Nungwi-Zanzibar wanawanywesha Ng'ombe pombe

Nungwi-Zanzibar wanawanywesha Ng'ombe pombe

Idimulwa

Platinum Member
Joined
May 27, 2011
Posts
6,226
Reaction score
5,338
Ni ile kali- Double Kick- inaitwa.

Ni wafugaji wa Maeneo ya Nungwi.
Ni wale-Maksai kwa ajili ya kuvuta mikokoteni ya kubebea vitu mbalimbali.

Wanawanyeshwa hizo pombe ili wafanye kazi kwa nguvu eti pasipo kuchoka mapema.
Unakuta ng'ombe amelewa mpaka povu lina mtoka,amefungwa nira anavuta mkokoteni.

Watu wa haki za Wanyama fuatilieni hilo.Haya ni mateso makubwa.Double Kick kwa Ng'ombe mla nyasi Jamani!?
Bora kwa Binadamu utakula hata Supu ya Kongoro ukanywa na Maji mengi uka uhuisha mwili.

Source: Ndugu yangu anachunga Ng' ombe huko.
 

Attachments

  • images.jpg
    images.jpg
    28.8 KB · Views: 7
Zanzibar bhana kuna Mzee mmoja alikuwa mlevi mbwa kuna siku Kunguru kaangukia meza ya BAR ilikuwa na lile table mate la Msosi poa na Coca-Cola yule Kunguru sijui ilikuwaje akaparamia kwa nguvu aje kudonoa yule Samaki wa kwenye lile tablemate si akapiga mdomo akaanguka chini yule Mzee akamkamata Kunguru akamnywesha kiroba kizima cha Konyagi yule Kunguru alipata tabu sana mpaka akakata roho

Yaani ndugu zetu wana kaukatili fulani kaajabu sana.
 
Zanzibar bhana kuna Mzee mmoja alikuwa mlevi mbwa kuna siku Kunguru kaangukia meza ya BAR ilikuwa na lile table mate la Msosi poa na Coca-Cola yule Kunguru sijui ilikuwaje akaparamia kwa nguvu aje kudonoa yule Samaki wa kwenye lile tablemate si akapiga mdomo akaanguka chini yule Mzee akamkamata Kunguru akamnywesha kiroba kizima cha Konyagi yule Kunguru alipata tabu sana mpaka akakata roho

Yaani ndugu zetu wana kaukatili fulani kaajabu sana.
Chai
 
Back
Top Bottom