Recent content by Trainee

  1. Trainee

    JamiiForums Tanzania Nahitaji nyumba ya kupanga maeneo ya Moshono, Njiro au Morombo (Arusha)

    Wakuu mmekasirika nini mbona hamleti vitu?
  2. Trainee

    JamiiForums Tanzania Nahitaji nyumba ya kupanga maeneo ya Moshono, Njiro au Morombo (Arusha)

    Fanya hivyo mkuu
  3. Trainee

    JamiiForums Tanzania Nahitaji nyumba ya kupanga maeneo ya Moshono, Njiro au Morombo (Arusha)

    Vyumba viwili vya kulala, sebule na jiko Gharama ya 200k-250k kwa mwezi Ikiwa inajitegemea ni vyema zaidi Shida ni ya fasta sana tafadhali
  4. Trainee

    JamiiForums Tanzania Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Paranyunyu
  5. Trainee

    JamiiForums Tanzania Mabeberu wakisikia tu tunataka kujikomboa lazima hawa jamaa wachungulie kinachofanyika.

    Muache, mainjinia ndiyo English yao hiyo
  6. Trainee

    JamiiForums Tanzania Kwani Kuna ulazima wa watu kuchangia mchango wa harusi?

    Siyo lazima Siyo muhimu Siyo ustaarabu Nitarudi
  7. Trainee

    JamiiForums Tanzania Ulaji wa mayai wa mara kwa umara unatanua moyo au kuufanya uende mbio?

    Siyo uchoyo mzee ni njia tu za kudhibiti mambo fulani fulani kwa watoto na jamii. Nimekaa vijijini sana na mambo hayo yapo sana hasa kwa wanaofuata mila za makabila. Mjamzito hapewi chakula chochote cha mafuta mpaka akishajifungua. Korodani za mbuzi wanakula wanaume tu. Miguu au moyo wa kuku...
  8. Trainee

    JamiiForums Tanzania Ulaji wa mayai wa mara kwa umara unatanua moyo au kuufanya uende mbio?

    Kisayansi siwezi kuchambua hoja hii maana siyo angle yangu hiyo lakini kijamii naweza kukwambia wazee walikuwa wana sababu za msingi ambazo kwa kijana mdogo ni ngumu kuelewa. Kwa ajili hiyo ndiyo maana wakawa wanatumia kukataza mambo kwa kutaja sababu ambazo either za uongo au ukweli...
  9. Trainee

    JamiiForums Tanzania Taifa la Fremu, Boda na Bajaji , Je, Hii ndiyo Ndoto ya Kijana wa Kitanzania?

    Uzi nzuri sana lakini kila nikisoma sifiki mwisho...nikaacha
  10. Trainee

    JamiiForums Tanzania Watu wa karibu na huyu mlevi anayejiita mkemia hebu msaidieni kabla haijawa too late!

    Asante kwa swali zuri ingawa maelezo yangu hapo juu tayari yana jibu lako ndani yake Ni kwamba tunaamriwa kuwapenda watu wote na kuwaombea heri haijalishi waislamu au si waislamu. Kumpenda ni pamoja na kumsaidia kumjali na kumuombea mema Kwahiyo uhusiano kati ya uislamu wangu na yeye ni...
  11. Trainee

    JamiiForums Tanzania Watu wa karibu na huyu mlevi anayejiita mkemia hebu msaidieni kabla haijawa too late!

    Mimi ni muislamu Kwenye uislamu ni haramu mtu kujidhuru, Kwenye uislamu ni haramu kumdhuru mtu, Kwenye uislamu ni haramu kumwacha mtu ajidhuru, Kwa lugha nyepesi ni kwamba kila aliyeona au kusikia basi atawajibika Hadithi ya mtume inasema (tafsiri isiyo rasmi) "kila mmoja ni mchunga na kila...
  12. Trainee

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

    Two years
  13. Trainee

    JamiiForums Tanzania Watu wa karibu na huyu mlevi anayejiita mkemia hebu msaidieni kabla haijawa too late!

    Kuna jamaa mmoja anapenda kuweka status WhatsApp zikionesha mnywa pombe anayejiita mkemia mkuu. Kwenye hizo clips mara zote nilipoangalia ni kwamba huyo jamaa (mkemia) anaonesha namna alivyo mahiri katika kunywa pombe kali kali za kila aina. Ukichunguza vizuri utagundua yule mtu anaumia sana...
  14. Trainee

    JamiiForums Tanzania Njia ya kumuachisha mtoto kunyonya kidole

    Eti isiyo na madhara! Acha ujinga wewe mpake pilipili au kitu kichungu kwenye kidole hicho ataacha mara moja
Back
Top Bottom