Ninauhakika wewe kama ulifanikiwa kumaliza form 4 lazima una 4 ya mwisho au una zero ama laa basi ndio unajiandaa kumaliza na nikuhakikisheie utapata 4 mbaya au zero, maana uzoefu unaonesha idadi kubwa ya wanafunzi wanao wachukia walimu huwa ni wajinga darasani na hawajiwezi , wao wanacho weza ni usela, uhuni na umalaya na kujiona wajanja .walimu wenye vichwa vyepesi ni rahisi sana kuwabaini.
yuko na mavijiti mikononi masaa arubaini kutafuta wa kuchapana nae.
shule inakuwa kama vita.
huwa mara nyingine naona ualimu ni upumbaffu tu.
fundisha utoke uende kwako ukalale.
kutwa kupambana na wanafunzi tu hakuna wanalofanya.
Kwa hivo sahizi ni nani ??Mimi ndo maana niliapia kutokuwa mwalimu
Mkuu mi nimesema kitu ambacho naona hakiko sahihi wala sijatukana sehemu yoyote ile, hakuna sehemu niliyo sema neno pumbavuBasi na wewe ni mpumbavu video umeziona tano walimu wapo zaid ya laki tatu sasa hiyo research uliyo soma ndugu yangu wewe ni ya uchochoro gani.
yaani 0.00167% inatosha kujumuisha na 99.99833% kwenye kundi la wakosaji? Mwenzetu umesoma kweli wewe?au ndio nyie ambao shulen mnakalia uhuni na uvuta bangi halafu mkifeli mnatafuta sababu za kusingizia walimu? Hayo ndio matatizo ya kufeli na kukosa mwelekeo unaona dawa ni kuwatukana walio fahuru punguza ujinga kwanza kichwani mwako kabla ya kuhangaika na hao baadhi wa walimu wajinga wenzio.
Na ukiona mtu yeyote anaye wachukia walimu ni lazima alikuwa mjinga darasani maana hata shuleni wanafunzi wanao feli sana ni wale wakaidi,wenye kiburi, wagomvi, wanywa viroba,malaya nk na wasio na uwezo darasani mara zote hao huwa ndio wanao kuwa wakwanza kuwananga walimu na hata wewe tukikufuatili cheti chako kama sio una 4 ya 30+ basi una zero
Watoto wanao fahuru vizuri mara zote ni wale wanao kuwa na utii kwa walimu wao na nidhamu yao ni ya juu
Ila walimu na nyie baadhi yenu kweli mnakiuka taratibu kwa nini mnapost picha za watoto wenu mitandaoni huo ni ulimbukeni wa hali ya juu , kwa nini mnawadhalilisha watoto kiasi hiki, wewe ukienda kwa Dr kutibiwa halafu Dr akapost picha zako mitandaoni unavyo jieleza utaisikiaje. ACHENI TABIA HIYO.
hahahaha eti yesu na nyerere!!!!!!!!! pekeWalimu alikuwa mwalimu Nyerere na Yesu pekee ...hawa wasiku hizi ni waganga njaa tu.
Hahahaaa kwenye mitandao huku mbona kila mtu ana div 1ya point 7 na div1 ya pnts 3 advance na GPA ya 5.0 chuo mkuu . hahaaaaa kuongea mitandaon tu mbona sio kazi , unaweza hata kujiita wewe ndio T.O wa tanzania na africa mashariki na kati. HahahaaaaaMkuu mi nimesema kitu ambacho naona hakiko sahihi wala sijatukana sehemu yoyote ile, hakuna sehemu niliyo sema neno pumbavu
Labda nikutoe shaka mimi sio bashite sijawai kupata chini ya div one O&A hata chuo kikuu nilifanya poa
Angalia makini nilichokisema labda ungeshauri nitumie neno baadhi ya walimu sio walimu
Na kingine walimu nao wamezidisha ujinga siku hizi wambie wabadilike
Mpumbavu ni lazma umjibu kipumbavuMbona povu
Ni kazi yako kama Mwalimu kumfundisha mtoto atoke kwenye huo ukilaza mpaka awe mwenye akili timamu. Bila hivyo basi utakuwa hujafanya kazi yako sawasawa!!
Mkuu naweza kukutumia pia ukitaka ile sio 0 ifichweHahahaaa kwenye mitandao huku mbona kila mtu ana div 1ya point 7 na div1 ya pnts 3 advance na GPA ya 5.0 chuo mkuu . hahaaaaa kuongea mitandaon tu mbona sio kazi , unaweza hata kujiita wewe ndio T.O wa tanzania na africa mashariki na kati. Hahahaaaaa
Ninauhakika wewe kama ulifanikiwa kumaliza form 4 lazima una 4 ya mwisho au una zero ama laa basi ndio unajiandaa kumaliza na nikuhakikisheie utapata 4 mbaya au zero, maana uzoefu unaonesha idadi kubwa ya wanafunzi wanao wachukia walimu huwa ni wajinga darasani na hawajiwezi , wao wanacho weza ni usela, uhuni na umalaya na kujiona wajanja .
Wewe utakuwa ulifeli sio bure
lazima mpewe ukweli, acha kulia hovyo!Mpumbavu mzazi wako aliyekupa malezi ya kipumbavu yanayokufanya utukane walimu ambao bila wao usingeweza kusoma na kuandika upumbavu
Habarini za weekend wanaJF;
Nimesikitishwa sana na hizi video au post ambazo Mwalimu anapost au anasambaza mitandaoni huku akiwa anafundisha, tena anaonesha jinsi gani mwanafunzi anayemfundisha ambavyo haelewi ambae ni Mtoto mdogo under 10, najiuliza hivi maadili mliofundishwa huko vyuoni yanawaelekeza mfanye hivi.
Je wazazi wa hao watoto wakiwafungulia mashitaka mtasema mnaonewa,
Assume ni mwanao Unaingia mitandaoni unakuta video inaonesha jinsi gani alivyo bashite,
Assume baada ya miaka 30 Uyo Mtoto anakuja kuwa mwanasiasa na video Kama hizi hujui kwa kiasi gani utamdhalilisha?
Ombi kwenu walimu watendeeni watoto wetu Kama mnavyotaka wa kwenu watendewe, Kama mnaona ni sawa rudini vyuoni mkasome hata business administration inatosha video
Video zimegoma ku-upload
Mkuu, hata ukiwapa typed notes wanakili kutoka kwenye karatasi kwenda kwenye madaftari yao, wengine wataandika madudu na wengine hataandika.Eti unafight unasoma vitabu unasummarize notes tena unaandika mwenyewe ubaoni ili aandike kitu kilichosahihi lakn cha ajabu yeye anakuwa na akili nyingi kuliko mwalimu.
Mkuu baadhi ya walimu
Nisamehe kwa hilo sio wote ni baadhi