FURSA YA KAZI CHUO CHA OPEN UNIVERSITY KWA WALE WANAOPENDA KUFUNDISHA

Kifaru86

JF-Expert Member
Apr 22, 2017
1,734
3,802
napenda kuwatangazia wadau wote ambao mmesoma kuanzia level ya diploma ,bahelor degree,masters na phd karibuni chuo cha open university kuna fursa ya kufundisha na kuwa brush wanafunzi wanaosoma chuo hiki ....

nasema hivyo kwa sababu hiki chuo hakina walimu wa kufundisha na wanafunzi ndo wanajitafutia walimu wa kuwafundisha hivyo basi na kuwapiga brush hivyo wewe mwana jf hii ni fursa kwako kama unapenda basi ni kufatilia tuu taratibu zao utapewa maelekezo jinsi gani utakutana na wanafunzi na jinsi gani mta bergain bei ya kuwafundisha kwa kila somo

nazungumza hayo kwa sababu mimi ni mwanafunzi wa post graduate diploma na ninaona jinsi gani wanafunzi wanahaha kutafuta walimu angalau wa kuwa brush na wanavyohaha kutafuta material

Sent using Jamii Forums mobile app
 
napenda kuwatangazia wadau wote ambao mmesoma kuanzia level ya diploma ,bahelor degree,masters na phd karibuni chuo cha open university kuna fursa ya kufundisha na kuwa brush wanafunzi wanaosoma chuo hiki ....

nasema hivyo kwa sababu hiki chuo hakina walimu wa kufundisha na wanafunzi ndo wanajitafutia walimu wa kuwafundisha hivyo basi na kuwapiga brush hivyo wewe mwana jf hii ni fursa kwako kama unapenda basi ni kufatilia tuu taratibu zao utapewa maelekezo jinsi gani utakutana na wanafunzi na jinsi gani mta bergain bei ya kuwafundisha kwa kila somo

nazungumza hayo kwa sababu mimi ni mwanafunzi wa post graduate diploma na ninaona jinsi gani wanafunzi wanahaha kutafuta walimu angalau wa kuwa brush na wanavyohaha kutafuta material

Sent using Jamii Forums mobile app
Niko hapa nguli wa hesabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeandika usichokijua,hujui maana ya open university, ulifungwa kamba kwenda huko?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha
Hata mm nilitaka kushangaa eti kuwe na fursa ya kufundisha miaka yote tangu kianzishwe halaf watu wasiione halaf aje aigundue yeye leo.
Mimi kidogo ingeniingia akilini angesema wanafunzi hawana uwezo wa kumlipa muhadhiri,lakini sio pesa ipo halaf wahadhiri wanakosekana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya kusoma maelezo yako kitu nilichokigundua watu wengi wenye akili na mawazo kama yako hakika miaka kwa miaka mtaendelea kukaa nyumbani mkisubilia ajira au fursa iwate nyumbani

ila kwa wale wenye akili baada ya kusoma maelezo wataanza kufatilia hiii fursa iko vipi na jinsi gani ninaweza kufaidika kupitia fursa hii, watafanya research kuulizia kupata taarifa na mwisho utawaona wako kazini wameajiriwa lakini kuna sehemu walipitia walifatilia wakajaribu wakaweza ndo maana unawaona leo hii wako sehemu flani ,,,,,

Hahahaha
Hata mm nilitaka kushangaa eti kuwe na fursa ya kufundisha miaka yote tangu kianzishwe halaf watu wasiione halaf aje aigundue yeye leo.
Mimi kidogo ingeniingia akilini angesema wanafunzi hawana uwezo wa kumlipa muhadhiri,lakini sio pesa ipo halaf wahadhiri wanakosekana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upo sahihi Mkuu.
Baada ya kusoma maelezo yako kitu nilichokigundua watu wengi wenye akili na mawazo kama yako hakika miaka kwa miaka mtaendelea kukaa nyumbani mkisubilia ajira au fursa iwate nyumbani

ila kwa wale wenye akili baada ya kusoma maelezo wataanza kufatilia hiii fursa iko vipi na jinsi gani ninaweza kufaidika kupitia fursa hii, watafanya research kuulizia kupata taarifa na mwisho utawaona wako kazini wameajiriwa lakini kuna sehemu walipitia walifatilia wakajaribu wakaweza ndo maana unawaona leo hii wako sehemu flani ,,,,,



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu niko hapa nguli wa sheria japo nakuwa busy na majukum mengine ila sio mbaya kujiongezea kipato kupitia hyo fursa.
 
Nadhani mleta huu uzi n watu walivyolibeba neno "fursa" linaweza kuwa na utata. Mimi nigraduate wa The Open University na nishafanya hyo kazi ya teaching. Sio kwamba chuo kitakutafutia wanafunz wewe ndio utawajibika kuwatatfuta na niwachache sana wanaoweza kuafford kulipa hiyo gharama. Sababu hapo mwanafunz analazimika kulipa gharama extra kwa kila somo atalotaka umfundishe..so sio rahisi hvyo. Mostly kipindi chaitihani atleast ndio unaweza pata wanafunz wa kuwafanyia solving. Kwa hyi ndio picha iliyopo.
 
Back
Top Bottom