Recent content by Top gear

  1. T

    Msaada kwenye mfumo wa idras

    Sawa,ungekua umeshautumia huu IDRAS Ingekua ni kugusa tu,ingia Facebook andika IDRAS utakutana consultants wengi tu wanatoa training hizo.Both virtually au physically
  2. T

    Msaada kwenye mfumo wa idras

    Mfumo wa TRA uliopita uliwahi kuutumia?
  3. T

    Huwa najiuliza, Michael Scofield ilikuwaje akawa shoga?

    Msela anamwagiwa tui zito la nazi kwny utumbo mpana. Mbape ye girlfriend wake ni Transgender,mwanaume aliyechoma sindano za kuongeza makalio,hips,matiti lkn ana mbo.o na mapumbuh kama kawaida.So mbape anamla shoga It's weird jinsi wanawake walivyo watamu ukahangaike na upumbavu,bladfaken
  4. T

    BYD Dolphin EV Morogoro Road ikiendeshwa na mdada wa Jamiiforums! EV4Everybody!

    Hahah hapo kwny lifetime umenikumbusha na kwny oil za gearbox
  5. T

    BYD Dolphin EV Morogoro Road ikiendeshwa na mdada wa Jamiiforums! EV4Everybody!

    Within that range it's survive.Ila nje ya hapo sidhani.CIF tu gari za miaka ya karibuni ni shida
  6. T

    BYD Dolphin EV Morogoro Road ikiendeshwa na mdada wa Jamiiforums! EV4Everybody!

    Sana bro, wasiwasi wangu mimi ni kama walio nao watu wengi humu Tunaona vyuma vya mjapan,mjerumani vya 1990's viko road mpk Leo sasa lifespan ya huyu machina ndo sijui.
  7. T

    Kurudisha harufu ya ndani ya gari

    Na hio harufu hua ni ya dawa kwa ajili ya kuzuia wadudu waharibifu kama mende etc Kwny gari. Niko serious.
  8. T

    BYD Dolphin EV Morogoro Road ikiendeshwa na mdada wa Jamiiforums! EV4Everybody!

    JETOUR nazo zimevamiwa kwa Kasi, nakutana nazo za kutosha sasa
  9. T

    KERO Nimesafirisha mzigo kupitia Basi la Katarama, haujulikani ulipo na hawanipi majibu yanayoeleweka

    Kwa mizigo Katarama usidhubutu,wale Ally's ndo utalia hadi kamasi.
  10. T

    Kwanini walevi hawang’atwi na mbwa?

    Umenikumbusha Mshikaji mmoja enzi ZED ndo habari ya mjini,alizinywa akawa hio Niko napira karibu na kwake nakuta amekaa kama mbwa anabwekeana na mbwa wa mtaani hapo
Back
Top Bottom