Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,843
Oktoba 14, 2008, Rais wa chama cha Waalim Bw Gratian Mkoba alipata kibano kutoka kwa waalimu wenzake waliotaka kujua nini hatma ya mgomo wao uliopangwa kufanyika.
Hatua hiyo inatokana na kile kilichodaiwa kuwa Mkoba kuwatangazia kuwa mgomo umesitishwa kwa amri ya Mahakama.
Hatua hiyo inatokana na kile kilichodaiwa kuwa Mkoba kuwatangazia kuwa mgomo umesitishwa kwa amri ya Mahakama.