Snipes
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 8,920
- 16,199
AyaPole sana kijana,
Maandishi yote hayo we unaona mapichapicha tu, Hata ukiambiwa kwa kifupi huwezi elewa, akili yako imevia..!!
Elimu, Elimu, Elimu
AyaPole sana kijana,
Maandishi yote hayo we unaona mapichapicha tu, Hata ukiambiwa kwa kifupi huwezi elewa, akili yako imevia..!!
Elimu, Elimu, Elimu
Pole sana kaka yaan nmecheka sana ama kweki ujana Maji ya moto. Hiyo trick mbaya inaweza kukufanya ufe kimzaa mzaa
zako zilikua mbali
tusiwe vilazahadithi yako inatufundisha nini?
Itaendelea ukiamkaBora ungepiga nyeto yaishe
Mi nasubiri audio
NIMECHEKA SANA MDAU DAH MBINU ZINGINE SIO
Hali yangu bukheri wa afya sijui weyeTena wewe...
Nakuja nikusimulie mwenyewe kwa Audio original. Wala usitie shaka
Uhali gani lakini...
Hali yangu bukheri wa afya sijui weye
Poa mkaka...Iko poa,
Nakuja kule ndani kati ya hizi siku mbili