Wizi mwingine wa vodacom huu hapa

Wizi mwingine wa vodacom huu hapa

voda ni wezi tena wanaiba bila aibu
jumamosi niliweka shs2000 kwenye line yangu ya voda; nikajiunga (Hawatumi meseji ya kukunganisha japo hela wamekata)
nikaingia jf kwa muda mfupi, usiku naangalia salio eti ni shs.73; kweli vodacom ni waizi;
na laini yao nitaitumbukiza kwenye maji siku si nyingi.
 
Airtel wezi sana,huwa najiunga ya week cha ajabu inapofika siku ya saba hata kama MB zipo basi itanisomea 0 ila msg na dakika vinaendelea kuwepo hapo tu ndipo huwa nachoka na hawa pata nyumba.
 
kweli kbsa no washenzi/wezi!, ss hapa nitakachofanya nachakachua modem yao ili nihamie zantel!
...na hata cm nitahamia huko zantel hawa washajisahau, bado na buku yetu wanataka
Wizi juu ya wizi

sio mpaka uchakachue,tumia software inaitwa 3 mobile broadband connection manager au join air.....hapo unatumia modem yoyote kwa sim card yoyote
 
voda ni wezi tena wanaiba bila aibu
jumamosi niliweka shs2000 kwenye line yangu ya voda; nikajiunga (Hawatumi meseji ya kukunganisha japo hela wamekata)
nikaingia jf kwa muda mfupi, usiku naangalia salio eti ni shs.73; kweli vodacom ni waizi;
na laini yao nitaitumbukiza kwenye maji siku si nyingi.
mh,naomba namba yko ya voda nikiona haipatikani nitajua umetekeleza ahadi yako
 
Wananchi tunalalamika kila sehemu, sijui ufumbuzi ni nini? Nabaki hoi, mbaya zaidi mambo haya hayajaanza leo.
 
Vodacom wezi si mchezo,,kama ndo umeweka 2,000 yako ukajiunga cheka(mitandao yote)hela nyingine bora umtumie hata mama yako kijijini maana utakuta tsh.43 kwenyd Acc yako.

Unaweka vocha unataka kujiunga kwenye huduma yao wanakuambia.
-Huduma haipatikani ukijiunga tena msg inakuja salio lako halitoshi.
 
Duh nimenunua line ya Voda leo hii kuepuka balaa ya Zantel kumbe mambo ndio yale yale. Out frying pan into the fire.
 
Kidogo zantel wana kanafuu, niliachana na voda baada ya kunipiga siku 7 unlimited nilipopiga kastawa kea nikaambiwa eti sijajiunga! Wakati nilishatumia kwa siku 2 bila tatizo, kwa hasira kard niliitupa. Yahani ni wiz wiz wiz tangu hasubuhi hadi jioni na selikali hii legelege ya akina makamba! tutakamuliwa mpaka basi
 
me nimehamia zantel toka juzi, honestly nlichoka sana na voda nikaona isiwe kesi coz hii si ndoa ya kikristo nakawapa talaka fasta. Wezi sana kiukweli na ukinunua kifurushi halafu kikaisha wanakula credit zako zote ndo wakutumie msg dat umemaliza kifurushi.
mkuu hapa umesema sana,m hii huwea inaniumiza sana. nakaribia kuhama huu mtandao.
 
Nadhani izo Unlimited bundles huwa ni kwaajili ya Browsing ....kufanya streaming na kudownload hua wanatoa MB au GB kadhaa . .labda ungewapgia kwaa ufafanuzi zaidi ....
 
Yaani hakuna hata moja afadhali. Tigo ndo naona internet yake haina nguvu hata kdg....
 
me nimehamia zantel toka juzi, honestly nlichoka sana na voda nikaona isiwe kesi coz hii si ndoa ya kikristo nakawapa talaka fasta. Wezi sana kiukweli na ukinunua kifurushi halafu kikaisha wanakula credit zako zote ndo wakutumie msg dat umemaliza kifurushi.

Kingine wanachoboa ni kwenye NMB mobile wanatafuna pesa ya huduma ata kama haijakamilika,na ata ukipata message za cheka,hazitambuliki kwenye NMB mobile,mpaka uwe na credit nyingine,ninaamini hawa jamaa ni majambazi.
 
Back
Top Bottom