Recent content by Trainee

  1. Trainee

    Mambo ya kisheria unayotakiwa kuyajua kabla haujaamua kumuoa single mother

    Vipi yule mtoto aliyechukuliwa na Samia kumbe baba wa mtoto ana uwezo wa kujitokeza akamshitaki Rais? Au nimeelewa sivyo ndivyo!?
  2. Trainee

    Serikali yafafanua kauli ya Rais Samia kuhusu Bei za Mafuta

    Wanu kasemaje tena huko? Watu mna siri nyinyi
  3. Trainee

    Chatgpt openai wameni-ban kwa kuwauliza swali la kawaida

    Hawajakublock mjumbe Unachotakiwa ni kusign in with Google account na kama ulifanya hivyo basi unachotakiwa ni kutumia bila kusign ingawa bila kusign utakosa baadhi ya huduma na history ya utumiaji hakuna
  4. Trainee

    Kuna siku niliamka nikakuta najua kuzungumza kiarabu kwa ufasaha

    Kuna jamaa humu aliwahi kutuokota sana kipindi cha nyuma kabla matumizi ya AI hayajaingia wala Google translate hatuifahamu kipindi hicho. Jina nimemsahau lakini avatar yake nakumbuka ilikuwa ni alama ya barabarani ya watu wanafanya ngono. Basi jamaa aliandika kuwa yeye ni mjuzi wa mambo...
  5. Trainee

    Hivi ni vifaa muhimu kuwa navyo nyumbani kwako

    Kwa anayejiweza asikose cherehani na vitendea kazi vyake, pc na printer pamoja na gun
  6. Trainee

    Hivi ni vifaa muhimu kuwa navyo nyumbani kwako

    Wewe jamaa au ulipita jana jioni ukasikia mazungumzo yangu na mke wangu nini? Haiwezekani ugonge mulemule nilimokuwa namwambia mke wangu (ingawa kwako vimeongezeka vingine ambavyo sikuviwaza hata) Kwa sisi wa vijijini inabidi kuongezea hapo Fyekeo Kibao cha nazi Flampeni Sufuria kubwa Kinu na...
  7. Trainee

    Hivi kuwashwa sana baadhi ya sehemu za mwili kunasababishwa na nini?

    Kipindi mgeni mazingira haya joto limenitesa sana ikafika kipindi najikuna sana makwapani mapele na mpaka leo makwapa meusi ingawa sijikuni tena Sasa nilipooa na kumleta mke wangu naona naye hali ileile imemtokea lakini yeye ni hatari zaidi yangu. Amejikuna mpaka maeneo ya kuzunguka maziwa...
  8. Trainee

    Kwa miaka mingi sana Walimwengu tulimweshimu sana Nicki Minaj lakini hatukujua kama ni mwehu, shutuma za kumwita Jay Z mchawi zitamgharimu

    Yaani mwenzake wa level moja ambaye wapo nchi moja, kazi moja, na pengine mji mmoja unambishia wewe Mmbugu wa Lushoto mashambani... Kweli?
  9. Trainee

    Nini kinachangia makampuni ya mabasi kufa, pindi waasisi wanapokufa au kuwaachia watoto?

    Hajees(Haji's) Mwambao Shengena SimbaMtoto Champion
  10. Trainee

    Kama binadamu kuzaa kwa uchungu ni adhabu vipi kuhusu ng'ombe, mbuzi, nguruwe na wanyama wengine wanaozaa kwa uchungu?

    Point of correction: HAKUNA FUNDISHO LOLOTE KWENYE QUR'AN LINALOTHIBITISHA KWAMBA UCHUNGU WA KUZAA NI ADHABU KWA NYONGEZA TU NI KWAMBA HATA ILE YA MAJI KUJAA DUNIA NZIMA AU KUBEBA VIUMBE WA DUNIA NZIMA KWENYE SAFINA YA NUHU... SCENARIO HIZI SI KWELI KWAMBA ZILIJUMUISHA DUNIA NZIMA BALI WENGI...
  11. Trainee

    Wapiganaji 5 wa ISIS raia wa Tanzania wakamatwa kwenye operesheni ya ugaidi Puntland, Somalia

    Taifa- Zanzibar Utaifa- Zanzibari So, Usahihi = wote ni Zanzibaris
  12. Trainee

    Ni ajabu ya kiwango cha lami serikali kupiga marufuku media za ngono halafu ikaruhusu bongo movie iendelee

    Yaani bongo muvi ni ufuska mtupu umejaa tu pale hakuna kitu mule Ni ajabu ya kiwango cha lami serikali kupiga marufuku media za ngono halafu ikaruhusu bongo movie iendelee
Back
Top Bottom