Mwalimu huyu alipwe bei gani?

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,289
12,582
Migomo, migomo, migomo ya walimu! Eti kuna mwalimu anagomemea sh. 250,000 kwa mwezi, kwani huyu mwalimu anayelipwa mshahara huu anazo sifa gani za kulipipwa zaidi?

Yeye ni form 1V division IV point 28 na wengine ni darasa la saba (UPE), wakaenda kozi ya ualimu wiki 4-6, hivi wanategemea miujiza gani kwenye mishahara yao?

Binafsi watu hawa waelemishwe wajue sifa walizonazo kwanza, hii ni sawa na nurse attendants, CO anayelalamikia mshahara mdogo pia kwa kujilinganisha na madaktari waliopata division I form IV na form VI na kwenda kozi miaka 6.

Binafsi hawa ndio wanaotakiwa kusikilizwa zaidi maana ndio wanaopunjwa na mfumo wa uchumi wetu.
 
Migomo, migomo, migomo ya walimu! Eti kuna mwalimu anagomemea sh. 250,000 kwa mwezi, kwani huyu mwalimu anayelipwa mshahara huu anazo sifa gani za kulipipwa zaidi? Yeye ni form 1V division IV point 28 na wengine ni darasa la saba (UPE), wakaenda kozi ya ualimu wiki 4-6, hivi wanategemea miujiza gani kwenye mishahara yao? binafsi watu hawa waelemishwe wajue sifa walizonazo kwanza, hii ni sawa na nurse attendants, CO anayelalamikia mshahara mdogo pia kwa kujilinganisha na madaktari waliopata division I form IV na form VI na kwenda kozi miaka 6. Binafsi hawa ndio wanaotakiwa kusikilizwa zaidi maana ndio wanaopunjwa na mfumo wa uchumi wetu.
tuambie wewe kazi yako na shule yako ndo tuchangie vema, na kama ingekuwa hivyo maprof ndo wangekuwa matajiri nchi nzima
 
Migomo, migomo, migomo ya walimu! Eti kuna mwalimu anagomemea sh. 250,000 kwa mwezi, kwani huyu mwalimu anayelipwa mshahara huu anazo sifa gani za kulipipwa zaidi? Yeye ni form 1V division IV point 28 na wengine ni darasa la saba (UPE), wakaenda kozi ya ualimu wiki 4-6, hivi wanategemea miujiza gani kwenye mishahara yao? binafsi watu hawa waelemishwe wajue sifa walizonazo kwanza, hii ni sawa na nurse attendants, CO anayelalamikia mshahara mdogo pia kwa kujilinganisha na madaktari waliopata division I form IV na form VI na kwenda kozi miaka 6. Binafsi hawa ndio wanaotakiwa kusikilizwa zaidi maana ndio wanaopunjwa na mfumo wa uchumi wetu.

unafikiri kwa kutumia masaburi nimeamini kwa dhati kabisa.
 
Pambafu wee hujui kuwa mwalimu ndo chanzo cha Kitu.
Hebu fikiria JK Mpaka awe rais kapitia mikononi mwa mwalimu wewe mwenyewe mwanzisha thread kama sio mwl usingejua chochote hata JF ungeisikia tu!
Wewe utalaaniwa ukiwasema walimu vibaya waache wadai haki zao ni watu wa muhimu sana maishani bila wao hakuna maendeleo ya nchi!
 
Last edited by a moderator:
tuambie wewe kazi yako na shule yako ndo tuchangie vema, na kama ingekuwa hivyo maprof ndo wangekuwa matajiri nchi nzima

acha kuropoka, ficha upumbavu wako.
Kama sio walimu usingejua hata kuandika huo ***** wako.
Kama sio walimu hao madokta wasingepata hizo div one,
kama sio walimu......
Naishi hapo.

Kweli kabisa wakuu, ni rahisi sana kugundua upeo wa mtu anayeleta mada humu..... Huyu mleta hii mada nadhani ni kamlete!!!! Na hata elimu yake na upeo wake wa kufikiri utakuwa na tatizo
 
Migomo, migomo, migomo ya walimu! Eti kuna mwalimu anagomemea sh. 250,000 kwa mwezi, kwani huyu mwalimu anayelipwa mshahara huu anazo sifa gani za kulipipwa zaidi? Yeye ni form 1V division IV point 28 na wengine ni darasa la saba (UPE), wakaenda kozi ya ualimu wiki 4-6, hivi wanategemea miujiza gani kwenye mishahara yao? binafsi watu hawa waelemishwe wajue sifa walizonazo kwanza, hii ni sawa na nurse attendants, CO anayelalamikia mshahara mdogo pia kwa kujilinganisha na madaktari waliopata division I form IV na form VI na kwenda kozi miaka 6. Binafsi hawa ndio wanaotakiwa kusikilizwa zaidi maana ndio wanaopunjwa na mfumo wa uchumi wetu.
kavulata pole sana kwa mashambulizi unayopata kutoka kwa wachangiaji wa uzi wako. Kwa maoni yangu ni kwamba walipaswa kujikita kujadili hoja (kama ipo) ili wajipambanue bara bara kama great thinkers. Ila kwa upande wangu uzi wako sitashughulika nao kwa sababu mbili:
i.
 
Kwanza nikusahihishe asilimia kubwa ya waalimu wetu hawajaenda kozi kwa wiki 4-6, wengi wamekwenda kwa miaka 2 na zaidi. Tukirudi kwenye bandiko lako, kwani hata kama mtu alipata div IV jhiyo unayosema na akaenda chuo cha ualimu akasoma akatahiniwa na chuo husika akapata cheti cha ualimu baada ya kukidhi matakwa ya mtihani bado unaona kuna shida? Si ameshakuwa mwalimu hapo, na kwa bahati mbaya nadhani waalimu wanachozungumzia ni udogo wa mishahara yao, hawajajilinganisha na mtu aliefaulu.

