Recent content by Top gear

  1. T

    JamiiForums Tanzania Nyumba Inauzwa

    Bil 4
  2. T

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Ndio maana nimeweka hapo tofauti ya Mishahara vs Posho zao mlima
  3. T

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    NAOT mshahara ni kama Halmashauri tu,tofauti wao NAOT wanapewa posho nyingi za kufanya kazi za nje na pia wanalambishwa sana asali huko wanakoenda kukagua.
  4. T

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    TARURA wanalia kilio cha kusaga meno sa hivi,waombe ROAD FUND kieleweke.La sivyo sio sehemu ya kukimbilia
  5. T

    JamiiForums Tanzania TikTok kiboko imeweka voice note kwenye Comment

    Sijawahi kutumia huo mtandao
  6. T

    JamiiForums Tanzania Msaada wa Garage nzuri ya Mercedes

    Jamaa ni wakuda kishenzi bro
  7. T

    JamiiForums Tanzania Msaada wa Garage nzuri ya Mercedes

    Yangu inayo,na nilienda kununua dipstick+ kile kibomba chake.Vilivg'olewa kabisa
  8. T

    JamiiForums Tanzania Gari ya Town Ace pickup 4W ipoje? Nataka kuijua kabla sijafanya maamuzi ya kuinunua?

    Hili ni light duty,ishi nayo ukijua limitations zake
  9. T

    JamiiForums Tanzania Msaada wa Garage nzuri ya Mercedes

    Mimi Fundi mmoja mshikaji wangu kabisa alinishangaza,gari ilinizingua kubadili gears nikapeleka garage nyingine maana ye alikua mbali. Kuicheki mafundi wanasema oyaa deepstick ya gearbox haipo na oil yenyewe hata tone hamna.How wkt mwezi November nilibadilisha ATF hio garage kwa mshikaji wangu...
  10. T

    JamiiForums Tanzania My 6 Dream Sedans kutoka Japan, USA na China!

    Roadsters sio mambo yako ?
  11. T

    JamiiForums Tanzania Nataka kuoa ila sina mahari, nimeamua kuitafuta kwa njia ya Kubet. Nina mtaji wa Tsh. 50k

    All the best man, being a man isn't easy
  12. T

    JamiiForums Tanzania Gen Z Mnakimbiza sana Magari!

    Hahah Niko mkoani mkuu,hakuna foleni huku
  13. T

    JamiiForums Tanzania Gen Z Mnakimbiza sana Magari!

    Siku hizi nikiwa naenda kazini najikuta mpk natembea 40km/h na ninajisahau kwa umbali mrefu tu na Niko comfortable.Miaka kadhaa nyuma nisingeweza.Ilikua ni mwendo wa mwendo wa ngiri mkia juu.Nahisi age Ina mahusiano na speed
Back
Top Bottom