Kwa sababu kuna MwenyeziMungu
Na hiyo ni dalili tosha miongoni mwa dalili kuwa kunaye mungu muweza wa yote
(Wanaosoma elimu ya dini ya kiislamu wanaelewa sana)
Tuna umeme wa Tanesco lakini siyo gridi
Hivi unajua kwamba kwa mkoa wa Lindi gridi ipo Kilwa tu tena ni kwa baadhi ya maeneo (Lindi MC sina uhakika sana)
Dini/sheria ya waislamu, wanaoitumikia waislamu, nyegere mmoja kutoka Mang'hweta ndo atoe eti "MAONI" kutaka ibadilishwe... Ajabu kwelikweli
Pilipili usiyoila
Hiki ndicho nilichojibiwa na IT wa wilaya
Yaani ni serikali ndiyo imeamua kwamba mifumo yake yote ni kwa Android pekee na sasa ndiyo nauliza kwa nini wanazitenga iPhone?
Kwa maelezo yake (huyo IT) ni kwamba iPhone ina teknolojia kubwa hivyo wanahofia usalama wa mifumo yao. Kama ni kweli hii...
Hiki ndiyo suluhisho haswa
Ujue vijana wanasajili simu mpaka kero mimi sijui maIT wa bongo wana kazi gani
MaIT wetu wanachojua ni kurekodi simu za watu tu
Simu za mkopo zimezuiwa features nyingi mno za muhimu ambapo kibongo bongo ni ngumu mtu kutumia simu bila kuzigusa. Njia kuu wanayotumia wakiona mtu analazimisha kufikia features hizo ni kuzuia kabisa simu yenyewe isitumike
Kinachotokea ni kwamba mtu anatumia simu siku chache akiivuruga inakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.