Waziri Patrobas Katambi: Kitambulisho cha NIDA sio taarifa binafsi. Ni Public na ndio maana mnasheherekea Birthday

Waziri Patrobas Katambi: Kitambulisho cha NIDA sio taarifa binafsi. Ni Public na ndio maana mnasheherekea Birthday

McLaren

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2025
Posts
1,075
Reaction score
3,391
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema kutoa Kitambulisho cha Taifa (NIDA) unapotembelea nyumba ya kulala wageni hakumaanishi kuanika taarifa binafsi, kwani kitambulisho hicho si taarifa binafsi.

Soma Pia: Waziri Katambi: Wamiliki wa Hoteli, AirBnB, Guest Houses na Lodge nchini wasajili wageni wote kwa kutumia kitambulisho cha NIDA

Akizungumza Juni 29, 2026, jijini Dodoma alipokuwa akizungumza katika mahojiano na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Katambi amesema taarifa zilizopo kwenye Kitambulisho cha Taifa si za siri, ndiyo maana hutolewa pale zinapohitajika katika taasisi au maeneo mbalimbali, hata katika mazingira ya wazi

"Kitambulisho cha taifa sio taarifa binafsi. Taarifa binafsi.. kitambulisho cha taifa ni public na ndio maana umesajilia namba ya simu eh... NIDA yako umejisajili, umeionyesha popote, umeipiga fotokopi, umeambatanisha kwenye mikataba ya kuuziana ardhi na nini, hio sio taarifa binafsi. Particular za mtu za yeye ni nani, eh anaishi wapi, ana umri gani, hizo sio taarifa binafsi. Ni public kwa sababu kila mahali lazima mtu utaulizwa hivyo, na ndio maana mnafanya na birthday."


 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema kutoa Kitambulisho cha Taifa (NIDA) unapotembelea nyumba ya kulala wageni hakumaanishi kuanika taarifa binafsi, kwani kitambulisho hicho si taarifa binafsi.

Katambi amesema taarifa zilizopo kwenye Kitambulisho cha Taifa si za siri, ndiyo maana hutolewa pale zinapohitajika katika taasisi au maeneo mbalimbali, hata katika mazingira ya wazi.

Ametoa kauli hiyo leo, Juni 29, 2026, jijini Dodoma alipokuwa akizungumza katika mahojiano na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC).


 
Kitambulisho cha taifa sio taarifa binafsi. Taarifa binafsi.. kitambulisho cha taifa ni public na ndio maana umesajilia namba ya simu eh... NIDA yako umejisajili, umeionyesha popote, umeipiga fotokopi, umeambatanisha kwenye mikataba ya kuuziana ardhi na nini, hio sio taarifa binafsi. Particular za mtu za yeye ni nani, eh anaishi wapi, ana umri gani, hizo sio taarifa binafsi. Ni public kwa sababu kila mahali lazima mtu utaulizwa hivyo, na ndio maana mnafanya na birthday."
Ujumbe wake ni mzuri ila mfano wake ni m'bovu. Angewapa waandishi kitambulisho chake wapige picha iwe kama mfano wa kufundishia kuonyesha ni PUBLIC INFO.

Mtu isipomfaa akili yake, Utamdhuru Ujinga wake.

Ajenda yake ni nzuri, ila uwasilishaji wake umejaa kiburi, majivuno, dharau na kukosa weledi. Ndio maana anaweka mifano irrelevant.
 
Ujumbe wake ni mzuri ila mfano wake ni mbovu. Angewapa waandishi kitambulisho chake wapige picha iwe kama mfano wa kufundishia kuonyesha ni PUBLIC INFO.

Mtu isipomfaa akili yake, Utamdhuru Ujinga wake.

Ajenda yake ni nzuri, ila uwasilishaji wake umejaa kiburi, majivuno, dharau na kukosa weledi. Ndio maana anaweka mifano irrelevant.

