NAOT mshahara ni kama Halmashauri tu,tofauti wao NAOT wanapewa posho nyingi za kufanya kazi za nje na pia wanalambishwa sana asali huko wanakoenda kukagua.
Mimi Fundi mmoja mshikaji wangu kabisa alinishangaza,gari ilinizingua kubadili gears nikapeleka garage nyingine maana ye alikua mbali. Kuicheki mafundi wanasema oyaa deepstick ya gearbox haipo na oil yenyewe hata tone hamna.How wkt mwezi November nilibadilisha ATF hio garage kwa mshikaji wangu...
Siku hizi nikiwa naenda kazini najikuta mpk natembea 40km/h na ninajisahau kwa umbali mrefu tu na Niko comfortable.Miaka kadhaa nyuma nisingeweza.Ilikua ni mwendo wa mwendo wa ngiri mkia juu.Nahisi age Ina mahusiano na speed
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.