Siyo uchoyo mzee ni njia tu za kudhibiti mambo fulani fulani kwa watoto na jamii.
Nimekaa vijijini sana na mambo hayo yapo sana hasa kwa wanaofuata mila za makabila. Mjamzito hapewi chakula chochote cha mafuta mpaka akishajifungua. Korodani za mbuzi wanakula wanaume tu. Miguu au moyo wa kuku...
Kisayansi siwezi kuchambua hoja hii maana siyo angle yangu hiyo lakini kijamii naweza kukwambia wazee walikuwa wana sababu za msingi ambazo kwa kijana mdogo ni ngumu kuelewa. Kwa ajili hiyo ndiyo maana wakawa wanatumia kukataza mambo kwa kutaja sababu ambazo either za uongo au ukweli...
Asante kwa swali zuri ingawa maelezo yangu hapo juu tayari yana jibu lako ndani yake
Ni kwamba tunaamriwa kuwapenda watu wote na kuwaombea heri haijalishi waislamu au si waislamu. Kumpenda ni pamoja na kumsaidia kumjali na kumuombea mema
Kwahiyo uhusiano kati ya uislamu wangu na yeye ni...
Mimi ni muislamu
Kwenye uislamu ni haramu mtu kujidhuru,
Kwenye uislamu ni haramu kumdhuru mtu,
Kwenye uislamu ni haramu kumwacha mtu ajidhuru,
Kwa lugha nyepesi ni kwamba kila aliyeona au kusikia basi atawajibika
Hadithi ya mtume inasema (tafsiri isiyo rasmi) "kila mmoja ni mchunga na kila...
Kuna jamaa mmoja anapenda kuweka status WhatsApp zikionesha mnywa pombe anayejiita mkemia mkuu. Kwenye hizo clips mara zote nilipoangalia ni kwamba huyo jamaa (mkemia) anaonesha namna alivyo mahiri katika kunywa pombe kali kali za kila aina.
Ukichunguza vizuri utagundua yule mtu anaumia sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.