Yaani apo anaona, wengine woote wajinga yeye tu ndo mwerevu.
 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema kutoa Kitambulisho cha Taifa (NIDA) unapotembelea nyumba ya kulala wageni hakumaanishi kuanika taarifa binafsi, kwani kitambulisho hicho si taarifa binafsi.

Soma Pia: Waziri Katambi: Wamiliki wa Hoteli, AirBnB, Guest Houses na Lodge nchini wasajili wageni wote kwa kutumia kitambulisho cha NIDA

Akizungumza Juni 29, 2026, jijini Dodoma alipokuwa akizungumza katika mahojiano na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Katambi amesema taarifa zilizopo kwenye Kitambulisho cha Taifa si za siri, ndiyo maana hutolewa pale zinapohitajika katika taasisi au maeneo mbalimbali, hata katika mazingira ya wazi

"Kitambulisho cha taifa sio taarifa binafsi. Taarifa binafsi.. kitambulisho cha taifa ni public na ndio maana umesajilia namba ya simu eh... NIDA yako umejisajili, umeionyesha popote, umeipiga fotokopi, umeambatanisha kwenye mikataba ya kuuziana ardhi na nini, hio sio taarifa binafsi. Particular za mtu za yeye ni nani, eh anaishi wapi, ana umri gani, hizo sio taarifa binafsi. Ni public kwa sababu kila mahali lazima mtu utaulizwa hivyo, na ndio maana mnafanya na birthday."


Huyu jamaa ameshaleweshwa.Bora angelewa kwa hiyari yake.Nanyamaza for a while!
 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema kutoa Kitambulisho cha Taifa (NIDA) unapotembelea nyumba ya kulala wageni hakumaanishi kuanika taarifa binafsi, kwani kitambulisho hicho si taarifa binafsi.

Soma Pia: Waziri Katambi: Wamiliki wa Hoteli, AirBnB, Guest Houses na Lodge nchini wasajili wageni wote kwa kutumia kitambulisho cha NIDA

Akizungumza Juni 29, 2026, jijini Dodoma alipokuwa akizungumza katika mahojiano na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Katambi amesema taarifa zilizopo kwenye Kitambulisho cha Taifa si za siri, ndiyo maana hutolewa pale zinapohitajika katika taasisi au maeneo mbalimbali, hata katika mazingira ya wazi

"Kitambulisho cha taifa sio taarifa binafsi. Taarifa binafsi.. kitambulisho cha taifa ni public na ndio maana umesajilia namba ya simu eh... NIDA yako umejisajili, umeionyesha popote, umeipiga fotokopi, umeambatanisha kwenye mikataba ya kuuziana ardhi na nini, hio sio taarifa binafsi. Particular za mtu za yeye ni nani, eh anaishi wapi, ana umri gani, hizo sio taarifa binafsi. Ni public kwa sababu kila mahali lazima mtu utaulizwa hivyo, na ndio maana mnafanya na birthday."


Katambi ni mtu mjinga taarifa yoyote ile inayoweza kumtambulisha mtu ni taarifa binafsi hata tarehe ya kuzaliwa ni taarifa binafsi
 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema kutoa Kitambulisho cha Taifa (NIDA) unapotembelea nyumba ya kulala wageni hakumaanishi kuanika taarifa binafsi, kwani kitambulisho hicho si taarifa binafsi.

Katambi amesema taarifa zilizopo kwenye Kitambulisho cha Taifa si za siri, ndiyo maana hutolewa pale zinapohitajika katika taasisi au maeneo mbalimbali, hata katika mazingira ya wazi.

Ametoa kauli hiyo leo, Juni 29, 2026, jijini Dodoma alipokuwa akizungumza katika mahojiano na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC).


View attachment 3618239
Katambi afundishwe hivi


Kuna taarifa zinaitwa PII.

Personally Identifiable Information (PII) is any data that can be used to identify, contact, or locate an individual, either alone or when combined with other data and is subject to strict global protection laws.
 