Sioni ubaya wowote kwa kweli.

Kama ingekuwa hawakufauli mitihani ya vyuo vya elimu basi uba haki kuwa grade kutokana na matokeo yao ya form IV au VI
 
Migomo, migomo, migomo ya walimu! Eti kuna mwalimu anagomemea sh. 250,000 kwa mwezi, kwani huyu mwalimu anayelipwa mshahara huu anazo sifa gani za kulipipwa zaidi? Yeye ni form 1V division IV point 28 na wengine ni darasa la saba (UPE), wakaenda kozi ya ualimu wiki 4-6, hivi wanategemea miujiza gani kwenye mishahara yao? binafsi watu hawa waelemishwe wajue sifa walizonazo kwanza, hii ni sawa na nurse attendants, CO anayelalamikia mshahara mdogo pia kwa kujilinganisha na madaktari waliopata division I form IV na form VI na kwenda kozi miaka 6. Binafsi hawa ndio wanaotakiwa kusikilizwa zaidi maana ndio wanaopunjwa na mfumo wa uchumi wetu.

Ila waalimu hawahawa ndiyo waliozitengeneza hizo Div I za madaktari na kada nyingine zote. Kama maslahi ya walimu yataboreshwa, basi hata hawa wenye Div I watavutiwa zaidi kufanya kazi hii na kuzalisha wahitimu wenye viwango vizuri zaidi. Sekta ya uwalimu haitakiwi kudharauliwa kiasi hiki kama ulivyochambua wewe, walimu hawa wanafanya kazi katika mazingira magumu na vipato haba kiasi cha kujikatia tamaa. Tufanye hima TURUDISHE HESHIMA ya WAALIMU kwa kuwathamini na kuwawezesha pia.
 
Tuambie yule mbunge wa mtera,lakairo,profesa wa ccm aka majimarefu wanasitahili kulipwa 11ml kutokana na elimu yao?
 
tuambie wewe kazi yako na shule yako ndo tuchangie vema, na kama ingekuwa hivyo maprof ndo wangekuwa matajiri nchi nzima

acha kuonyesha upumbavu wako, unamsema mwalimu aliyefika form IV na hawa jamii ya proffesa majimarefu ambae hata shule ajui na analipwa mshahara mnono unasemaje? je wabunge wanastahili malipo makubwa kushinda ya walimu?
 
kwani maji marefu anakusanya shs ngapi kwa mwezi na ana elimu kiasi gani? Dhaifu na Prof mhongo nani analipwa hela nyingi zaidi na elimu zao zikoje?
 
mwalimu ni mwalimu tu na siyo wote wanaopata div 4 ni vilaza wengine ni sababu ya mazingira na shule walizosoma ndio maana wanafaulu kozi na kuwa walimu na sote tumepitia mikononi mwao ni huzuni kwamba wao wanabaki palepale wanafunzi wao wanaprosper na wala hawakumbuki waliko toka.walimu wanahitaji kuishi vizuri na siyo kuishi kwa stress ya maisha
 
kaah! mleta uzi anataka kutuaminisha kuwa watu wenye uwezo mkubwa kiakili ndo wanastahili mshahara mkubwa siyo? basi kama ndivyo maprofesa ndo wangestahili kuliko wabunge! All in all u'r too biased!
 
Migomo, migomo, migomo ya walimu! Eti kuna mwalimu anagomemea sh. 250,000 kwa mwezi, kwani huyu mwalimu anayelipwa mshahara huu anazo sifa gani za kulipipwa zaidi? Yeye ni form 1V division IV point 28 na wengine ni darasa la saba (UPE), wakaenda kozi ya ualimu wiki 4-6, hivi wanategemea miujiza gani kwenye mishahara yao? binafsi watu hawa waelemishwe wajue sifa walizonazo kwanza, hii ni sawa na nurse attendants, CO anayelalamikia mshahara mdogo pia kwa kujilinganisha na madaktari waliopata division I form IV na form VI na kwenda kozi miaka 6. Binafsi hawa ndio wanaotakiwa kusikilizwa zaidi maana ndio wanaopunjwa na mfumo wa uchumi wetu.

Bila walimu wa upe na form 4.Wewe ungelikuwa na elimu uliyo sasa?acha kudharau elimu na kazi za watu ambao mchango wa kazi zao unaonekana katika jamii na taifa.wengine wanaelimu ya darasa la saba lakini ni maofisa serikalini na wanalipwa mara kumi ya walimu wenye elimu ya form na upe
 
Migomo, migomo, migomo ya walimu! Eti kuna mwalimu anagomemea sh. 250,000 kwa mwezi, kwani huyu mwalimu anayelipwa mshahara huu anazo sifa gani za kulipipwa zaidi? Yeye ni form 1V division IV point 28 na wengine ni darasa la saba (UPE), wakaenda kozi ya ualimu wiki 4-6, hivi wanategemea miujiza gani kwenye mishahara yao? binafsi watu hawa waelemishwe wajue sifa walizonazo kwanza, hii ni sawa na nurse attendants, CO anayelalamikia mshahara mdogo pia kwa kujilinganisha na madaktari waliopata division I form IV na form VI na kwenda kozi miaka 6. Binafsi hawa ndio wanaotakiwa kusikilizwa zaidi maana ndio wanaopunjwa na mfumo wa uchumi wetu.

Ningekutukana tusi baya sana, ngoja nipite kimya maana ulichoandika hapo ni dharau kwa walimu
 
Back
Top Bottom