king-emmasi
Member
- Jun 18, 2013
- 6
- 2
halow evry body
Kwa hyo mie ushanigeuza Nyota Waziri ee,naoa wanawake wenzangu.
Hata ukioa si kioja! Mbona Muh. Mbunge wako kaoa? Au umeshahama Ukwamani- Kawe?
gdmorning my kid......
Njoo unione mwenyekiti, ukaguliwe kisha mambo mengine yaendeleeHii guys.....natafuta mwenza wa humu ndani mie sio mwenyeji sana..
Mie ni binti mrembo tuu kutokea Rchuga...
Vigezo na masharti kuzingatiwa.
Kwa hyo mie ushanigeuza Nyota Waziri ee,naoa wanawake wenzangu.
hurrray, i'm a kid today.....!!! Waohhh
Ila asitutoe na ngozi, hahahahaOk nitakusaidia.
Nitakupa Polisi au Polisi ben.
Ni wastaarabu na hawana papara wawapo nyumbani na nzuri zaidi wanachunika.
Tena nasikia mpaka chumba wanakaa pamoja.
nini kinaendelea hapa