Kina huu utaratibu nimeuona kwenye magari ya huku kusini sijui kwingine nako ni hivyo hivyo au la!? Yaani siku hizi gari ina vituo bubu (visivyo rasmi) njiani.
Hatukatai vituo hivyo lakini kinachokera ni kwamba vituo hivyo vinamcontrol kila mtu anayehusika na gari kiasi kwamba nyinyi abiria...
Kwa sababu kuna MwenyeziMungu
Na hiyo ni dalili tosha miongoni mwa dalili kuwa kunaye mungu muweza wa yote
(Wanaosoma elimu ya dini ya kiislamu wanaelewa sana)
Tuna umeme wa Tanesco lakini siyo gridi
Hivi unajua kwamba kwa mkoa wa Lindi gridi ipo Kilwa tu tena ni kwa baadhi ya maeneo (Lindi MC sina uhakika sana)
Dini/sheria ya waislamu, wanaoitumikia waislamu, nyegere mmoja kutoka Mang'hweta ndo atoe eti "MAONI" kutaka ibadilishwe... Ajabu kwelikweli
Pilipili usiyoila
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.