Kwa ndugu yangu dosho12 ...
Hapana Mimi ni Thecoder, huku kwa wamatengo baridi ni Kali sana so huwa hatuogi(sio Mimi tu ila naona hata wenyeji nao hawaogi) so ukienda Roma nawewe inakubidi uwe mroma so Mimi na wenyeji wangu tumefikia hapo😂😂
Ni kweli ukila nyama mwili hutoa harufu tofauti na usipokula na kama kweli ni kuna nyama specific like nyama nyekundu or nyeupe or zote zinaweza fanya hivyo?
Yaani wewe ungekua ndio mshauri wa raisi ungemuingiza shimoni mchana kweupe, maana rangi unaiona ni blue unang'ang'ania iwe nyeupe, hivi unashida gani mkuu? Hivi sio vitu vya kuviletea mzaha hata kidogo, kwa maana hata jipu huwa linaanza kama kakipele tu kadogo.
Huwezi kusolve tatizo kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.