IMG_1819.jpeg
 
Wote hapa jamvini mnajua mimi ni critical wa Waziri Katambi, kuna vingi nimeandika hapa kumlaumu na kumpiga mawe lakini hapa nataka niweke wazi kama ana point ama la. Ni vyema tukaweka malumbano pembeni na kuangalia sheria zetu za nchi zinasemaje kwa ubaridi na uelewa mpana.
Ukitazama kwa umakini, hoja ya Mheshimiwa Katambi ina msingi thabiti kisheria chini ya sheria kuu mbili za nchi yetu:
1. Sheria ya Usajili na Utambuzi wa Watu (Sura ya 36):
Kifungu cha 16(1): Sheria hii inaeleza kuwa mtoa huduma yeyote halali au afisa wa umma anayo haki ya kisheria kukuomba uonyeshe kitambulisho chako ili kuthibitisha kama wewe ndiye mhusika halisi. Kadi ya NIDA imetengenezwa kuwa hati ya umma (Public Document) kwa ajili ya utambuzi wa wazi, na si hati ya kufichwa siri [nida.go.tz].
2. Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi ya Mwaka 2022:
Kuna mkanganyiko mdogo hapa mtandaoni; wengi wetu tunadhani "ulinzi wa data" unamaanisha kuficha namba ya NIDA (NIN) au jina lako lisijulikane kabisa.
Kifungu cha 22 na 23: Sheria hii inaruhusu kabisa taasisi husika kukusanya na kutumia taarifa zako za msingi (kama namba ya NIDA) pale inapohitajika kisheria au kwa maslahi ya umma—kama vile kusajili laini za simu au kufungua akaunti za benki.
Tofauti ya Kisheria: Waziri hajasema kuwa watu wanaruhusiwa kuingia kwenye kanzidata (database) ya NIDA na kuchukua alama za vidole (biometrics) au siri za familia zilizopo ndani—hilo ni kosa kubwa la kisheria. Hoja yake ni kwamba namba ya NIDA na kadi yenyewe zimeundwa zionyeshwe ili kukutambulisha.
Kuangalia kwa undani uhalisia wa kisheria na wapi "walakini" huo unapotokea kunafichua mambo yafuatayo:
1. Walakini wa Kiuhalisia (Practical Flaw)
Kuna hoja kubwa mbili zinazoonyesha walakini wa agizo hili katika uhalisia wa maisha ya Kitanzania:
  • Upatikanaji wa Vitambulisho: Mamilioni ya Watanzania hadi sasa wana namba tu za NIDA (NIN) lakini hawajapata kadi zenyewe za plastiki, na wengine wengi hawajajisajili kabisa kutokana na changamoto za kijiografia au kimfumo.
  • Hali ya Dharura: Mtu anaweza kusafiri au kupata dharura usiku wa manane na akahitaji hifadhi ya gesti haraka. Kumnyima chumba kwa sababu hana kitambulisho cha NIDA mkononi kunaathiri haki yake ya msingi ya usalama na makazi ya muda.
2. Upande wa Sheria Unavyomlinda Waziri (Legal Ground)
Pamoja na walakini wa kiuhalisia, Waziri Katambi anapotumia dhana ya "Sheria" hajidondoshi hivi hivi; anajificha nyuma ya misingi ya Ulinzi na Usalama (National Security Statutes):
  • Sheria ya Kuzuia Uhalifu kwenye Hoteli/Gesti: Chini ya sheria za ulinzi, wamiliki wa hoteli na gesti kisheria wanawajibika kuweka daftari la wageni (Visitor's Register) na kuhakikisha wanajua utambulisho halisi wa kila mtu anayelala pale ili kuzuia wahalifu au wahamiaji haramu kujificha.
  • Matumizi ya NIDA kama "Kigezo cha Huduma": Ingawa hakuna sheria inayokulazimu kutembea nacho barabarani, sheria za taasisi mbalimbali (kama TCRA kwenye laini za simu, au Benki Kuu kwenye kufungua akaunti) zinazo haki ya kuweka NIDA kama sharti la lazima la kupata huduma hiyo. Katambi anachofanya hapa ni kuhamishia sharti hilo kwenye sekta ya malazi kwa sababu za kiusalama.
Hitimisho: Huu ni Mvutano wa "Sheria" dhidi ya "Uhalisia"
Kauli ya Waziri Katambi ina walakini mkubwa wa kiutekelezaji (Operational Flaw) kwa sababu miundombinu ya NIDA bado haijamfikia kila mwananchi kwa asilimia 100. Hata hivyo, haina walakini wa kisheria (Legal Flaw) kwa sababu serikali inayo mamlaka ya kuweka utaratibu wa kiusalama kwenye maeneo ya biashara ya malazi.
Ili kutatua changamoto hii ya kiuhalisia bila kuathiri ulinzi na usalama wa nchi, ni vyema serikali ikaruhusu rasmi matumizi ya nyaraka mbadala za utambuzi pale mwananchi anapokuwa hana kadi ya NIDA, ikiwemo:
  • Kadi ya Mpiga Kura (Ambayo imesambaa kwa wananchi wengi zaidi).
  • Leseni ya Udereva au Pasipoti ya Kusafiria (Zenye picha na taarifa rasmi).
  • Kitambulisho cha Mfanyakazi au Mwanafunzi kutoka taasisi zinazotambulika.
  • Barua ya Utambuzi ya Serikali ya Mtaa (Hasa kwa dharura za usiku wa manane).

