Recent content by The coolest jw

  1. The coolest jw

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Ila mifumo mingine ni migumu kuielewa ila wacha tuone itatoa matunda gani?
  2. The coolest jw

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Si bado mechi moja anafikisha mechi nane
  3. The coolest jw

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mfumo gani ni bora kwetu kati ya 4231, 3421
  4. The coolest jw

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mr takataka unatakiwa kusema hakuna kocha kwa sababu zipi??
  5. The coolest jw

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kwa leo mapungufu naona kwenye namba mbili hatuna leo
  6. The coolest jw

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mpira wa kujilinda zaidi kuliko kushambulia
  7. The coolest jw

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mbele tuko vizuri ila nyuma kikosi kilivyopangwa ni shida
  8. The coolest jw

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    The blues sio ya kupigwa tano ww ndg uwa mnasema hivi hivi kila tukikaribia kucheza na timu kubwa alafu tunazifunga tu
  9. The coolest jw

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    lembu CB wameendeleza record yako ya clear sheet wakiwepo hao wawili
  10. The coolest jw

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Namba mbili ndio naona kutakuwa na uchochoro maana chalobah hawezi kucheza hiyo namba vizuri labda yy aende kati james arudi namba mbili
  11. The coolest jw

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Tofauti ya Gitten na Garnacho ni ipi? lembu
  12. The coolest jw

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Je Chelsea bila palmer inawezekana
  13. The coolest jw

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Ni kwamba anaitaji apigwe bei kwa lazima iliali anajuwa tunatafuta mchezaji mbadala wa colwill
  14. The coolest jw

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Msimu mpya umeanza na haya ndiyo mabadiliko unayotakiwa kuyajua kuhusu msimu huu wa ligi kuu Uingereza msimu wa 2025-2026; 1. Endapo kipa akidaka mpira, kisha akaendelea kuushika bila kuuweka chini au kuanzisha mchezo kwa sekunde 8 basi timu yake itaadhibiwa kwa mpinzani kupewa faida ya kupiga...
  15. The coolest jw

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Hivi ni kwanini Jackson akianza uwa tunapata nafasi nyingi ila tunashindwa kuzitumia vizuri hasipokuwepo uwanjani tunafika goli la mpinzani kwa mbinde
Back
Top Bottom