Jeshini kuna vigezo vya ovyo sana
Wacheza Kung Fu/kareti wengi tu wana miguu ya namna hiyo na wala siyo nongwa. Haya na watuambie wajeda huko jeshini na kwenye madojo tofauti ni nini katika swala la foot
Halafu siyo jeshini pekee ni sehemu nyingi tu kuna ujinga ujinga. Vitu vingine ni vya...
Ni uchizi watu wa zamani huko kwenye karne kuwaweka na hawa wa milenia
Na kama ni hivyo basi maarufu wangekuwa akina Ibrahim, Mussa, Adamu, Firauni, Yesu, Muhammad na ukiongeza na wa sasa ni kina trump, netanyahu, rais wa iran, mimi nk
Kina huu utaratibu nimeuona kwenye magari ya huku kusini sijui kwingine nako ni hivyo hivyo au la!? Yaani siku hizi gari ina vituo bubu (visivyo rasmi) njiani.
Hatukatai vituo hivyo lakini kinachokera ni kwamba vituo hivyo vinamcontrol kila mtu anayehusika na gari kiasi kwamba nyinyi abiria...
Kwa sababu kuna MwenyeziMungu
Na hiyo ni dalili tosha miongoni mwa dalili kuwa kunaye mungu muweza wa yote
(Wanaosoma elimu ya dini ya kiislamu wanaelewa sana)
Tuna umeme wa Tanesco lakini siyo gridi
Hivi unajua kwamba kwa mkoa wa Lindi gridi ipo Kilwa tu tena ni kwa baadhi ya maeneo (Lindi MC sina uhakika sana)
Dini/sheria ya waislamu, wanaoitumikia waislamu, nyegere mmoja kutoka Mang'hweta ndo atoe eti "MAONI" kutaka ibadilishwe... Ajabu kwelikweli
Pilipili usiyoila
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.