Recent content by Thecoder

  1. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Nakaribia Kuingia Kwenye Kusudi Langu Kuu

    Kila la heri mkuu
  2. Thecoder

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Hahahahaaa ndio mkuu... Watu huwa wanashangaa hilo jina 😅😅😅
  3. Thecoder

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Mapema
  4. Thecoder

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Sijajua ni Kipapa cha nini, ila ni Kipapa 😅😅
  5. Thecoder

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Mbinga ndani ndani huku, unakuja kama unaenda shimoni, unapanda na kushuka mabonde na milima hadi unakuja kuibukia kwenye Kijiji kinaitwa Kipapa.
  6. Thecoder

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Ndio ndioooooo hatuna muda😂😂
  7. Thecoder

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Wanasema bwana Steve Job aliona kuoga ni kitu inampotezea muda so akaacha kula nyama ili asiwe anaoga😅😅😅
  8. Thecoder

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Kwa ndugu yangu dosho12 ... Hapana Mimi ni Thecoder, huku kwa wamatengo baridi ni Kali sana so huwa hatuogi(sio Mimi tu ila naona hata wenyeji nao hawaogi) so ukienda Roma nawewe inakubidi uwe mroma so Mimi na wenyeji wangu tumefikia hapo😂😂
  9. Thecoder

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Ni kweli ukila nyama mwili hutoa harufu tofauti na usipokula na kama kweli ni kuna nyama specific like nyama nyekundu or nyeupe or zote zinaweza fanya hivyo?
  10. Thecoder

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Mimi huu mwezi wa pili sijaoga😅😅😅so kawaida tu shemela.
  11. Thecoder

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Mbona ni kama unajitetea sana... Hata usipooga tangu jana sio dhambi😅😅😅 Nyama yoyote nadhani, ngoja mwanasayansi dosho12 atuambie hapo
  12. Thecoder

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Steve job ili asioge😅😅😅... Maana wanasema ukila nyama mwili ukitoa jasho linatoka na harufu
  13. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Watanzania chuki zimezidi sasa mnashindwa hata kusema pole kwa rais wenu. Tumwombe Mungu atutoe hapa

    Yaani wewe ungekua ndio mshauri wa raisi ungemuingiza shimoni mchana kweupe, maana rangi unaiona ni blue unang'ang'ania iwe nyeupe, hivi unashida gani mkuu? Hivi sio vitu vya kuviletea mzaha hata kidogo, kwa maana hata jipu huwa linaanza kama kakipele tu kadogo. Huwezi kusolve tatizo kama...
Back
Top Bottom