Nini Chanzo cha mawazo?

Nini Chanzo cha mawazo?

"Who is thinking you thought"

Hivi ulishawahi kujiuliza mambo tunayoyawaza huwa yanatokea wapi. Kama yanatoka kwako, kwa nini huwezi kujizuia kuwaza..yaani ndani ya fikra zako kukawa kimya kabisa bila kuwaza chochote.
Mawazo hayana CHANZO mkuu

Mawazo ni matokeo ya UBONGO kufanya kazi yake ipasavyo

Mfumo wa ufanyaji kazi wa binadamu unakua controlled na UBONGO ambao unakazi ya kupokea, kuchakata na kutoa maelekezo wakati wote unapokua HAI.

Utaacha KUWAZA tu ikiwa utapata changamoto katika ubongo(Unakua ndondocha) au ukiwa unconscious
 
Hii inawezekana ila kwa kuutrain ubongo uzoee kuacha kuzingatia kelele zinazoendelea nje ili ubaki kwenye hali ya utulivu... Ukiwa unafanya meditation kuna level ya hivi baadhi ya watu wanaifikia, ingawa si wengi coz waliowengi hushindwa kufika hapa bali wao huambaa kwenye eneo moja na kupotelea hapo.

So as long as macho yanaona na maskio yanaskia kila keep nachoendelea basi ubongo huwa active kuchakata hivyo vyote, ila maskio yasiposkia na macho yasipoona ubongo huwa kwenye utulivu ambao utafanya usikumbuke jana wala kuunga dots zozote zitakazokupa taswira ya future.
Mkuu sidhani kama inawezekana KUACHA KUFIKIRI(Mawazo) as long as upo HAI na haujazimia wala kupata changamoto ya afya ya ubongo

Huwezi ku train ubongo uache kufanya kazi yake
Ubongo hautegemei kusikia na kuona tu……. Upo ACTIVE muda wote
 
Mkuu sidhani kama inawezekana KUACHA KUFIKIRI(Mawazo) as long as upo HAI na haujazimia wala kupata changamoto ya afya ya ubongo

Huwezi ku train ubongo uache kufanya kazi yake
Ubongo hautegemei kusikia na kuona tu……. Upo ACTIVE muda wote
Yeah upo sahihi, ni ngumu kuufanya uache kuwaza ila angalau unaweza kucontrol aina ya mawazo unayopaswa kuwaza kwa wakati fulani... Ubongo kweli upo active muda wote as long as uko hai so mleta mada ako na hoja.
 
Mi nahisi mawazo yameunganika na ufahamu yapo tu kichwani tunachofanya ni kutoa tu kipi ukitumia hivyo sidhani kama tunaweza kutokuacha kuwaza bali ni kubadilisha mfumo wa mawazo pale tunapolala na kuwa ndoto ila hatuwezi kabisa kukaa bila kuwaza mpaka pale ufahamu utapotoka
 
"Who is thinking you thought"

Hivi ulishawahi kujiuliza mambo tunayoyawaza huwa yanatokea wapi. Kama yanatoka kwako, kwa nini huwezi kujizuia kuwaza..yaani ndani ya fikra zako kukawa kimya kabisa bila kuwaza chochote.
Sometimes life style
 
"Who is thinking you thought"

Hivi ulishawahi kujiuliza mambo tunayoyawaza huwa yanatokea wapi. Kama yanatoka kwako, kwa nini huwezi kujizuia kuwaza..yaani ndani ya fikra zako kukawa kimya kabisa bila kuwaza chochote.
hili swali huwezi kulijibu kama huelewi saikolojia, kwanza mwanadamu hana uwezo wa kuwaza, mwanadamu anapokea mawazo kwa mfumo wa masafa(frequency) hayo masafa yanatakiwa yafanyiwe kitu kinachoitwa "encoding" yaani kuyabadilisha yawe na maana kwa sababu bila kufanya hivo ni ngumu sana kuona umbo la wazo (imagination), na kiungo kinachofanya kazi hiyo ni ubongo, ubongo hutafsiri na kisha kutengeneza "projection" na hatimae unaweza kuona unachowaza....., hili ni swala tata sana kwa asiyeelewa saikolojia. na ndio maana mawazo yanategemea sana kitu kinachoitwa "mindset" yaani setting your mind within a specific frequency and recieving information within that particular frequency.
 
hili swali huwezi kulijibu kama huelewi saikolojia, kwanza mwanadamu hana uwezo wa kuwaza, mwanadamu anapokea mawazo kwa mfumo wa masafa(frequency) hayo masafa yanatakiwa yafanyiwe kitu kinachoitwa "encoding" yaani kuyabadilisha yawe na maana kwa sababu bila kufanya hivo ni ngumu sana kuona umbo la wazo (imagination), na kiungo kinachofanya kazi hiyo ni ubongo, ubongo hutafsiri na kisha kutengeneza "projection" na hatimae unaweza kuona unachowaza....., hili ni swala tata sana kwa asiyeelewa saikolojia. na ndio maana mawazo yanategemea sana kitu kinachoitwa "mindset" yaani setting your mind within a specific frequency and recieving information within that particular frequency.
So hapo mtu alipo kwa sasa mawazo yanapita tu hivyo unachofanya ni ku tune in mawazo ya aina gani yaende kwenye ubongo,

Mi huwa nahisi hivyo kwa ufahamu, kwamba upo hewani na kinachofanya kitu kuwa concius ni movement ya particles zinatengeneza electromagnetic field kisha ina attract ufahamu na vitu pekee vyenye uwezo huo kwenye mwili wa mwanadamu ni moyo na ubongo,
 
So hapo mtu alipo kwa sasa mawazo yanapita tu hivyo unachofanya ni ku tune in mawazo ya aina gani yaende kwenye ubongo,

Mi huwa nahisi hivyo kwa ufahamu, kwamba upo hewani na kinachofanya kitu kuwa concius ni movement ya particles zinatengeneza electromagnetic field kisha ina attract ufahamu na vitu pekee vyenye uwezo huo kwenye mwili wa mwanadamu ni moyo na ubongo,
mawazo ni kama mawingu, na anga ni kama akili, sasa mtu hawezi ku "tune" au kuchagua mawazo ila mawazo yanapita kwenye uwanja wa akili yake, kinachofanya tuning ni akili ambayo ni kama radio reciever
 
mawazo ni kama mawingu, na anga ni kama akili, sasa mtu hawezi ku "tune" au kuchagua mawazo ila mawazo yanapita kwenye uwanja wa akili yake, kinachofanya tuning ni akili ambayo ni kama radio reciever
Safi
 
"Who is thinking you thought"

Hivi ulishawahi kujiuliza mambo tunayoyawaza huwa yanatokea wapi. Kama yanatoka kwako, kwa nini huwezi kujizuia kuwaza..yaani ndani ya fikra zako kukawa kimya kabisa bila kuwaza chochote.
Chanzo cha mawazo ni mawazo
 
Back
Top Bottom