarufu JF wamepotelea wapi?

    Mimi nawamiss Mwifwa, Papaa gx na mwingine ana avatar ya ninja (Akili yangu huwa inanambia hao wote watatu ni mtu mmoja)
  8. Trainee

    JamiiForums Tanzania TANESCO: Gridi ya Taifa yapata hitilafu. Umeme wakatika nchi nzima - Juni 27, 2026

    Huku Liwale hatujui hiyo gridi kwahiyo tuna umeme
  9. Trainee

    JamiiForums Tanzania Kama sharia za kiislamu ziko hivi; naomba wasiruhusiwe kuwa na mahakama ya kadhi

    Dini/sheria ya waislamu, wanaoitumikia waislamu, nyegere mmoja kutoka Mang'hweta ndo atoe eti "MAONI" kutaka ibadilishwe... Ajabu kwelikweli Pilipili usiyoila
  10. Trainee

    JamiiForums Tanzania Kila idara kila kona taarifa zimekuwa za kificho kabisa

    Kama Nimeelewa vile kumbe Sijaelewa
  11. Trainee

    JamiiForums Tanzania Ni lafudhi gani unaipenda katika makabila ya Tanzania?

    Wamasai na Warangi wananikosha sana, lafudhi zao kwa wanaoweza Kiswahili basi akiongea ni Kiswahili pure
  12. Trainee

    JamiiForums Tanzania Platform ya X (Twitter) haifunguki hata kwa vpn ni joto la 7 7 kupanda na uoga wa jamhuri??

    Ngoja waje kuthibitisha au kukataa
Back
Top Bottom