Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,363
- 31,505
Ndo ujisogeze ili uwe unaitwa ki-romanti kila sikudah umepost ki-romantic mpk moyo umepata raha sijaitwa dear kama miezi 6 hivi
Ndo ujisogeze ili uwe unaitwa ki-romanti kila sikudah umepost ki-romantic mpk moyo umepata raha sijaitwa dear kama miezi 6 hivi
Hahahah,, umenifanya nicheke kaka,,hapana,,asanteNimekudhi vigezo ila kwenye uvutaji sigara sivuti zaidi natumia bangi na shisha kama uko tayari twende inbobo.
karibu vigezo vyote alivyotoa sivimudu bora nikae pembeni maana nakunywa pombe navuta fegi napenda michepuko nkNdo ujisogeze ili uwe unaitwa ki-romanti kila siku
Ohooo! Basi umekosa mwana na maji ya motokaribu vigezo vyote alivyotoa sivimudu bora nikae pembeni maana nakunywa pombe navuta fegi napenda michepuko nk
hamna namna ngoja nijiweke pembeniOhooo! Basi umekosa mwana na maji ya moto
Vipi wewe hautafuti?Kila la heri mamy
Kwana ASTALVISTA ni nini mkuu? Tujuze tuelewe na sisiDuh wewe unaejua hadi
ASTALAVISTA
si haba
ni haki ktk ndoa uachie ngaz
Wanakuja wapokeeHabari wana JF,
Natafuta mume aliye tayari kuwa nami katika hali zote, mimi nina umri wa miaka 34, mwalimu wa shule moja ya sec mjini Mwanza.
Nilibahatika kuolewa lakini bahati mbaya nilitendwa vibaya na nikaamua kuachia ngazi, nina watoto wawili wa kike na ni mkristo.
Mume nimtakaye awe na sifa zifuatazo awe na miaka 36+, rangi yoyote, kabila lolote, dini mkristo, asiwe mnywa pombe wala mvuta sigara, ajue thamani ya mke na awe tayari kulea watoto wangu.
Mwenye uhitaji kama wangu karibu PM tuyajenge, astalavista..
Natafuta ila asiwe mnywa balimi na bombadia kama weweVipi wewe hautafuti?
Nipo tayari!!Habari wana JF,
Natafuta mume aliye tayari kuwa nami katika hali zote, mimi nina umri wa miaka 34, mwalimu wa shule moja ya sec mjini Mwanza.
Nilibahatika kuolewa lakini bahati mbaya nilitendwa vibaya na nikaamua kuachia ngazi, nina watoto wawili wa kike na ni mkristo.
Mume nimtakaye awe na sifa zifuatazo awe na miaka 36+, rangi yoyote, kabila lolote, dini mkristo, asiwe mnywa pombe wala mvuta sigara, ajue thamani ya mke na awe tayari kulea watoto wangu.
Mwenye uhitaji kama wangu karibu PM tuyajenge, astalavista..