oba
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 310
- 66
Wat did you expect? kwani waliohusika na uzembe wa kuzama kwa meli mwaka jana walifanywa nini? nchi hii bwana, uzenbe uzembe uzembe tu.....kama imewahi kuripotiwa kuwa meli hiyo ni mbovu je ilikuwa imetengenezwa? ilisimamishwa lini na kufunguliwa lini? nani aliyeidhinisha ianze safari? service ilifanyiwa lini mara ya mwisho?wapi? kwenye gereji bubu? hah what do you expect?
Subiri mtaona mengi katika nchi ambayo kuanzia baba, watoto na watumwa wao wa ndani wote ni wasanii!!!!!
Subiri mtaona mengi katika nchi ambayo kuanzia baba, watoto na watumwa wao wa ndani wote ni wasanii!!!!!