Gawio la mitandao ya simu ni kero tupu

Gawio la mitandao ya simu ni kero tupu

Hv wale watu wanaosemaga maybe nafanya kazi ili hata iniingizie mia mbili mia tatu hua wana maana gani?
 
Habari zenu Wanabodi?
Natumai mpo vizuri,
Niingie kwa mada, Kumekuwa na hizi SMS za mitandao ya simu wakituma Kiasi cha fedha ktk akaunti ya mtumiaji wakidai ni gawio, mara nyingi binafsi huwa napata Tsh 76, na hizi Tsh 200.

SASA hoja yangu hapa, ni kuwa hii fedha haisadii kwa lolote kwangu, ukija kusikia mtandao wakinadi, utasikia wametoa gawio la 2B, sasa si Bora wakateua watu wachache kwa kuangalia hata transaction nyingi na kubwa walizofanya Kisha wakawapa hata kuanzia 1M nakuendelea kuliko kututmia Sisi hiki Kiasi kidogo. Au kwamba wakituma Kiasi kidogo ndo hawakatwi Kodi kuliko Kiasi kikubwa.

Nawasilisha
Mimi umeingia sh2!
 
Kuna zile tuma 1 kwenda 15743 upate 300 bure kwenye akanti yako
 
Habari zenu Wanabodi?
Natumai mpo vizuri,
Niingie kwa mada, Kumekuwa na hizi SMS za mitandao ya simu wakituma Kiasi cha fedha ktk akaunti ya mtumiaji wakidai ni gawio, mara nyingi binafsi huwa napata Tsh 76, na hizi Tsh 200.

SASA hoja yangu hapa, ni kuwa hii fedha haisadii kwa lolote kwangu, ukija kusikia mtandao wakinadi, utasikia wametoa gawio la 2B, sasa si Bora wakateua watu wachache kwa kuangalia hata transaction nyingi na kubwa walizofanya Kisha wakawapa hata kuanzia 1M nakuendelea kuliko kututmia Sisi hiki Kiasi kidogo. Au kwamba wakituma Kiasi kidogo ndo hawakatwi Kodi kuliko Kiasi kikubwa.

Nawasilisha
2B gawanya kwa wateja milioni 20 ndo hio 100
 
Kwa vodacom gawio hua zuri kama umeweka pesa kwenye akaunti za akiba binafsi mi hua naweka kwenye MGODI walau gawio liko poa kila mwezi.. sema walau uwe na akiba ya milion plus
 
Back
Top Bottom