Recent content by Thecoder

  1. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Kwaherini JF

    Ushamake peace na nafsi yako so wala hujachanganyikiwa... All in all kinachotenganisha kifo baina ya mtu na mtu ni muda tu ila wote lazima tutakufa Kila mtu na wakati wake. Tuzidi kutakiana mema maana wote tunamuda mchache hapa duniani.
  2. Thecoder

    JamiiForums Tanzania REINCARNATION maybe is real

    Ndio hivyo, so Dunia haijawahi kuwa na jambo jipya that's why wewe na Mimi wote sio wapya.
  3. Thecoder

    JamiiForums Tanzania REINCARNATION maybe is real

    Jibu lako limenyooka.... Duniani almost kila kitu kinajirudia over and over again ni sawa hii 1 useme moja na 2 useme mbili ila ikiwa 12 utasema kumi na mbili ila ni marudio ya moja na mbili.
  4. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Wewe unaamini nini hapo?
  5. Thecoder

    JamiiForums Tanzania REINCARNATION maybe is real

    Ni kweli mkuu... Ila wewe uko upande gani?
  6. Thecoder

    JamiiForums Tanzania REINCARNATION maybe is real

    Yeah coz kuna watu wanayaona maisha katika reality yaani kile anachokiona ndicho anachokiamini so chochote kinyume na hapo hana Imani nacho ila kuna watu wanayaona maisha kwenye reality na kwenye dhaania (Hawa ndio watu wa Imani). Wote wako sahihi coz mchanganyo kama huo ndio uunda maisha kwa...
  7. Thecoder

    JamiiForums Tanzania REINCARNATION maybe is real

    Inshort ni ngumu kuthibitisha kitu ambacho hakina prove, wanaobisha wanasimamia hapo na wanaokubali wanashindwa kuleta prove so mada kama hizi huishia tu hewani na mwisho wa siku Kila mtu anabaki na kile anachokiamini
  8. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Je kitaalamu na kisayansi MOYO hauna hata chembe za fahamu na hisia?

    Nadhani hiyo moyo wa kisasi, moyo wa chuki na kadhalika huwa ni lugha fichi ambayo inatumika kuuzungumzia uhai ambao ndani yake ndimo kulimo mtu halisi. Kisasi na chuki kipo ndani ya mtu na hakuna mtu pasipo uhai. Kwahiyo ndio maana wapo wanaotumia moyo wa kisasi ila pia wapo wanaotumia roho...
  9. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Ugomvi wa marafiki ulioniacha mdomo wazi!

    Kwahiyo ikawaje?
  10. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Vijana wa kitambo chetu

    Utamaduni.
  11. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Vijana wa kitambo chetu

    Ni muhimu sana, lazima malengo yatimie kwanza then ndio mambo mengine yanafuata.
  12. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Vijana wa kitambo chetu

    Ni hakika mkuu.
  13. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Vijana wa kitambo chetu

    Okay, hapo nimekupata.... Anyway, umri wa kuanzia 30 hadi 40 ndio umri ambao watu wanatamani wafix makosa yao yote waliyoyafanya kwenye 20s, kwahiyo mtu hujikuta anataka kutimiza kila kitu na usipokua na vipaumbele nirahisi sana kupoteana.
  14. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Vijana wa kitambo chetu

    Nadhani hii ndio inatutesa wengi, wengi wanaona wanachelewa na vitu haviendi so msongo wa mawazo unazidi.... Kuna sehemu nilionaga uliwahi kucomment ulisema ulianza kujipata around 33, nataka kujua hapo ulikua tayari umeshatoka Tanzania au laa.
  15. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Vijana wa kitambo chetu

    Ni changamoto gani ambazo unahisi zinawakumba hao vijana wa kuanzia 30 to 35, kutokana na uzoefu wako, ukiachana na hizo tajwa hapo juu?
Back
Top Bottom