Test ya mwanamke kwenye pesa ndio inayodetermine aina ya maono yaliyo ndani ya mwanaume anaetaka awe msaidizi wake.
So, technically mwanamke hapendi pesa ila kwakua pesa ni matokeo ya uadilifu na ufahamu wa mtu (kujitambua wewe ni nani na kwanini upo kwenye hii dunia) so wanajikuta wanaangulia...
Mimi ni mgumu kulipa so huwa sikopi coz nimeshajua udhaifu wangu, pesa ikishafika mikononi mwangu kutoka ni ngumu sana😅...
Hongera, uko na idea nzuri ya nyuzi, ndio maana nyuzi zako naona muda mwingi zinatrend humu jukwaani.
Ndio atanitag sio?😅😅.
Sema maisha lazima yabalance coz watu wanaingia humu kwa malengo tofauti tofauti, kuna watu walijoin humu kwasababu ya simulizi, kuna watu walijoin humu kwasababu ya mada za biashara, wapo waliojoin kwasababu ya mambo ya kisiasa, wengine mada za mahusiano na kadhalika...
Yaani huyu jamaa akiwa bado yupo uwanjani na mpira ukiwa ungali unachezwa usiseme mpira umeisha hadi refa aseme umeisha😅😅😅... Leo ametumia takribani dakika 10 tu kujitambulisha kwa wapenda soka wote duniani.
Yeah upo sahihi, ni ngumu kuufanya uache kuwaza ila angalau unaweza kucontrol aina ya mawazo unayopaswa kuwaza kwa wakati fulani... Ubongo kweli upo active muda wote as long as uko hai so mleta mada ako na hoja.
Hivi huwa wanafikiria madhara ya baadae ywtakayotokea juu ya hivi vikundi vinavyoanzishwa?
Unachukua vijana unawatrain then unawapa majukumu ambayo idara ya ulinzi ndio inatakiwa iyafanye then baada ya hayo majukumu kuisha hao vijana watapelekwa wapi?
Labda kama anapiga tu mikwara ila kama ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.