Bushmaster
JF-Expert Member
- Jan 18, 2022
- 653
- 1,444
Kila kanda iwe na gridi yake, nchi haiwezi kuingia gizani kwa wakt mmoja
Mkuu kuna mtu yuko huko Rukwa kaniambia wao umeme upo kwani bado hawajaungwa grid ya Taifa.Labda majaribio ya July 7, umeme unakatikaje nchi nzima? Kwani source na njia ni moja tu? Yani hitilafu itokee Dar au Moshi au Mwanza ndio umeme ukatike hadi Mtwara na Rukwa na Dodoma? Sayansi za masisiemu bana
Wewe ni mwalimu wa kemia?Mmhh,Mimi siogopi mkuu,ukifika kiangara shule ya sekondari wewe nijulishe tu nitatokea,maana walimu wote hapa tunaishi kwa nyumba za shule
Wanachukua kutoka Zambia muda mrefu kama kagera kutoka UgandaMkuu kuna mtu yuko huko Rukwa kaniambia wao umeme upo kwani bado hawajaungwa grid ya Taifa.
unasema kweli au unatania?Nimejaribu kupeleleza Kuna FUSO saba zina twiga zaidi ya 10 zinaingia Kilimanjaro international airport muda huu kuelekea middle east. Bado nafuatilia kwa ushahidi zaidi..
Nimetolea mfano tu! Kwamba umeme wa bongo ukizalishwa toka vyanzo vyote unawekwa bakuli moja ndio waanze kuugawa? Kama uji vileMkuu kuna mtu yuko huko Rukwa kaniambia wao umeme upo kwani bado hawajaungwa grid ya Taifa.
Kwani je?Wewe ni mwalimu wa kemia?
Rukwa umeme upo niko hukoMkuu kuna mtu yuko huko Rukwa kaniambia wao umeme upo kwani bado hawajaungwa grid ya Taifa.
Bado nafuatilia nije na habari kamili. Stay tunedunasema kweli au unatania?
Kwa CCM lolote linawezekana kwani wewe mgeni mambo haya?Imeandikwa usishuudie uongo
Mnatumia nini? Hivi nchi hii Kuna sehemu bado hamna umeme na mnaipigia kura CCM?Huku Liwale hatujui hiyo gridi kwahiyo tuna umeme
Kama ndiye,utusaidie electrolysisKwani je?