Recent content by Thecoder

  1. Thecoder

    JamiiForums Tanzania JF generations LTE

    Ni kweli...
  2. Thecoder

    JamiiForums Tanzania JF generations LTE

    Nadhani ilivyokuaga hapo awali ndio ilipaswa kuwa hivyo kulingana na zama na ilivyo sasa ndivyo inavyopaswa kuwa hata itakavyokua baadae ndivyo itakavyotakiwa kuwa coz Kila generation inakuja kinamna tofauti, so kuna namna kama ulikua kwenye zama fulani za generation yako, generation mpya ikija...
  3. Thecoder

    JamiiForums Tanzania JF generations LTE

    Akirudi humu atakutana na comment yako hapa so ataijua😅
  4. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Je, umewahi kutambua kwamba mfumo uleule uliomuuwa Yesu ndio uleule uliotengeneza dini ya kuzungumzia juu yake

    Yeah huwa iko hivyo bwashee 😂😂
  5. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Je, umewahi kutambua kwamba mfumo uleule uliomuuwa Yesu ndio uleule uliotengeneza dini ya kuzungumzia juu yake

    Hahahaaa mara chache sana aisee.
  6. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Je, umewahi kutambua kwamba mfumo uleule uliomuuwa Yesu ndio uleule uliotengeneza dini ya kuzungumzia juu yake

    Ee bwashee 😅😅... dosho12 ni mtu anajua vitu vingi ambazo sio common sana ila ni mtu ambae hapendi kuanzisha nyuzi humu jukwaani.
  7. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Je, umewahi kutambua kwamba mfumo uleule uliomuuwa Yesu ndio uleule uliotengeneza dini ya kuzungumzia juu yake

    Sema Mimi sijawahi ila natamani sana, unajua kila mtu huwa ako na tawi lake moja ambalo akifanya meditation akili inapotelea huko, Mimi upande huu huwa ndio nautumia kama tawi, mostly huwa najiuliza maswali na kujenga hoja zisizo na kichwa wala miguu😅😅😅. Niunge na huyo dada nijifunze bwashee.
  8. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Je, umewahi kutambua kwamba mfumo uleule uliomuuwa Yesu ndio uleule uliotengeneza dini ya kuzungumzia juu yake

    Sijawahi kuwa mwanafunzi wa mtu yeyote kwenye upande huo bwashee...
  9. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Je, umewahi kutambua kwamba mfumo uleule uliomuuwa Yesu ndio uleule uliotengeneza dini ya kuzungumzia juu yake

    Yeah inawezekana sana pia, that's why inapambana sana kutufanya tujifeel comfortable, inatutumia sisi kujipumbaza wenyewe kwa namna inataka.
  10. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Je, umewahi kutambua kwamba mfumo uleule uliomuuwa Yesu ndio uleule uliotengeneza dini ya kuzungumzia juu yake

    Ukifikiria sana kwa utulivu utagundua kinamna fulani ni kama universe inachotaka ni sisi tujione ni part of it yaani tuunganike nayo, bila kuwa na hofu yoyote. Kila kitu ni kama kipo kwenye level fulani ya mitetemo ili ukiown nilazima wewe na hiko kitu mvibrate katika mitetemo sawa.
  11. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Tabia Zako: Ufunguo wa Mafanikio au Kushindwa

    The more unavyotumia akili sana kwenye kufanya mambo ndio the more unavyojitoa kwenye uhalisia wako... Success ni default so hardworking au kinyume chake haiwezi kukupa guarantee ya kufanikiwa au kutokufanikiwa. Just, enjoy na ufanye unachopenda muhimu uweke balance kati ya wewe na wewe mwenyewe.
  12. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Wanaojiuza Zanzibar yadaiwa wanatoka Bara na Kenya. Wanunuzi watoka wapi? Na soko kwa nini liwe Zanzibar?

    Zanzibar high season huwa haikamatiki, ukishuka kwenye fukwe za paje kule halafu ukapiga picha ukamtumia mtu na kumwambia uko mbele ni ngumu kubisha coz ni wadanta tu wanakua wamezagaa ufukweni so soko ndio liko hapo. Zanzibar ukifanya research ya haraka haraka utagundua hata wale wanaovaa...
  13. Thecoder

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    0152
Back
Top Bottom