Honeybees
Member
- Jul 4, 2026
- 9
- 14
Hello bosses,
Natumai mu wazima, na wagonjwa Mungu awajalie afya njema.
Napitia mabadiliko makubwa maishani mwangu.
Nilijiunga na kampuni fulani ya logistics mwaka jana kabla sijamaliza chuo. At first maisha yalikuwa mazuri sana; salary na bonuses. Ila kadiri muda ulivyoenda employees tuliona mabadiliko, bonus hatukupewa na pay zikaanza kucheleweshwa. Wapo walionishauri nicheki kampuni nyingine maana dalili hazikuwa nzuri Ila niliamini katika vision ya kampuni hasa nilipokaa na mabosi wenyewe. Miezi miwili nyuma ishara zikawa wazi, kampuni ikapata wakati mgumu kiuchumi, na hivyo ikafunga shughuli zake. So nikaamua kucheki opportunity kwingine. Ila hiyo opportunity imekuwa ngumu kuipata.
Sio kama zamani. Chuo nilifanya project nyingi na life lilienda vizuri sana. Nimemaliza nikiwa na job offer 3. Leo inapita muda sijapata opportunity. Sijui ni market au msimu. Sijutii kuikumbatia ile kampuni maana nafahamu experience kama hizo ni part of life but I need to move on asap.
My skills:
Programming languages: Python, JavaScript, Kotlin na Swift.
Frameworks: Next.js na FastAPI.
Mobile: SwiftUI, Jetpack Compose.
I can work with cloud technologies; AWS, Azure na GCP.
Nipo familiar na production level systems na sio hello world programs. Nimeship both web na mobile apps kwenye stores and I can leverage AI well enough.
So please kama una uhitaji wa kitu ninacho offer, let's do it. Utanisaidia na nitakupa service nzuri pia.
Asanteni.
Natumai mu wazima, na wagonjwa Mungu awajalie afya njema.
Napitia mabadiliko makubwa maishani mwangu.
Nilijiunga na kampuni fulani ya logistics mwaka jana kabla sijamaliza chuo. At first maisha yalikuwa mazuri sana; salary na bonuses. Ila kadiri muda ulivyoenda employees tuliona mabadiliko, bonus hatukupewa na pay zikaanza kucheleweshwa. Wapo walionishauri nicheki kampuni nyingine maana dalili hazikuwa nzuri Ila niliamini katika vision ya kampuni hasa nilipokaa na mabosi wenyewe. Miezi miwili nyuma ishara zikawa wazi, kampuni ikapata wakati mgumu kiuchumi, na hivyo ikafunga shughuli zake. So nikaamua kucheki opportunity kwingine. Ila hiyo opportunity imekuwa ngumu kuipata.
Sio kama zamani. Chuo nilifanya project nyingi na life lilienda vizuri sana. Nimemaliza nikiwa na job offer 3. Leo inapita muda sijapata opportunity. Sijui ni market au msimu. Sijutii kuikumbatia ile kampuni maana nafahamu experience kama hizo ni part of life but I need to move on asap.
My skills:
Programming languages: Python, JavaScript, Kotlin na Swift.
Frameworks: Next.js na FastAPI.
Mobile: SwiftUI, Jetpack Compose.
I can work with cloud technologies; AWS, Azure na GCP.
Nipo familiar na production level systems na sio hello world programs. Nimeship both web na mobile apps kwenye stores and I can leverage AI well enough.
So please kama una uhitaji wa kitu ninacho offer, let's do it. Utanisaidia na nitakupa service nzuri pia.
Asanteni.