Hawajakublock mjumbe
Unachotakiwa ni kusign in with Google account na kama ulifanya hivyo basi unachotakiwa ni kutumia bila kusign ingawa bila kusign utakosa baadhi ya huduma na history ya utumiaji hakuna
Kuna jamaa humu aliwahi kutuokota sana kipindi cha nyuma kabla matumizi ya AI hayajaingia wala Google translate hatuifahamu kipindi hicho. Jina nimemsahau lakini avatar yake nakumbuka ilikuwa ni alama ya barabarani ya watu wanafanya ngono. Basi jamaa aliandika kuwa yeye ni mjuzi wa mambo...
Wewe jamaa au ulipita jana jioni ukasikia mazungumzo yangu na mke wangu nini? Haiwezekani ugonge mulemule nilimokuwa namwambia mke wangu (ingawa kwako vimeongezeka vingine ambavyo sikuviwaza hata)
Kwa sisi wa vijijini inabidi kuongezea hapo
Fyekeo
Kibao cha nazi
Flampeni
Sufuria kubwa
Kinu na...
Kipindi mgeni mazingira haya joto limenitesa sana ikafika kipindi najikuna sana makwapani mapele na mpaka leo makwapa meusi ingawa sijikuni tena
Sasa nilipooa na kumleta mke wangu naona naye hali ileile imemtokea lakini yeye ni hatari zaidi yangu. Amejikuna mpaka maeneo ya kuzunguka maziwa...
Point of correction:
HAKUNA FUNDISHO LOLOTE KWENYE QUR'AN LINALOTHIBITISHA KWAMBA UCHUNGU WA KUZAA NI ADHABU
KWA NYONGEZA TU NI KWAMBA HATA ILE YA MAJI KUJAA DUNIA NZIMA AU KUBEBA VIUMBE WA DUNIA NZIMA KWENYE SAFINA YA NUHU... SCENARIO HIZI SI KWELI KWAMBA ZILIJUMUISHA DUNIA NZIMA BALI WENGI...
Yaani bongo muvi ni ufuska mtupu umejaa tu pale hakuna kitu mule
Ni ajabu ya kiwango cha lami serikali kupiga marufuku media za ngono halafu ikaruhusu bongo movie iendelee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.