Administer
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 2,637
- 2,381
Hizi gari zinamuonekano mazuri sana lakini hapa Tanzania zipo chache sana.Mwenye kujua changamoto zake aniambie nitamshukuru sana
Ubaya wake nini mkuu?Nifahamishe nisijeingia mkengeGari baya kishenzi
Hizi gari zinamuonekano mazuri sana lakini hapa Tanzania zipo chache sana.Mwenye kujua changamoto zake aniambie nitamshukuru sana
Habari sana,ila gari hii nimeitokea kuipenda sanaIyo gari nilikaa nayo for almost 2 years
Kwa ushauri tu izo gari achana nazo vifaa vyake gharama sana na vinapatikana Dar tu Tz hii kwenye ishu za mafuta ipo vizuri ila changamoto ni gharama za spare parts na upatikanaji wake
Ni nzuri kweli zinavutia sanaa maamuzi yapo juu yakoHabari sana,ila gari hii nimeitokea kuipenda sana
Nakazia hapa.Labda kama siku hizi spea zinapatikana kwa urahisi. Home kumewahi kuwa na Honda CRV zile old model; ishu ilikuwa ni spea. Gari ilikuwa inapaki kisa spea.
Nakazia hapa.
Kuna Boss wangu alikuwaga nayo.
Akakaa nayo 3 yrs ikaanza kuzingua na spea hakupata kwa wakat. Na pia ni gharama zikopatikana.
Kwa TZ gari ni Toyota.
Achana na brand nyingne.