Recent content by The killar

  1. The killar

    Frank W.A: Mhalifu tapeli mwenye akili aliyesumbua dunia na mwishowe kuja kuajiriwa na FBI

    Ni tag pia ukiendelea Naona Leo umepumzika kidogo kwa watoto wazuri
  2. The killar

    Wife kanuna kisa nimeongezwa nyanya gengeni

    MZEE ULISHAPATA UFUMBU WA KUWA NA JINSI MBILI AU ULIKUWA UNATUCHORA
  3. The killar

    Nani alikuwa Mtanzania wa kwanza kupata PhD?

    Basi jitahidi ukumbuke usaidie kaumu
  4. The killar

    Nani alikuwa Mtanzania wa kwanza kupata PhD?

    Kama kichwa kinvyojieleza hapo juu Basi nami bila kuwachosha niende moja kwa moja kwenye swali hilo ambalo lilishaulizwa humu miaka kadhaa iliyopita bila jibu ya uhakika kupatikana. "NI NANI MTAZANIA WA KWANZA KUTUNUKIWA UPROFESA KATIKA HISTORIA YA TZ/TANGANYIKA?" ILIKUWA WAPI? FANI GANI...
  5. The killar

    Nina jinsia mbili. Je, nioe au niolewe?

    Jina lako ni la kike au kiume??
  6. The killar

    Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa wilaya ya Chato mkoani Geita

    Samahani mkuu na Ilani inasemaje kuhusu ujenzi Wa viwanja vya ndege? Sina shida kabisa na ujenzi wa hospital ya rufaa chato je, utaratibu ulifuatwa? Sitokei kz
  7. The killar

    Lugha yetu ni " Kiswahili " au " Swahili "?

    Ki- Swahili -Swahili Ki- ni mofimu ambayo inaongeza taarifa zaidi Na -Swahili ni shina la neno -shina la neno ndilo hutoa taarifa za msingi Mfano. -kula. Ni shina linalotoa taarifa msingi Lakini tunaweza kuongeza mofimu(affix) mbalimbali ili kupata taarifa zaidi Mfano ana-kula...
  8. The killar

    Hili swali linaniumiza sana kichwa

    Kweli nyie viumbe haijulikani mnachokita Vipi kama angekuwa anasaliti sijui ungeandika nini
  9. The killar

    Msaada: Kondomu alizoacha rafiki yangu kwenye begi langu zinavunja uchumba wangu

    Kwani Kondom nayo ni case alitaka akukute na ARV?
  10. The killar

    Mume anahitajika 36+

    Njoo pm tuyajenge kiutu izima
  11. The killar

    Sasa Lema, Nassari na CHADEMA wataamka?

    AKILI ZA WATANZANIA WENGI ZIMEDUMAA KWANI MATESO YA KIUONGOZI WANAYAPATA CDM WAHANGA NI WANANCHI WOTE MI NADHANI KWA KUNASHIDA NA MATESO BASI YAONGEZEKE MARA DUFU MPAKA AKILI ZITUKAE SAWA NDIPO KILA MTU ATAFANYA MAAMUZI YAKE MAMBO YA KULAUMIANA HAYANA HAJA CCM NA CDM WOTE NI WATAFUTAJI KAMA...
Back
Top Bottom