Huyu dogo nilikuwa na nyimbo zake kama tano hivi na nilikua namkubali sana lakin tangu nilivyomuona yule mzaz mwenza akilalamika ( nimefuta nyimbo zote na sitakaa nimsikilize kwa us.......nge wake )
Huyo ndo SIMBAAAAA !!! ( hivyo ndivyo inavyotakiwa mziki wa vijembe na majungu umepitwa na wakat ' unamchukia mtu huku mwezako anapiga hatua AMKENI MDA NDO HUU FANYEN KAZI KWA MIPANGO )
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.