Nadhani ilivyokuaga hapo awali ndio ilipaswa kuwa hivyo kulingana na zama na ilivyo sasa ndivyo inavyopaswa kuwa hata itakavyokua baadae ndivyo itakavyotakiwa kuwa coz Kila generation inakuja kinamna tofauti, so kuna namna kama ulikua kwenye zama fulani za generation yako, generation mpya ikija...
Sema Mimi sijawahi ila natamani sana, unajua kila mtu huwa ako na tawi lake moja ambalo akifanya meditation akili inapotelea huko, Mimi upande huu huwa ndio nautumia kama tawi, mostly huwa najiuliza maswali na kujenga hoja zisizo na kichwa wala miguu😅😅😅.
Niunge na huyo dada nijifunze bwashee.
Ukifikiria sana kwa utulivu utagundua kinamna fulani ni kama universe inachotaka ni sisi tujione ni part of it yaani tuunganike nayo, bila kuwa na hofu yoyote.
Kila kitu ni kama kipo kwenye level fulani ya mitetemo ili ukiown nilazima wewe na hiko kitu mvibrate katika mitetemo sawa.
The more unavyotumia akili sana kwenye kufanya mambo ndio the more unavyojitoa kwenye uhalisia wako... Success ni default so hardworking au kinyume chake haiwezi kukupa guarantee ya kufanikiwa au kutokufanikiwa.
Just, enjoy na ufanye unachopenda muhimu uweke balance kati ya wewe na wewe mwenyewe.
Zanzibar high season huwa haikamatiki, ukishuka kwenye fukwe za paje kule halafu ukapiga picha ukamtumia mtu na kumwambia uko mbele ni ngumu kubisha coz ni wadanta tu wanakua wamezagaa ufukweni so soko ndio liko hapo.
Zanzibar ukifanya research ya haraka haraka utagundua hata wale wanaovaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.