Recent content by Thecoder

  1. Thecoder

    JamiiForums Usiku wa manane

    0411
  2. Thecoder

    JamiiForums Usiku wa manane

    03:59
  3. Thecoder

    Orodha ya wasanii waliotoa hit moja kali kisha wakapotea kimyakimya

    Hiyo nimpende nani ndio naijua Mimi😅😅... Kuna dogo nae alikua anatokea mwanza c sir madini nae alikua na Ngoma yake yakuitwa kifungo huru.
  4. Thecoder

    Orodha ya wasanii waliotoa hit moja kali kisha wakapotea kimyakimya

    Zinaweza zisiwe kwenye mizania sawa coz kwenye Ngoma zake zote stopa hiyo ndio ngoma yake ya kumalizia show, wasanii wengi wako na Ngoma za namna hiyo.
  5. Thecoder

    Orodha ya wasanii waliotoa hit moja kali kisha wakapotea kimyakimya

    Kuna jamaa alikua anaitwa fadidad nae alitoa hit song moja akapotea
  6. Thecoder

    Orodha ya wasanii waliotoa hit moja kali kisha wakapotea kimyakimya

    Na stopa pia ako na Ngoma nyingi Kali ila hiyo mtu tatu ndani ya track moja ndio ambayo ilipigwa sana kwenye radio, na huyo mo music pia ako na Ngoma nyingi Kali ukiachana na hiyo uliyoitaja hapo, pazia jeusi na nakupenda hip hop nadhani zote ni Ngoma zenye mizania sawa...
  7. Thecoder

    Programmers msimuamini sana AI

    AI ni tools tu inarahisisha mambo, nowadays hata stack overflow ni kama inakufa hivi maana watu wanatumia sana AI kuremove bugs, thou ni kitu imeondoa ile ladha ya programming, mabishano ya kule stack overflow hadi kufikia conclusion mtu unakua umejifinza patterns nyingi sana ila AI unapest...
  8. Thecoder

    Tukielekea kufunga mwaka taja Members wako bora watano kwa mwaka huu 2025-Top 5

    The prezidentiiiiiiii.... Uwe na wakati mzuri mkuu kuelekea kumalizia malizia kuufunga mwaka.
  9. Thecoder

    Uzi Maalum kwa ajili ya kupeana Salamu na Heri za Christmas na Mwaka Mpya 2026

    Asante sana raisi wetu wa majobless, Salam zikufikie popote ulipo mkuu....
  10. Thecoder

    Uzi Maalum kwa ajili ya kupeana Salamu na Heri za Christmas na Mwaka Mpya 2026

    Asante sana raisi wetu wa majobless, Salam zikufikie popote ulipo mkuu....
  11. Thecoder

    Nimeishi na hali ya kutisha ya akili (kama si mtu halisi) tangu nikiwa na umri wa miaka 8 hadi sasa

    Sidhani kama nitakua na Madini sana ila ni hali ambayo niko na uzoefu nayo kwa kiasi fulani.... But karibu sana mkuu.
  12. Thecoder

    Nimeishi na hali ya kutisha ya akili (kama si mtu halisi) tangu nikiwa na umri wa miaka 8 hadi sasa

    So unamaanisha kuna muda ni kama unahisi hakuna muunganiko kati ya wewe halisi na mwili wako? Na ukijiangalia kwenye kioo unapata hisia kama huyo anaeonekana hapo sio wewe halisi... Pia kuna muda ni kama unahisi umerukwa na akili kwa maana ni kama unakua unconscious ila sio exactly unconscious...
  13. Thecoder

    JamiiForums Usiku wa manane

    0110
  14. Thecoder

    JamiiForums Usiku wa manane

    0040
Back
Top Bottom