Hakuna asiye kuwa na mapungufu sema wanazidiana,ila utendaji wa mkapa ufisadi ulikuwa wa kutisha,upande wa jk tatizo undugu na urafiki mwingi kazini ndo maana mambo hayaendi.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imemhukumu kifungo cha miaka 18 jela Kada wa CCM, Rajabu Maranda na binamu yake, Farijala Hussein katika kesi ya tuhuma za kuchota Sh2.2 bilioni za Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) ndani ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT). Mahakimu wawili...
Mbunge wa Mwibara Kangi Lugola
Mbunge wa Mwibara Kangi Lugola kupitia CCM bungeni july 17 2012 amesema polisi wamtafute Fadhili Kweka mwenye mtandao wa uhalifu ndani ya jeshi la polisi.
Amesema kuna mtandao mkubwa wa uhalifu ndani ya jeshi la polisi na ushahidi ninao, wanatoa...
Hatimaye Mbunge wa Ubungo (Chadema), John Mnyika, amewasilisha ushahidi wa awali kwa Katibu wa Bunge, kuhusu tuhuma alizozitoa bungeni dhidi ya Mbunge waTheCHOICE: John John Mnyika awasilisha ushahidi wizi BoT !!!
Baba Mzazi Wa Mwanamuziki Diamond Aibuka-Soma ALICHOSEMA
BABA mzazi wa nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul Juma Diamond, (pichani) Abdul Juma ameibuka ambapo mbali na tukio hilo pia amenena mambo mazito kuhusu mwanaye huyo huku akimsukumia tuhuma nzito soma zaidi kwa...
EMPLOYMENT OPPORTUNITIES: Bank of Tanzania
EMPLOYMENT OPPORTUNITIES
The Bank of Tanzania, an equal opportunity employer and Tanzanias central bank, is looking for soma zaidi kwa kubofya hii link TheCHOICE: >>>>NAFASI ZA KAZI ZATANGAZWA B.O.T
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.