Zinaweza zisiwe kwenye mizania sawa coz kwenye Ngoma zake zote stopa hiyo ndio ngoma yake ya kumalizia show, wasanii wengi wako na Ngoma za namna hiyo.
Na stopa pia ako na Ngoma nyingi Kali ila hiyo mtu tatu ndani ya track moja ndio ambayo ilipigwa sana kwenye radio, na huyo mo music pia ako na Ngoma nyingi Kali ukiachana na hiyo uliyoitaja hapo, pazia jeusi na nakupenda hip hop nadhani zote ni Ngoma zenye mizania sawa...
AI ni tools tu inarahisisha mambo, nowadays hata stack overflow ni kama inakufa hivi maana watu wanatumia sana AI kuremove bugs, thou ni kitu imeondoa ile ladha ya programming, mabishano ya kule stack overflow hadi kufikia conclusion mtu unakua umejifinza patterns nyingi sana ila AI unapest...
So unamaanisha kuna muda ni kama unahisi hakuna muunganiko kati ya wewe halisi na mwili wako?
Na ukijiangalia kwenye kioo unapata hisia kama huyo anaeonekana hapo sio wewe halisi...
Pia kuna muda ni kama unahisi umerukwa na akili kwa maana ni kama unakua unconscious ila sio exactly unconscious...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.