Ushamake peace na nafsi yako so wala hujachanganyikiwa...
All in all kinachotenganisha kifo baina ya mtu na mtu ni muda tu ila wote lazima tutakufa Kila mtu na wakati wake.
Tuzidi kutakiana mema maana wote tunamuda mchache hapa duniani.
Jibu lako limenyooka.... Duniani almost kila kitu kinajirudia over and over again ni sawa hii 1 useme moja na 2 useme mbili ila ikiwa 12 utasema kumi na mbili ila ni marudio ya moja na mbili.
Yeah coz kuna watu wanayaona maisha katika reality yaani kile anachokiona ndicho anachokiamini so chochote kinyume na hapo hana Imani nacho ila kuna watu wanayaona maisha kwenye reality na kwenye dhaania (Hawa ndio watu wa Imani).
Wote wako sahihi coz mchanganyo kama huo ndio uunda maisha kwa...
Inshort ni ngumu kuthibitisha kitu ambacho hakina prove, wanaobisha wanasimamia hapo na wanaokubali wanashindwa kuleta prove so mada kama hizi huishia tu hewani na mwisho wa siku Kila mtu anabaki na kile anachokiamini
Nadhani hiyo moyo wa kisasi, moyo wa chuki na kadhalika huwa ni lugha fichi ambayo inatumika kuuzungumzia uhai ambao ndani yake ndimo kulimo mtu halisi.
Kisasi na chuki kipo ndani ya mtu na hakuna mtu pasipo uhai.
Kwahiyo ndio maana wapo wanaotumia moyo wa kisasi ila pia wapo wanaotumia roho...
Okay, hapo nimekupata.... Anyway, umri wa kuanzia 30 hadi 40 ndio umri ambao watu wanatamani wafix makosa yao yote waliyoyafanya kwenye 20s, kwahiyo mtu hujikuta anataka kutimiza kila kitu na usipokua na vipaumbele nirahisi sana kupoteana.
Nadhani hii ndio inatutesa wengi, wengi wanaona wanachelewa na vitu haviendi so msongo wa mawazo unazidi.... Kuna sehemu nilionaga uliwahi kucomment ulisema ulianza kujipata around 33, nataka kujua hapo ulikua tayari umeshatoka Tanzania au laa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.