Mazingira
JF-Expert Member
- May 31, 2009
- 1,833
- 306
Sasa kikwete angefanyaje . Kakuta kila kimeuzwa. Hadi posta na simu. Nyumba za oysterbay. Watu walichukua hela bot EPA . Watu watamuhukumu kikwete bure. Ndio maana kaamua kuwa mzururaji
Hapo kwenye nyekundu aliyechukua hizo pesa ni Kikwete na kundi lake. Vile vile kwenye upande wa mdini mkataba wa Buzwagi umesainiwa gizani London na waziri rafiki wa Kikwete aitwaye Karamagi. Miradi ya gesi je? Richmond je? Leseni nyingi za makampuni ya madini zimeisha wakati wa Kikwete na wakapewa leseni kwa uhuni ule ule ulioanzishwa enzi za Mkapa. Kwahiyo wote ni hovyo tu.