Mbegu huota pale ilipopandiwa, jukumu la Ione lini au iote isiote litabaki kuwa la universe, mkulima anaweza akapanda mbegu ila haimaanishi yeye ndio anaamua hizo mbegu zote bila universe kuamua hakuna chenye kinaweza kutokea.
Kwahiyo uko sahihi wewe huwezi kufanya choice za moja kwa moja coz...
Ni sahihi kwasababu choice huendana na amani ya moyo, kwenye amani ya moyo ndiko kuliko na uhalisia wako wa ndani ambao ndio uliobeba hakika yako.
Ingawa si Kila maamuzi unayoyafanya huwa yanafanywa kwa kufuata amani ya moyo wako ila yapo mengine hufanywa kwa shinikizo la nguvu ya nje ambayo...
Hivyo vyote unaona kama vimethinitishwa kwasababu kuna watu waliamua ionekane hivyo na wakatuaminisha hivyo so Imani imejengwa ndani yetu.
Vipimo vyote ulivyotaja hapo vinapima kufuata patterns zile zile zinazojirudia na ndio maana majibu yake hayajawahi kuwa accurate, ndio maana huwa tunaita...
Sio kila kitu unaweza kithibitisha physically ila haimaanishi kwakua huwezi kukithibitisha physically inamaanisha hakipo.
Nilikwambia hapo juu ya kwamba huwezi thibitisha upepo hadi utakapouskia unavuma, huwezi kuthibitisha baridi lipo hadi utakapolifeel kwenye mwili wako ila ikitokea mwenzio...
DNA ni kukuonesha tu ya kwamba mpapai hauwezi kuzaa tango labda hadi mechanism isiyo ya kawaida ifanyike.
Lakini pia licha ya kukuonesha tango haliwezi zaliwa kwa mpapai ila pia inakuonesha ya kwamba mpapai huu ni tofauti na mpapai ule, ila haiwezi kuzuia ya kwamba ili mpapai uote lazima...
Uthibitisho ni uwepo wa Mimi na wewe na kuendelea kuwepo wanadamu enzi hadi enzi.
Kwa concept ya kimwili uwepo wetu watu wengi hudhani upo kwasababu ya kuzaliana ila kimsingi hakuna kuzaliana pasipo mbegu kupandwa kuota na kumea.
Kwahiyo ili mtu azaliwe lazima afe.
Ili mpapai uendelee kuwepo...
Roho ni mbegu ya mtu iliyo ndani ya mwili wa mtu, kwahiyo nikisema kiroho katika hilo andiko mostly namaanisha mchakato wa kiupandaji wa hiyo mbegu yenyewe
Uko sawa si Kila Imani imejengwa kwenye misingi ya ukweli ingawa kiuhalisia kitu kikishakua Imani huwa hakiwezi kuwa proved kwahiyo ni ngumu kujua Imani ipi imejengwa kwenye misingi ya ukweli au uongo kwa kusoma au kuskia ikiwa haufeel hata chembechembe yoyote ya kumake sense ndani yako...
Kila kitu duniani ni Imani, ila inategemea ni Imani ya wakati ujao au Imani ya wakati uliopita.
Kwahiyo kimsingi hata sayansi ni Imani ila ni Imani ya wakati uliopita, kwasababu hakuna sayansi bila prove na hakuna prove bila kitu kinachotakiwa kufanyia hiyo prove kuwepo.
Kwahiyo kwa maana...
Yeah ukipigwa radi ni matokeo ya yale maisha ambayo uliyaishi hapo awali, coz kutokana na yale maisha kwenye mzunguko mpya umejikuta unaishi maisha yenye njia ngumu za kuuatarisha mwili wakati unapoendelea kusolve puzzle za kihatima.
Mambo hayayokei randomly ila kila jambo linalomtokea mtu ni...
Hapo sasa unaingia kwenye aina ya mbegu, watu wapo katika makundi mbalimbali ya kihatima, kwamfano wewe unachokifanya sasa hivi hakijaja by chance ila kimekuja kwasababu kipo kwenye kundi ya mambo yanayoendana na wewe.
Kwahiyo sio lazima uwe mganga ili uje kuwa mganga ila unaweza ukawa padre na...
Kwanza unatakiwa ujue ya kwamba jambo lolote ambalo ni hakika kwa mtu huwa haliepukiki hata ufanyeje.
Na Kila mtu pindi tu anapokuja duniani ramani ya maisha yake inakua tayari imeandaliwa na kwenye hiyo ramani tayari kuna hakika zipo ndani yake, hii hakika nnayosema ni hatima.
Sasa mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.