Kwa heri bwana Martin Shigela

Kwa heri bwana Martin Shigela

Nilichojifunza kwa maccm ni kuwa hata ukiwa mzee unaweza kuwa member uvccm
 
Zile safari zake za zanzibar kwenda kula raha na mabinti ndio bye-bye..
 
Tutarajie mapunda kutengeneza vipunda vingine vidogo vyakusafirisha bidhaa mpya ya magamba.SEMBE

Hii ndio JF bana, kila kitu utapata hapa, umenivunja mbavu ndugu yangu taamu
 
Last edited by a moderator:
Huyu naye alikuwa kijana? Na walimuokotea wapi? Hii nchi tunatengenezaje viongozi wetu wa siku za usoni? Maana umoja wa vijana ni platform mahususi ya kutengeneza potential future leaders.
 
Aliyekuwa Kaimu Katibu Mkuu wa CCM mkoa wa Morogoro Bwana Sixtus Mapunda ameteuliwa kuchukua nafasi iliyokuwa inashikiliwa na Martine Shigela (Katibu Mkuu UVCCM), je vijana kuna lolote tulilojifunza kutoka kwa kaka Shigela na je bwana Mapunda ni kijana wa aina gani, je ataweza misukosuko ya siasa za leo?

yap..amesaidia kuipa chati CDM Moro wote mwaiona hyo kasi..karibu lumumba 2po pamoja.
 
Wakuu punguzeni jazba...naamini kuna kitu cha kujifunza kwenye kila jambo kiwe positive au negative ...tumejifunza nini kwa Shigela na tutarajie nini kwa Mapunda?

Usiponawa vizuri mdomo na mikono, panya wenzako watakugeuzia kibano.
 
Nimesikia mapunda ni mzuri sana pia shigela nimesikia atapewa nafasi nyingine ya kuhudumu kwenye serikali ya ccm.
 
Kila mtu ananafasi yake kwenye jamii shigela amefanya kitu kwa nafasi yake na mwingine akija atafanya kwa nafasi yake.
 
Zile safari zake za zanzibar kwenda kula raha na mabinti ndio bye-bye..
Hizi ni ishu za heche na bavicha kwa ujumla uovu wa chadema mnataka kuwahamishia wengine jiangalieni kwanza.
 
Wakuu punguzeni jazba...naamini kuna kitu cha kujifunza kwenye kila jambo kiwe positive au negative ...tumejifunza nini kwa Shigela na tutarajie nini kwa Mapunda?

mkuu hili swali ni gumu sana kwa hawa watoto wa jf, huwezi kupata jibu. Hayo wanayoandika ndio uwezo wao wa kufikiri unapoishia
 
Back
Top Bottom