NB: Tatizo la kurekebisha haya yote ni kuiandika upya katiba yetu ama sivyo hawa watu watakua wanatunyanyasa sana na sheria ambazo zina vipengele vya siri vinavyowalinda. Tuendelee kuipigia kelele katiba mpya ipatikane ili kuachana na viongozi wababishaji kama hawa kina Katambi, Makonda na wengine wengi.
 
Chadema wanamkashifu kijana wao waliomkuza wenyewe.
 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema kutoa Kitambulisho cha Taifa (NIDA) unapotembelea nyumba ya kulala wageni hakumaanishi kuanika taarifa binafsi, kwani kitambulisho hicho si taarifa binafsi.

Soma Pia: Waziri Katambi: Wamiliki wa Hoteli, AirBnB, Guest Houses na Lodge nchini wasajili wageni wote kwa kutumia kitambulisho cha NIDA

Akizungumza Juni 29, 2026, jijini Dodoma alipokuwa akizungumza katika mahojiano na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Katambi amesema taarifa zilizopo kwenye Kitambulisho cha Taifa si za siri, ndiyo maana hutolewa pale zinapohitajika katika taasisi au maeneo mbalimbali, hata katika mazingira ya wazi

"Kitambulisho cha taifa sio taarifa binafsi. Taarifa binafsi.. kitambulisho cha taifa ni public na ndio maana umesajilia namba ya simu eh... NIDA yako umejisajili, umeionyesha popote, umeipiga fotokopi, umeambatanisha kwenye mikataba ya kuuziana ardhi na nini, hio sio taarifa binafsi. Particular za mtu za yeye ni nani, eh anaishi wapi, ana umri gani, hizo sio taarifa binafsi. Ni public kwa sababu kila mahali lazima mtu utaulizwa hivyo, na ndio maana mnafanya na birthday."



Tusiache kuhimiza watu wasome na kuelimika. Tusiache kuhimizana kuendelea kusoma na kupata maarifa na ujuzi wa mambo mbali mbali.

Tusiache kupenda kujisomea tena kusoma vitabu na maandishi mbalimbali ili tuendelee kujifunza na kuelewa jinsi mambo yanavyotegemeana na yanavyo fanya kazi.

Ukombozi wa kweli na uongozi au ustadi wa kweli kwa Taifa letu na nchi karibu zote, ni kutumia hekima na maarifa katika kuendesha mambo yake.

Muda unazidi kuongea tena kwa sautu kubwa mpaka masikio yanashindwa kusikia 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom