Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,633
- 6,229
- Thread starter
- #21
Mkuu,
Hii makala imeanzia mbali, kule kwenye ripoti ya mkutano wa viongozi wa makanisa KKKT.
Pia, Kama mwanao Sikonge ulikuwa hufahamu huandika vitu kwa kutumia kamera ya 3D basi nikupe pole. Chukua miwani ya kuona picha za 3D na ndipo utaweza kumuona vizuri sana Sikonge alikuwa anamaanisha nini.
Zama chini chini chini zaidi na huko ndiyo tutakutana. You are Great Thinker I hope 🙂
Hii makala imeanzia mbali, kule kwenye ripoti ya mkutano wa viongozi wa makanisa KKKT.
Pia, Kama mwanao Sikonge ulikuwa hufahamu huandika vitu kwa kutumia kamera ya 3D basi nikupe pole. Chukua miwani ya kuona picha za 3D na ndipo utaweza kumuona vizuri sana Sikonge alikuwa anamaanisha nini.
Zama chini chini chini zaidi na huko ndiyo tutakutana. You are Great Thinker I hope 🙂
Mwanangu Sikonge nilikuwa nikikuheshimu na kukuhusudu bila kujua kuwa kumbe wewe ni bomu! Tukianza kuangalia mambo kwa mboni za udini hawa tulielemika vya kutosha na kutisha tutaonekana mataahira na vihiyo kama ambayo hoja yako imekuweka. Hakuna mfumokristo bali mihangaiko na hisia za mfumo huo. Tukiangalia waislamu wanavyovumiliwa kwenye kutaka kuvunja amani kila mwenye akili anakushangaa. Ondoa hiyo miwani yako ya mbao na kiarabu uuangalie utanzania.