Recent content by TETILE

  1. TETILE

    Kwa heri bwana Martin Shigela

    hawamwezi Lowasa ana nguvu na pesa nyingi
  2. TETILE

    Bungeni: Mwigulu achafua upepo, Lissu atolewa nje ya bunge, agoma! Bunge lakatishwa kabla ya muda...

    Huo ni uonevu wa wazi Ndugai simamia Bunge kama mtu wa kati acha jazba huku ni aibu kwa taifa kubwa kama Tanzania kuonesha udhaifu mkubwa kama wa Ndugai. Ukiona kiti kinakupwaya ondoka ukiwa bado unapendwa wakati mnyika anaongea kuna mmama mmoja Mccm aliomba utaraitibu, Mnyika kwa busara...
  3. TETILE

    Asante Kikwete Umetufikisha Ulipokusudia

    mmmmh! Mgogoro wa zanzibar kaumaliza au kauanzisha upya baada ya makubaliano ya suk-serikali ya umoja wa itaifa matokeo yake ni viundi vya uamsho,kuchoma makanisa,vituo vya polisi,ofisi za ccm na hata mauaji ya askari tena kwa kuchinjwa kwa mapanga- pata picha ya panga alilokabidhiwa juzi oman...
  4. TETILE

    Nape asema Edward Siyo msafi

    Nape kama EL,chafu kapitaje nawewe upo? CCM yenu yote ni chafu EL bado ana nguvu kubwa CCM ila CDM kiboko yake
  5. TETILE

    Nagombea jimbo la longido 2015

    Hongera kwa wazo lako la kumng'oa Lekule ww n nani? Kwa tiketi ya chama kipi? Au ule mchezo wenu wa UCCM ndani ya longido? Tunataka mabadiliko ya kweli zaidi sana MAGAMBA sasa basi kama nawe ni gamba nakupa POLE!
  6. TETILE

    Makanisa yavunje MoU na Serikali...

    Waislamu wa TZ acheni ubaguzi wa kidini mtaifikisha nchi pabaya! Rais wetu Muislamu makamu wake Muislamu wizara zote nyeti Waislamu hata wizara ya Afya unayolalamikia iko chini ya Hussein Mwinyi. Kama tatizo ni MOU je nyie mmezuiliwa na nani msijiunge nayo? Acheni mawazo mgando tuache udini...
  7. TETILE

    Vurugu za Kidini Mbagala: Mtoto akojolea msahafu baada ya kuthubutishwa; makanisa yachomwa

    Pamoja na hayo yoote ni matokeo ya uchochezi wa vyombo vya habari vya dini ya kiislam RADIO IMAN na GAZETI LA ALNUUR JK KUWA macho ICC inakuhusu!
  8. TETILE

    Kifo cha CCM kimetimia

    Suluhisho 2015 Kwenye kituturi
  9. TETILE

    Mwalimu huyu alipwe bei gani?

    Pambafu wee hujui kuwa mwalimu ndo chanzo cha Kitu. Hebu fikiria JK Mpaka awe rais kapitia mikononi mwa mwalimu wewe mwenyewe mwanzisha thread kama sio mwl usingejua chochote hata JF ungeisikia tu! Wewe utalaaniwa ukiwasema walimu vibaya waache wadai haki zao ni watu wa muhimu sana maishani...
  10. TETILE

    Kufungiwa Mwanahalisi: Kwa msimamo huu hawa tuwaeleweje pamoja na kujifanya wasomi?

    Hana kozi ya communication skills anachanganya herufi kubwa na ndogo hata mwalimu wake wa darasa la pili (wa-mwandiko) hamkumbuki wasomi wa bongo ama kweli!!!!!!!!!!!!!
  11. TETILE

    walimu wenzangu mko wapi

    Serikali inaingilia mahakama mahakama wanafuata matakwa ya rais. Jana rais kawaelekeza jinsi ya kutoa maamuzi. Ama kweli nchi hii!!!! Balaa tupu! Poleni walimu wenzangu hata salary huku Arusha walisha tubania sasa cjui wataachia!!!!!!!
  12. TETILE

    Gratian Mkoba : MGOMO upo palepale na ni HALALI...

    nalo hili gazeti linachochea vurugu na kupotosha umma wa watanzanisa yuko wapi yule mwenye kofuli alifungie nalo kwa muda usiojulikana? Au kwa sababu gzt hili ni la govmnt?
  13. TETILE

    Vitisho mgomo wa walimu vyazidi.

    Serikali wanaingilia mhimili mwingine. .suala liko mahakamani polisi na serikali wanahaha nini? Watulie kimya kama wananyolewa viyisho vitisho mpaka lini? Hapa halmashauri ya Arusha V. Afisa (E) anatuma sms kwa HMs kuwatisha eti watapita kuchukua rekodi za mahudhurio! Anaitwa Nasoro cku...
  14. TETILE

    Wanafunzi wanaoandamana ni jeshi lijalo la wadai haki

    Watoto waandamane,wadai haki yao! Walimu wagome wadai haki yao! Serikali iwaze,iwazue,itafakari watende wajibu wao! Virungu hatuviogopi, na hao wasaliti wanaojifanya wema ka JK leo ole wao wapeleke milonjo yao kazini watanikoma ninaowafahamu wataipata fresh!
  15. TETILE

    Ole wako Mkoba

    Walimu wote ni sawa haskuna kusema wa sayansi au wa social science yote ni masomo na ufundishaji wayo ni mmoja acheni ubaguzi wa kujickia KEKI ndani ya MANDAZI.
Back
Top Bottom