Hili swali linaniumiza sana kichwa

Hili swali linaniumiza sana kichwa

Kuitwa hvo haipimi upendo bali hyo ana mapenzi ya utu uzma hayo majina waachie wa vdato vya pili tatu nakuendelea,,,,,mtu mzma unataka uitwe baby mtu mzma mwenzio?ujue mpaka utongozwe ushapendwa asa kurudia rudia nakupenda ndo nn
 
Kweli nyie viumbe haijulikani mnachokita

Vipi kama angekuwa anasaliti sijui ungeandika nini
 
lady in action, perhaps your action(s) in the nasty zone can make any man express his feelings even in tongues, but not out of it. I'm just saying.
 
Mi ninamchumba/mpenzi ambae hatuna muda mrefu tuko katika relation nadhani kama miezi kadhaa tu hivi haifiki 6 sasa huyu mwenzangu kama simuelewi hivi sijui nimaumbile,mazoea,hanipendi yaani sielewi.

Yaani kwake ningumi kuniita mpenzi, yaani majina tu ya kimapenzi ningumi akijitahidi sana ananiita MY ajabu sasa mkiwa kitandani tena awe amedindisha nitaitwa majina yote mpenzi,,honey,mke hata neno nakupenda nitaitwa lakini katika hali ya kawaida ni ngumu kuniambia ananipenda au kanimiss mimi hua namwambia nakupenda na yeye ndio anajibu nakupenda pia.

Nilishakaa nikiongea nae kesho yake akajitahid baada ya siku mbili akarudia tena kuniita ndugu yangu najiuliza swali labda mazoea au muoga au hana hisia namimi???
Huyo anakupenda sema mazoea pia.si unamuona hata alivyo mambo yake kama vile ndiyo ametoka kugraduate uparoko.we shukuru kwamba anadindisha.mambo mengine uwachie wengine.nadhani matendo anayokufanyia ni zaidi ya kukumbia anakupenda au sijui mpenzi n.k. we si unataka kamapani na si unapata?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom