Recent content by Thecoder

  1. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Ila wanawake ni shida sana

    Test ya mwanamke kwenye pesa ndio inayodetermine aina ya maono yaliyo ndani ya mwanaume anaetaka awe msaidizi wake. So, technically mwanamke hapendi pesa ila kwakua pesa ni matokeo ya uadilifu na ufahamu wa mtu (kujitambua wewe ni nani na kwanini upo kwenye hii dunia) so wanajikuta wanaangulia...
  2. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Madeni: Je, umewahi kudaiwa mpaka ukajuta kwanini ulikopa?

    Mimi ni mgumu kulipa so huwa sikopi coz nimeshajua udhaifu wangu, pesa ikishafika mikononi mwangu kutoka ni ngumu sana😅... Hongera, uko na idea nzuri ya nyuzi, ndio maana nyuzi zako naona muda mwingi zinatrend humu jukwaani.
  3. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Kumekuwa na wimbi la nyuzi za ngono

    Mambo ya kuzogoa😅😅😅
  4. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Kumekuwa na wimbi la nyuzi za ngono

    Acha tufurahie mkuu.
  5. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Kumekuwa na wimbi la nyuzi za ngono

    Ndio atanitag sio?😅😅. Sema maisha lazima yabalance coz watu wanaingia humu kwa malengo tofauti tofauti, kuna watu walijoin humu kwasababu ya simulizi, kuna watu walijoin humu kwasababu ya mada za biashara, wapo waliojoin kwasababu ya mambo ya kisiasa, wengine mada za mahusiano na kadhalika...
  6. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Kumekuwa na wimbi la nyuzi za ngono

    Nitag na Mimi mkuu kwenye hizo series kwanza😅😅😅...
  7. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Aise Messi ndio mbuzi

    Yaani huyu jamaa akiwa bado yupo uwanjani na mpira ukiwa ungali unachezwa usiseme mpira umeisha hadi refa aseme umeisha😅😅😅... Leo ametumia takribani dakika 10 tu kujitambulisha kwa wapenda soka wote duniani.
  8. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Happy birthday Smart911

    Maisha marefu kwake...
  9. Thecoder

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    0338
  10. Thecoder

    JamiiForums Tanzania I'm a Software Developer, I need help

    Ni stack gani upo comfortable nayo vizuri, na ukipewa project unaweza kusimamia kuanzia wapi hadi wapi?
  11. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Nini Chanzo cha mawazo?

    Yeah upo sahihi, ni ngumu kuufanya uache kuwaza ila angalau unaweza kucontrol aina ya mawazo unayopaswa kuwaza kwa wakati fulani... Ubongo kweli upo active muda wote as long as uko hai so mleta mada ako na hoja.
  12. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Sheikh Mwaipopo: Tuna kundi la vijana 38,000 wanaojiita "Mbwa Mwitu". Ukiandamana Sabasaba wanapita na maini yako

    Hivi huwa wanafikiria madhara ya baadae ywtakayotokea juu ya hivi vikundi vinavyoanzishwa? Unachukua vijana unawatrain then unawapa majukumu ambayo idara ya ulinzi ndio inatakiwa iyafanye then baada ya hayo majukumu kuisha hao vijana watapelekwa wapi? Labda kama anapiga tu mikwara ila kama ni...
  13. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Scientific fact na knowledge Thread

    Kichwa inaanza kuchakata mambo😂😂😂
  14. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Scientific fact na knowledge Thread

    Kwahiyo wewe kwenye Giza ndio fresh😅😅😅
  15. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Scientific fact na knowledge Thread

    Anawapa kile watu wanapenda mostly😅😅😅
Back
Top Bottom