Pokea hili kuna shele ya msingi inaitwa king'ongo primary iko GobaMatosa .
Hi shule inahitaji jicho lko kwa ukaribu sana kuna mambo ynaendelea huku ya ajabu walimu wana kaz zao binafc kuendesha Boda Boda na kukuta miti mida ya kzi tunashinda kuelewa vipi mida ya masomo yafanyike hayaa .
Sent...
Mi nazani hapa ni suala la muda sizani kama utafiti juu ya jua kuizunguka dunia ama dunia kuzunguka jua limeshafungwa na kuthibitishwa na wanasayansi wengi..kutokana na hili bas pia naamin wapo wanasayansi wengine watatuletea habari mpya juu ya jua na dunia...
Isifanye hiyo kitu ndgu yang kama unampenda mkeo...kufany hivo jua unamrudisha mkeo kwao ila we utaondokaa tu hapo
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Nina elimu ya form 4 miak 32 tayari nimeshajenga.familia ya watoto 3 kazi fund gerej...samtime nakosa hata pesa yakula na familia na si maramoja...nimeshindwa kujipima!
Kuna kipindi fulan tigo walikuja na tangazo lao wakionyesha mtu anafunga kidole gumba na cha shahada mfano wa sufuri...hapo ndipo dhana hii ilipoanza mpk leo kufunganisha vidole hiv kumebeba ujumbe huo.
Nini unata baada ya rooted?''sim yako iko tayar rooted..Kuna kubadili vision baada ya rooted..pia unaweza kufuta apps ambazi mwanzo hukua na ruhusa ya kufanya hivyooo.. SO wewe uliroot ili ufanyaje....angalizio. Kuroot sim Alaf ukafanya update imekula kwako"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.