Kwann CCM wana GREEN GUARD!? Wanaongoza serikali lakin wana wasiwasi jeshi litawageuka! Ni kama kusema SERIKALI YA TANZANIA IMEANZISHA JESHI LA WAASI... Ufalme unaokinzana wenyewe UTAANGUKA.....
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Hana lolote... Hao ni tamaa ya pesa ndo inewapeleka huko ccm! Hawama mpango na wananchi...vurugu wanaleta haohao ccm mfano ARUCHA! Kila mtu anajua....
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Position kwenye ccm inatuusu nn sisi! Au unataka kutuambia mkishakua viongozi huko Ccm ni viongozi serikalini sio!!
Sent from my BlackBerry 9800 using Jamie
Hawa watu ni wapuuzi kabisa! Mbona hawazungumzii Waliotaka kumuua Kamanda Nassari kule Makuyuni! Hawadhubutu mana ni Ushaidi tosha kua ni wao wenyewe! Watajimaliza wenyewe safari hii!
Huyu jamaaa hafai kabisa inaonakana ana mpango wa kuuza hii nchi kama waarusha wanavyiuza mashamba yao na mwisho wanakua ombaomba! Hana maana kabisa huju!!!
Sent from my BlackBerry 9800 using Jamie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.