Nadhani mleta huu uzi n watu walivyolibeba neno "fursa" linaweza kuwa na utata. Mimi nigraduate wa The Open University na nishafanya hyo kazi ya teaching. Sio kwamba chuo kitakutafutia wanafunz wewe ndio utawajibika kuwatatfuta na niwachache sana wanaoweza kuafford kulipa hiyo gharama. Sababu...
Lakini ninachotaka kujua ni kuwa kuna kigezo gani kinatumika kutoa ranking ya hizo shule bora.
je wahusika wanaelewa kuwa hao watoto wanaosoma shule hizo sio kuwa wazazi wanatoa hela nyingi au walimu ni wazuri sana, bali ni kuwa mchujo wa kuingia unachagua wale waliobright. So mwisho wa siku...
Nadhan watu wanaompinga mleta hoja wangechangia huku wakiwa wanajua nini sababu na malengo ya kumpeleka mtoto shule katika ngazi zote hapo tunaweza tukajadiliana na kuwekana sawa kimitizamo..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.