Recent content by Trainee

  1. Trainee

    JamiiForums Tanzania Kwanini mtu huogopa? Hasa kufa kwa nini?

    Kwa sababu kuna MwenyeziMungu Na hiyo ni dalili tosha miongoni mwa dalili kuwa kunaye mungu muweza wa yote (Wanaosoma elimu ya dini ya kiislamu wanaelewa sana)
  2. Trainee

    JamiiForums Tanzania TANESCO: Gridi ya Taifa yapata hitilafu. Umeme wakatika nchi nzima - Juni 27, 2026

    Tuna umeme wa Tanesco lakini siyo gridi Hivi unajua kwamba kwa mkoa wa Lindi gridi ipo Kilwa tu tena ni kwa baadhi ya maeneo (Lindi MC sina uhakika sana)
  3. Trainee

    JamiiForums Tanzania Hawa members maarufu JF wamepotelea wapi?

    Mimi nawamiss Mwifwa, Papaa gx na mwingine ana avatar ya ninja (Akili yangu huwa inanambia hao wote watatu ni mtu mmoja)
  4. Trainee

    JamiiForums Tanzania TANESCO: Gridi ya Taifa yapata hitilafu. Umeme wakatika nchi nzima - Juni 27, 2026

    Huku Liwale hatujui hiyo gridi kwahiyo tuna umeme
  5. Trainee

    JamiiForums Tanzania Kama sharia za kiislamu ziko hivi; naomba wasiruhusiwe kuwa na mahakama ya kadhi

    Dini/sheria ya waislamu, wanaoitumikia waislamu, nyegere mmoja kutoka Mang'hweta ndo atoe eti "MAONI" kutaka ibadilishwe... Ajabu kwelikweli Pilipili usiyoila
  6. Trainee

    JamiiForums Tanzania Kila idara kila kona taarifa zimekuwa za kificho kabisa

    Kama Nimeelewa vile kumbe Sijaelewa
  7. Trainee

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni lafudhi gani unaipenda katika makabila ya Tanzania?

    Wamasai na Warangi wananikosha sana, lafudhi zao kwa wanaoweza Kiswahili basi akiongea ni Kiswahili pure
  8. Trainee

    JamiiForums Tanzania Platform ya X (Twitter) haifunguki hata kwa vpn ni joto la 7 7 kupanda na uoga wa jamhuri??

    Ngoja waje kuthibitisha au kukataa
  9. Trainee

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini simu za iPhones hazihusishwi kwenye mifumo ya Serikali?

    Hiki ndicho nilichojibiwa na IT wa wilaya Yaani ni serikali ndiyo imeamua kwamba mifumo yake yote ni kwa Android pekee na sasa ndiyo nauliza kwa nini wanazitenga iPhone? Kwa maelezo yake (huyo IT) ni kwamba iPhone ina teknolojia kubwa hivyo wanahofia usalama wa mifumo yao. Kama ni kweli hii...
  10. Trainee

    JamiiForums Tanzania SIMU ZA MKOPO MAKAMPUNI MMEZUIA VITU VINGI MNO MTAKULA HASARA

    Naunga mkono hoja ZIFUNGIWE ZIPIGWE MARUFUKU
  11. Trainee

    JamiiForums Tanzania SIMU ZA MKOPO MAKAMPUNI MMEZUIA VITU VINGI MNO MTAKULA HASARA

    Hiki ndiyo suluhisho haswa Ujue vijana wanasajili simu mpaka kero mimi sijui maIT wa bongo wana kazi gani MaIT wetu wanachojua ni kurekodi simu za watu tu
  12. Trainee

    JamiiForums Tanzania SIMU ZA MKOPO MAKAMPUNI MMEZUIA VITU VINGI MNO MTAKULA HASARA

    Simu za mkopo zimezuiwa features nyingi mno za muhimu ambapo kibongo bongo ni ngumu mtu kutumia simu bila kuzigusa. Njia kuu wanayotumia wakiona mtu analazimisha kufikia features hizo ni kuzuia kabisa simu yenyewe isitumike Kinachotokea ni kwamba mtu anatumia simu siku chache akiivuruga inakuwa...
Back
Top Bottom