Recent content by Thecoder

  1. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Embu tutafakari kidogo

    Hakuna utafiti uliofanyika bila sababu, so kwanza mazingira yatakupatia sababu au kukuingiza kwenye mfumo utakaopelekea ufanye utafiti. Kama ni ugonjwa utaumwa kwanza ili ujue kumbe upo then baada ya hapo ndio utafiti unafuata. So ni kama mazingira yanaamua ya kwamba now hili linapaswa...
  2. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Embu tutafakari kidogo

    Hahahaaa why?
  3. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Embu tutafakari kidogo

    Baada ya mazingira kuwalazimisha wafanye uchunguzi...
  4. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Embu tutafakari kidogo

    Hatari... Watu wa kwanza waliwezaje kuanzisha hizi taratibu? Ni kwamba wao walikua bora kuliko sisi au na wao walikuta baadhi ya info tayari zipo.
  5. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Embu tutafakari kidogo

    Yeah lakini je, utakua unawaza nini kichwani? Kwasababu huna kumbukumbu zozote za kale... Wanasema kati ya kitu kinachomfanya mtu asiwe bora ni makelele ya nje ndio maana ukiwa katika hali ya utulivu unaweza kuiona future, kwamfano ukiwa umelala ubongo ukiwa haurecall chochote kwenye past ndio...
  6. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Embu tutafakari kidogo

    Ni ngumu kusema tupo mbali au karibu ila ni kweli kuna mabadiliko ya uhuru wa kifikra yapo, tena makubwa sana ila shida iliyopo ni ukomavu tu. Kwasababu kimsingi mabadiliko makubwa hayategemei uhuru wa kifikra pekee ila yanategema sana na ukomavu uliopo kwenye fikra hizo zilizo huru. Now upo...
  7. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Embu tutafakari kidogo

    Kumbukumbu ni historia so ukiondoa hiyo unabakiwa na nini? Au utakua mtu wa aina gani?
  8. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Embu tutafakari kidogo

    Yeah hayo maandiko yote yanaelezea waziwazi ya kwamba hizo nyakati zote ni nyakati ambazo Dunia ilipitia mabadiliko makubwa ya uelewa wa mambo miongoni mwa watu. Watu walikua wanafanya vitu ambavyo vilikua beyond limitations ambazo ulimwengu wenyewe umejiwekea ili kujilinda. And now pia tupo...
  9. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Embu tutafakari kidogo

    Yeah yaani wewe ndio unaamua kipi kiwepo na kipi kisiwepo na kipi kijulikane kipi kisijulikane... Kuna ile hadithi ya sodoma na gomola ila pia kuna ile hadithi ya wana wa Mungu kuzaa na wana wa Adam, ila pia kuna ile hadithi ya mnara wa Babel, hizi hadithi zote ukizisoma vizuri utaona ni kama...
  10. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Embu tutafakari kidogo

    Nadhani ni ulimwengu tu wenyewe ndio uko hivyo kwa maana hata elimu iliyopo na maamuzi ya ulimwengu wenyewe, sometimes huwa nafikiria labda ni kwa namna ile ile ya wewe ukiwa na nyumba yako kubwa then ukaweka utaratibu fulani wa namna ya watu wanavyopaswa kuishi kwenye nyumba hiyo, chumba kipi...
  11. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Embu tutafakari kidogo

    Hakuna kipya chochote chini ya jua coz kwa jinsi tulivyo huwa hatuumbi kuanzia mwanzo ila tunaumba juu ya uumbaji fulani ambao tayari ulishawahi kuwepo, so kilichopo sasa yawezekana kilishawahi kuwepo na hakitakua ndio mwisho wake bali kitaendelea kuwepo tena na tena... Angalia tu hata kwenye...
  12. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Embu tutafakari kidogo

    Yeah, Dunia haijawahi umbwa mara mbili, so info huwa zipo kulingana na zama husika, ingawa justification ni nyingi katika pande zote za kidini na kisayansi ili kuzuia uhalisia ila nadhani tuko very powerful kuliko hivi tulivyo that's why ni kama universe imeamua kutuwekea mipaka fulani ili...
  13. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Embu tutafakari kidogo

    Ukivuliwa tabaka zote za kumbukumbu ulizozikusanya kwa miaka mingi, ni kitu gani hasa kitabaki kukufanya uwe wewe? Embu tafakari kwa kina hapa… Huenda unachokiita akili si chochote zaidi ya maktaba ya mabaki ya jana iliyojificha ndani ya ubongo wako. Maana mwanadamu haishi kwa kile anachokijua...
  14. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Kwa nini mwanadamu ndiye anayetaabika na si Mungu? 🤔

    Kwahiyo umetoka tena kwenye swali lako? Maana swali lako limehusisha hapo.
Back
Top Bottom